Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Mpira upi kaka, lede au? we hujui mafanikio ya kocha Ibenge katika soka la Africa sasa unafatilia mpira gani mjombaa??Mimi nafuatilia mpira kuliko wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira upi kaka, lede au? we hujui mafanikio ya kocha Ibenge katika soka la Africa sasa unafatilia mpira gani mjombaa??Mimi nafuatilia mpira kuliko wewe.
CV aliyonayo ni hiyo hiyo aliyonayo Benchika hana jipyaMpira upi kaka, lede au? we hujui mafanikio ya kocha Ibenge katika soka la Africa sasa unafatilia mpira gani mjombaa??
Duuh, inamana kiufundi we unadhani kwa kinachoendelea simba, tatizo ni ubora wa kocha kuwa chini au ni kikosi kutokuwa imara?CV aliyonayo ni hiyo hiyo aliyonayo Benchika hana jipya
Kwani makocha ambao wamewahi kuifikisha Simba robo fainali wamewahi kuzivusha timu zingine kufika robo au nusu fainali Ili tujue ubora wao ?AS Vita hakuwahi kuvuka kwenda hatua ya robo fainali CAFCL.
Al Hilal Ormduman pamoja na bajeti kubwa hawajawahi kuvuka kwenda robo fainali msimu wake wa pili huu.
Akiifundisha DRC alikuwa akiishia hatua ya makundi kwenye AFCON licha ya kuwa na vipaji lukuki, wamekuja makocha wengine wamefika kwenye knockouts za qualification ya World Cup. Wamefika Semi final AFCON ndani ya miaka miwili tu wakati yeye kaifundisha DRC kwa miaka mitano.
Kuna wachezaji wanaondoka mwisho wa msimu akiwemo saidooafu kikosi kibaki kuwa hiki hiki? au na chenyewe kipanguliwe? vp kuhusu management? ibaki kuwa hii hii au nayo ipanguliwe?
sio huyo tuu, wachezaji kibao tu pale wanacheza michuzi michuzi tuKuna wachezaji wanaondoka mwisho wa msimu akiwemo saidoo
Wewe sio mtu wa mpira ni mtu wa majunguNajua amechukua ubingwa wa CAFCC akiwa na RS Berkane na fainali yenyewe alifika baada ya Mazembe kuonewa sana na Referee hapo Morocco.
Akiwa AS Vita alifika fainali ya CAFCC akafungwa na Raja Casablanca.
Hiyo CV ina tofauti gani na ya Benchika ?
Akiwa As Vita alifika fainali kwa kubebwa na kizazi bora sana cha kina Bongonda, Ngoma, Tuisila Kisinda, Jean Mark Makusu, Bangala, Luzolo, Juma Shaban, Moloko na Cesar Manzoki lakini CAFCL akashindwa kupenya robo fainali kwenye kundi ambalo lilikuwa na debutants wawili kwenye michuano.
The guy is somehow overrated.
Kipindi hicho Simba alikuwa bado anajitafuta hivyo alikuwa anaajiri makocha kulingana na profile yake.Kwani makocha ambao wamewahi kuifikisha Simba robo fainali wamewahi kuzivusha timu zingine kufika robo au nusu fainali Ili tujue ubora wao ?
Timu za Ibenge hazichezi kiufundi wowote na hana rest defence timu zake zinafungwa sana kwenye transition.Duuh, inamana kiufundi we unadhani kwa kinachoendelea simba, tatizo ni ubora wa kocha kuwa chini au ni kikosi kutokuwa imara?
Kama umeona majungu kwenye hiyo post basi hilo ni tatizo lako.Wewe sio mtu wa mpira ni mtu wa majungu
Kigezo ni rangi nyeupe au kigezo ni uwezo?Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.
Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.
Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.
Uko sahihi CV pekee ni kuwapa DRC leopards..CHANAS Vita hakuwahi kuvuka kwenda hatua ya robo fainali CAFCL.
Al Hilal Ormduman pamoja na bajeti kubwa hawajawahi kuvuka kwenda robo fainali msimu wake wa pili huu.
Akiifundisha DRC alikuwa akiishia hatua ya makundi kwenye AFCON licha ya kuwa na vipaji lukuki, wamekuja makocha wengine wamefika kwenye knockouts za qualification ya World Cup. Wamefika Semi final AFCON ndani ya miaka miwili tu wakati yeye kaifundisha DRC kwa miaka mitano.
Ni timu za kocha gani hazifungwi sana, tumtafute huyo kocha aje simba atusaidie.....tutajie mkuu.Timu za Ibenge hazichezi kiufundi wowote na hana rest defence timu zake zinafungwa sana kwenye transition.
Mwanzo umesema hana mafanikio nikakutajia mafanikio yake ukaja na ngojera za kubebwa niambie kocha gani ambae amechukua ubingwa bila kubebwa na wachezaji?Kama umeona majungu kwenye hiyo post basi hilo ni tatizo lako.
Tatizo usajili ndugu, huyo Ibenge kwa viungo wazito kama wamefungwa vyuma miguuni hatoboi. Washambuliaji wenyewe wako wapi. Timu isajili wachezaji wa maana. Hii Simba hata Gamondi hatoboiKama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.
Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.
Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.
CAFCCL na RS BerkaneUko sahihi CV pekee ni kuwapa DRC leopards..CHAN
As Vita Final Cafccl
Nakuomba ujibu swali ?Kipindi hicho Simba alikuwa bado anajitafuta hivyo alikuwa anaajiri makocha kulingana na profile yake.
Sasa hivi siyo timu inayojitafuta tena ni timu inayotaka kombe tuelewe huu utofauti.
Kwaniniibenge wa nini?? akae mgunda palee tu anatosha!