Ni muda wa Simba SC kumchukua kocha Florent Ibenge

Ni muda wa Simba SC kumchukua kocha Florent Ibenge

Nakuomba ujibu swali ?


Kishingo baada ya kuifikisha Simba robo fainali alienda timu kadhaa akazifukisha Hadi nusu fainali au umejifanya kusahau ?

Makocha wote ni Bora.
Kishingo alitoka akaenda AS FAR haikuwa kwenye mashindano ya kimataifa.

Baadae alipewa Wydad ambayo ilikuwa semi Final tayari akaipeleka fainali.

Didier Gomes Da Rosa kabla ya Simba alikuwa ameshafika fainali na Coton sport kombe la shirikisho lakini alishafika quaters na CS constatine.
 
CV ya kocha bika wachezaji ni sawa bunduki bila risasi!.
Timu inamtegemea "ati mgeni rasmi K D" mchezaji ana mechi 30+ kwenye msimu ana Gori moja?. Anazidiwa na jobe na Fred wamecheza dk chache lkn Wana magori zaidi ya moja.
Hata kama sijui Mpira siwezi kumwamini kibu hata kwa dk 30...
 
Tatizo la Simba ni wachezaji kutofundishika na kushindwa kutengeneza muunganiko, hata aje Mourinho atafeli tu!
 
Kama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.

Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.

Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.
ibenge simba hawawezi hata benchika alikubali shingo upende
 
Back
Top Bottom