Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Yuko vzr ila ni kocha anayehitaji wachezaji anaowahitaji ili afanikiwe sio kocha wa kukuta wachezaji awaendelezeCAFCCL na RS Berkane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko vzr ila ni kocha anayehitaji wachezaji anaowahitaji ili afanikiwe sio kocha wa kukuta wachezaji awaendelezeCAFCCL na RS Berkane
Kama umeona majungu kwenye hiyo post basi hilo ni tatizo lako.Wewe sio mtu wa mpira ni mtu wa majungu
Kishingo alitoka akaenda AS FAR haikuwa kwenye mashindano ya kimataifa.Nakuomba ujibu swali ?
Kishingo baada ya kuifikisha Simba robo fainali alienda timu kadhaa akazifukisha Hadi nusu fainali au umejifanya kusahau ?
Makocha wote ni Bora.
Hana maajabu sana ila anakuwa overrated again his game model na tactics ni ya kawaida hawezi hata kumfikia Lamine NdiayeUko sahihi CV pekee ni kuwapa DRC leopards..CHAN
As Vita Final Cafccl
Lamine Ndiaye aliwapa Mazembe CafclHana maajabu sana ila anakuwa overrated again his game model na tactics ni ya kawaida hawezi hata kumfikia Lamine Ndiaye
Na alifika finali ya Club World Cup 2010 dhidi ya Intermilan.Lamine Ndiaye aliwapa Mazembe Cafcl
CAFCCCAFCCL na RS Berkane
Yule mtu anajua mpira..Moise kamrudisha ili amjengee timu..ingawa yeye Lamine ni kama anajiona umri umeenda hvNa alifika finali ya Club World Cup 2010 dhidi ya Intermilan.
Ndani ya msimu mmoja timu imefika semi final japokuwa CAFCL imepungua ubora recentlyYule mtu anajua mpira..Moise kamrudisha ili amjengee timu..ingawa yeye Lamine ni kama anajiona umri umeenda hv
Na hapo hakua na bajeti kubwa ya kununua wachezaji maana katumbi alikua ktk siasa...sasa Katumbi yuko full ktk sokaNdani ya msimu mmoja timu imefika semi final japokuwa CAFCL imepungua ubora recently
ibenge simba hawawezi hata benchika alikubali shingo upendeKama ni kweli kocha Benchika anaondoka mwisho wa msimu, hakuna haja tena ya simba kutafuta kocha kutoka mbali au kocha mwenye rangi nyeupe.
Ibenge ni mmoja kati ya makocha wenye CV kubwa barani Africa, kinachomuongezea faida ni ubora wake katika kuwajua wachezaji na kulijua vyema soka la africa kwa hiyo kama simba sc mmepokea barua ya benchika kutaka kuondoka kubarini na kwa haraka
anzeni mazungumzo na Ibenge na kama mtafanikiwa muombeni aje na baadhi ya wachezaji wazuri.
Mkiukataa ushauri huu na kuwaleta kina cirkovic itakula kwenu tena.