Ni muda wa Simba SC kumchukua kocha Florent Ibenge

Kwani makocha ambao wamewahi kuifikisha Simba robo fainali wamewahi kuzivusha timu zingine kufika robo au nusu fainali Ili tujue ubora wao ?
 
Wewe sio mtu wa mpira ni mtu wa majungu
 
Kwani makocha ambao wamewahi kuifikisha Simba robo fainali wamewahi kuzivusha timu zingine kufika robo au nusu fainali Ili tujue ubora wao ?
Kipindi hicho Simba alikuwa bado anajitafuta hivyo alikuwa anaajiri makocha kulingana na profile yake.

Sasa hivi siyo timu inayojitafuta tena ni timu inayotaka kombe tuelewe huu utofauti.
 
Duuh, inamana kiufundi we unadhani kwa kinachoendelea simba, tatizo ni ubora wa kocha kuwa chini au ni kikosi kutokuwa imara?
Timu za Ibenge hazichezi kiufundi wowote na hana rest defence timu zake zinafungwa sana kwenye transition.
 
Kigezo ni rangi nyeupe au kigezo ni uwezo?

Simba ina aging players , kama kocha watabadilisha mpaka mwisho wa dunia
 
Uko sahihi CV pekee ni kuwapa DRC leopards..CHAN
As Vita Final Cafccl
 
Tatizo usajili ndugu, huyo Ibenge kwa viungo wazito kama wamefungwa vyuma miguuni hatoboi. Washambuliaji wenyewe wako wapi. Timu isajili wachezaji wa maana. Hii Simba hata Gamondi hatoboi
 
Kipindi hicho Simba alikuwa bado anajitafuta hivyo alikuwa anaajiri makocha kulingana na profile yake.

Sasa hivi siyo timu inayojitafuta tena ni timu inayotaka kombe tuelewe huu utofauti.
Nakuomba ujibu swali ?


Kishingo baada ya kuifikisha Simba robo fainali alienda timu kadhaa akazifukisha Hadi nusu fainali au umejifanya kusahau ?

Makocha wote ni Bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…