Ni muda wa Yanga kuibeba Simba kimataifa

Hii ni hatua kubwa sana kwa Simba na afrika mashariki kiujumla.
 
Kwa Taarifa yako Simba ndo ataanza kuingia robo fainali ya champions kabla ya yanga kuingia robo fainali ya loosers. Simba anaanza kwa kumkaanga Vipers nje ndani kisha point tunazichukua kiulaini kwa Horoya, hapo tyr atakua na point 9 utake usitake game ya mwisho na Raja wanaenda kupanda ngamia na kunywa Al kasusu mjaaaaraaabuuu[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…