Ni muda wakuziacha taasisi ziajiri zenyewe ili kuokoa muda wa kuajiri

Ni muda wakuziacha taasisi ziajiri zenyewe ili kuokoa muda wa kuajiri

Joined
Oct 23, 2022
Posts
97
Reaction score
99
Kumekua na utaratibu ambao unazilazimisha taasisi zote za serikali kuwatumia sekretarieti ya ajira kufanya mchakato mzima wa kuajiri kila wakati ambao taasisi hizo zinahitaji kuajiri.

Lakini mfumo huu una mapungufu makubwa sana.

Kwanza unachelewa sana kuajiri wafanyakazi wapya kwasababu taasisi zinaajiri wa kumsululu.

Kwa hiyo inabidi taasisi isubiri zamu yake ifike ndipo iweze kutangaziwa Tangazo lake either la kuajiri au kuita watu kwenye usaili au kuita watu kazini.

Lakini pia kuwaachia sekretarieti ya ajira waendelee kuajiri ni kuongeza gharama za kuajiri.

Mimi nilikua naona utaratibu ungerudishwa kama zamani tu. Kila taasisi iajiri yenyewe tu ili kurahisisha mchakato.

NAWASILISHA
 
Kumekua na utaratibu ambao unazilazimisha taasisi zote za serikali kuwatumia sekretarieti ya ajira kufanya mchakato mzima wa kuajiri kila wakati ambao taasisi hizo zinahitaji kuajiri.

Lakini mfumo huu una mapungufu makubwa sana.

Kwanza unachelewa sana kuajiri wafanyakazi wapya kwasababu taasisi zinaajiri wa kumsululu.

Kwa hiyo inabidi taasisi isubiri zamu yake ifike ndipo iweze kutangaziwa Tangazo lake either la kuajiri au kuita watu kwenye usaili au kuita watu kazini.

Lakini pia kuwaachia sekretarieti ya ajira waendelee kuajiri ni kuongeza gharama za kuajiri.

Mimi nilikua naona utaratibu ungerudishwa kama zamani tu. Kila taasisi iajiri yenyewe tu ili kurahisisha mchakato.

NAWASILISHA
Unajua hasara ya kila taasisi kuajiri wenyewe kwa mfano pale dawasa utakuta joslin mushi (muhasibu) Alex mush (technician) festo mushi (mlinzi) hapo nimetolea mfano mmoja tu bado tanesco na taasisi nyingine za umma huko ndo kuna mapungufu kushinda secretariat ya ajira ambapo mda mwingine unaweza ukabahatika bila connection.
 
Unajua hasara ya kila taasisi kuajiri wenyewe kwa mfano pale dawasa utakuta joslin mushi (muhasibu) Alex mush (technician) festo mushi (mlinzi) hapo nimetolea mfano mmoja tu bado tanesco na taasisi nyingine za umma huko ndo kuna mapungufu kushinda secretariat ya ajira ambapo mda mwingine unaweza ukabahatika bila connection.
Naungana na mtoa mada.
 
Tatizo sio muda wala kuchelewesha....

Tatizo ajira zenye ujira hazitoshi, hence kupelekea kugombania kilichopo; na hii itaendelea kuitafuna dunia The end of Capitalism is Nigh.....

Kutakuja mfumo mwingine wa kwenda na huu wakati...
 
Sekretarieti changamoto yake ni mchakato mrefu tu wa Interview na kupangiwa kwa vituo vya kazi ila somehow kwa kiasi kidogo inatoa hope kwa yule ambaye connectionless. Hapo uwali undugunization ndio ilikua tiketi
 
Unajua hasara ya kila taasisi kuajiri wenyewe kwa mfano pale dawasa utakuta joslin mushi (muhasibu) Alex mush (technician) festo mushi (mlinzi) hapo nimetolea mfano mmoja tu bado tanesco na taasisi nyingine za umma huko ndo kuna mapungufu kushinda secretariat ya ajira ambapo mda mwingine unaweza ukabahatika bila connection.
Nakubaliana na wewe..
 
Unajua hasara ya kila taasisi kuajiri wenyewe kwa mfano pale dawasa utakuta joslin mushi (muhasibu) Alex mush (technician) festo mushi (mlinzi) hapo nimetolea mfano mmoja tu bado tanesco na taasisi nyingine za umma huko ndo kuna mapungufu kushinda secretariat ya ajira ambapo mda mwingine unaweza ukabahatika bila connection.
Me nilipata kazi bila connection sababu ya utumishi
 
Tatizo sio capitalism, Tatizo ni kutoheshimu kanuni za mfumo wa Capitalism na kuziingalia bila sababu za msingi
Tatizo sio muda wala kuchelewesha....

Tatizo ajira zenye ujira hazitoshi, hence kupelekea kugombania kilichopo; na hii itaendelea kuitafuna dunia The end of Capitalism is Nigh.....

Kutakuja mfumo mwingine wa kwenda na huu wakati...
 
Usije kuomba ikatokea ... Taasisi fulani hapa bongo inteship tu ilichukuwa watu wa sehemu moja wote 8 ..wengine waliopigwa chini zilitangazwa ajira ni wale wale walipitia mlango wa nyuma..
 
Tatizo sio muda wala kuchelewesha....

Tatizo ajira zenye ujira hazitoshi, hence kupelekea kugombania kilichopo; na hii itaendelea kuitafuna dunia The end of Capitalism is Nigh.....

Kutakuja mfumo mwingine wa kwenda na huu wakati...
Yaani huku ambako mnasoma elimu ya magumashi ambayo haikupi kushindwa na graduates wa kikataifa ndio kuwe kipimo cha kuelekea mwisho wa Capitalism, dogo utakuwa umeshiba makande.
 
Yaani huku ambako mnasoma elimu ya magumashi ambayo haikupi kushindwa na graduates wa kikataifa ndio kuwe kipimo cha kuelekea mwisho wa Capitalism, dogo utakuwa umeshiba makande.
Aisee hii ndio kila siku ninaita myopic thinking....

Capitalism as we know it ilishamiri / inashamiri kwa kusaidia majority kwa wachache wenye uwezo / upeo kuwekeza hence to create jobs na mwisho wa siku income kwa kila mmoja (trickle down economics if you may)....

Na ilikuwa na imefanya kazi kwa muda mrefu sababu hawa wawekezaji wanahitaji man-power na watoa manpower wanapewa ujira na pia ni consumers wa hizo bidhaa...., hence siku zinakwenda na mambo ni bam bam.... wafanyakazi na maboss wote damu damu....

Sasa tatizo linakuja in the age of automation human labour / manpower haiitajiki tena..., mimi badala ya kuajiri kijiji ili walime nina tractor na combined harvester; packing nina machinery, kuhesabu pesa nina mashine (wala sihitaji kuzihesabu sababu its digital na wala sitahitaji muhasibu sababu kila kitu ni automated instantaneously)..., Kumbuka pia mimi as capitalist my motto is profit at all costs wala sio community welfare hence kama naweza kununua mashine moja ifanye kazi ambayo haiumwi, aiibi wala kulalamika wala haitahitaji pension unadhani nitaajiri watu ili wafanye nini ? (kuuza Sura)?

Now what will happen the wealthy will continue to accumulate the wealth more effectively, the gap in classes will increase and the hatred between have and have-not increase as well... The Big Fish will continue to eat the small fish in the end as they say capitalism is and will be its own worse enemy.... So to survive it will have to change..., Free market ? (Well and Good) Accumulating Wealthy? (Not so Much)
 
Unajua hasara ya kila taasisi kuajiri wenyewe kwa mfano pale dawasa utakuta joslin mushi (muhasibu) Alex mush (technician) festo mushi (mlinzi) hapo nimetolea mfano mmoja tu bado tanesco na taasisi nyingine za umma huko ndo kuna mapungufu kushinda secretariat ya ajira ambapo mda mwingine unaweza ukabahatika bila connection.
Hao tume ya ajira wanaweza wakabaki na kazi ya kuratibu zoezi la kuajiri watumishi huko kwenye taasisi husika kama Halmashauri idara mbalimbali nk. Pia wanaweza kuungsnishwa kwenye mifumo ya ajira ya taasisi husika ili waweze kuhakikisha hakuna upendeleo. Hii mambo ya kupenda ku centralize mambo sehemu moja kwa nchi kubwa kama Tanzania iko very complicated. Unakuta mtu anajitolea kwenye halmashauri, wakala wa serikali au idara fulani for 2 years lakini kwa mfumo huu wa sasa hawezi kupata nafasi kabisa. Niliwahi kukuta walimu 3 wakijitolea kwenye shule moja huko ndani ndani kabisa for 5 years but ajira zilipotoka hawakupata.wakaletwa walimu wapya ambao baada ya miezi michache wakashindwa mazingira na kukimbilia mjini. Hivyo bado kuna haja kubwa ya kurudisha mfumo wa zamani wa taasisi husika kuomba kibali cha ajira na kuajiri zenyewe lakini ili kuboresha tume ya ajira iwe ndiyo mratibu ili kuhakikisha kwamba hata huko halmashauri na kwingineko maombi ya ajira yatumwe kwa mtandao ambao watu wa tume watakuwa wanaona na kwenye interview wawe na mwakilishi.
 
Hao tume ya ajira wanaweza wakabaki na kazi ya kuratibu zoezi la kuajiri watumishi huko kwenye taasisi husika kama Halmashauri idara mbalimbali nk. Pia wanaweza kuungsnishwa kwenye mifumo ya ajira ya taasisi husika ili waweze kuhakikisha hakuna upendeleo. Hii mambo ya kupenda ku centralize mambo sehemu moja kwa nchi kubwa kama Tanzania iko very complicated. Unakuta mtu anajitolea kwenye halmashauri, wakala wa serikali au idara fulani for 2 years lakini kwa mfumo huu wa sasa hawezi kupata nafasi kabisa. Niliwahi kukuta walimu 3 wakijitolea kwenye shule moja huko ndani ndani kabisa for 5 years but ajira zilipotoka hawakupata.wakaletwa walimu wapya ambao baada ya miezi michache wakashindwa mazingira na kukimbilia mjini. Hivyo bado kuna haja kubwa ya kurudisha mfumo wa zamani wa taasisi husika kuomba kibali cha ajira na kuajiri zenyewe lakini ili kuboresha tume ya ajira iwe ndiyo mratibu ili kuhakikisha kwamba hata huko halmashauri na kwingineko maombi ya ajira yatumwe kwa mtandao ambao watu wa tume watakuwa wanaona na kwenye interview wawe na mwakilishi.
Ni maoni yako ila huo mfumo wa kila taasisi kuajiri wenyewe ni mbovu na hautufai kwa watanzania wa hali ya chini ambao hawana wanaye mjua hzo ulizo zitoa hapo ni changamoto za kawaida hakuna sehemu inayokosa changamoto ila naamini secretariat ya ajira bado ni Salama kwa kila mtanzania kupata nafasi ya ajira tatizo tunapenda kulalamika sana siku wakifanya hivyo unavyotaka utakuja hapa kulalamika wameajiriwa watu hawakufanya hata interview licha ya changamoto nyingi za ajira portal bado naamini ni sehemu Salama kwa kila raia wa Tanzania kujaribu bahati yake.
 
Tatizo sio capitalism, Tatizo ni kutoheshimu kanuni za mfumo wa Capitalism na kuziingalia bila sababu za msingi
Kanuni zipi hizo na kuziingilia kwa vipi mfano ?
 
Unajua hasara ya kila taasisi kuajiri wenyewe kwa mfano pale dawasa utakuta joslin mushi (muhasibu) Alex mush (technician) festo mushi (mlinzi) hapo nimetolea mfano mmoja tu bado tanesco na taasisi nyingine za umma huko ndo kuna mapungufu kushinda secretariat ya ajira ambapo mda mwingine unaweza ukabahatika bila connection.
Wamushi wanawanyima kulala siyo?
 
Back
Top Bottom