pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Wachaga ndo wanaongoza kwa ukabila Tanzania ndo maana nimewatolea mfano ndo maana nyerere aliacha wosia wasipewe nchi.Wamushi wanawanyima kulala siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga ndo wanaongoza kwa ukabila Tanzania ndo maana nimewatolea mfano ndo maana nyerere aliacha wosia wasipewe nchi.Wamushi wanawanyima kulala siyo?
Sasa kama hawapewi nchi, ina maana wao wametengwa, right? Sasa mbona tena unawatuhumu kwa ukabila? Mimi ninadhani Wachaga ndiyo wangetakiwa walalamike. Nani kakuambia mtu wa kabila lako akiwa rais, maisha yako yatakuwa bora?Wachaga ndo wanaongoza kwa ukabila Tanzania ndo maana nimewatolea mfano ndo maana nyerere aliacha wosia wasipewe nchi.
Sifa za wachaga kila mtanzania anazijua kama kuchafuka image ya wachaga ilishachafuka toka zamani hamkuchua hatua yoyote sasa hivi hamna mtu anayewaamini wachaga tena ukisikia watu wamepiga dili iwe serikalini au mtaani mchaga hakosi dada zenu ndio kabisa mzazi ukimwambia nimepata mchumba mchaga anashika kichwa image ya wachaga itaendelea kuwa kama ilivyo until further notice.Sasa kama hawapewi nchi, ina maana wao wametengwa, right? Sasa mbona tena unawatuhumu kwa ukabila? Mimi ninadhani Wachaga ndiyo wangetakiwa walalamike. Nani kakuambia mtu wa kabila lako akiwa rais, maisha yako yatakuwa bora?
Jiwe alikuwa rais, sawa; waalize ndugu zake walichofaidika nacho. Kama huna huna tu!
Unateseka Wachaga wakipiga dili! Pole yako masikini wa akili usiye na uwezo wa kupiga dili. Kama umekatazwa kumuoa Mchaga, tafuta kabila lingine, siyo lazima kuoa Uchagani. Maisha ni kuchagua. Usililie usivyovimudu. Tembea usawa wa kambaSifa za wachaga kila mtanzania anazijua kama kuchafuka image ya wachaga ilishachafuka toka zamani hamkuchua hatua yoyote sasa hivi hamna mtu anayewaamini wachaga tena ukisikia watu wamepiga dili iwe serikalini au mtaani mchaga hakosi dada zenu ndio kabisa mzazi ukimwambia nimepata mchumba mchaga anashika kichwa image ya wachaga itaendelea kuwa kama ilivyo until further notice.
Kijana unaandika vitu gani hivi... ??????Kumekua na utaratibu ambao unazilazimisha taasisi zote za serikali kuwatumia sekretarieti ya ajira kufanya mchakato mzima wa kuajiri kila wakati ambao taasisi hizo zinahitaji kuajiri.
Lakini mfumo huu una mapungufu makubwa sana.
Kwanza unachelewa sana kuajiri wafanyakazi wapya kwasababu taasisi zinaajiri wa kumsululu.
Kwa hiyo inabidi taasisi isubiri zamu yake ifike ndipo iweze kutangaziwa Tangazo lake either la kuajiri au kuita watu kwenye usaili au kuita watu kazini.
Lakini pia kuwaachia sekretarieti ya ajira waendelee kuajiri ni kuongeza gharama za kuajiri.
Mimi nilikua naona utaratibu ungerudishwa kama zamani tu. Kila taasisi iajiri yenyewe tu ili kurahisisha mchakato.
NAWASILISHA
Ni vyema ujenge hoja inayokinzana na nilicho kuandika ili tuelewe kwanini unakinzana na nilicho kiandika.Kijana unaandika vitu gani hivi... ??????
Ukiona hujajua Mambo uliza ueleweshwe sio kutoa hoja au ushauri au mapendekezo yenye kushusha heshima ya uelewa wako
Haihitajiki hoja Ila kabla hujaleta kitu kwa mjadala kifanyie uangalizi wa kina,,,,,,,Ni vyema ujenge hoja inayokinzana na nilicho kuandika ili tuelewe kwanini unakinzana na nilicho kiandika.
Nilichokisema nimesha kifanyia utafiti. Hembu tuanzie hapa ajira za TRA zilitangazwa lini. Na kwanini mpaka leo hii majina ya usaili hayajatangazwa?Haihitajiki hoja Ila kabla hujaleta kitu kwa mjadala kifanyie uangalizi wa kina,,,,,,,
Sababu ya Serikali ya JK kuachana na mfumo wa kila taasusi kuajiri wenyewe ni masuala ya urasimu,upendeleo na matumizi mabaya ya fedha,taasisi zilikuwa zinaajiri pasipo kufuata muundo,pasipo kufiata ikama na bila uwazi,watu kama sisi tusio na ndugu mahala popote serikalini tusingewaza kama leo hii tungekuwa watumishi wa umma tena ktk vitengo vizuri,faida ulizozitaja ni ndogo kulinganisha na hasara ambazo imekuwa ikisababisha kwa serikali,by then ww uliyeomba ajira una guaranteee gani kama kazi uliyofanya usahili umepata mpaka uingie kiwewe cha kuona muajiri anakichelewesha kukuita kazini?? Muajiri anakuita kulingana na bajet yake atakapoona inafaa kukuita,unachojipa ni kihoro ambapo majibu yakitoka haupo utaanza kulialia tena kumbe uliboronga,cha muhimu ukifanya usahili sahau endelea na mambo yako,ukiitwa sawa usipoitwa sawa,kuwa na issue ya kifanya nje ya ajira,Kumekua na utaratibu ambao unazilazimisha taasisi zote za serikali kuwatumia sekretarieti ya ajira kufanya mchakato mzima wa kuajiri kila wakati ambao taasisi hizo zinahitaji kuajiri.
Lakini mfumo huu una mapungufu makubwa sana.
Kwanza unachelewa sana kuajiri wafanyakazi wapya kwasababu taasisi zinaajiri wa kumsululu.
Kwa hiyo inabidi taasisi isubiri zamu yake ifike ndipo iweze kutangaziwa Tangazo lake either la kuajiri au kuita watu kwenye usaili au kuita watu kazini.
Lakini pia kuwaachia sekretarieti ya ajira waendelee kuajiri ni kuongeza gharama za kuajiri.
Mimi nilikua naona utaratibu ungerudishwa kama zamani tu. Kila taasisi iajiri yenyewe tu ili kurahisisha mchakato.
NAWASILISHA
Na hai uri munduu waneKuna taasisi nilienda watu wanaongea kirangi ofisin na mimi nikawaunga wakaayi
Hebu tuwekee hapa huo wosia wa Nyerere akisema Wachagga wasipewe nchi iwe kwa audio, video au nukuu toka chanzo rasmi cha serikali ili na sisi tupate kuielewa vizuri hii falsafa ya Mwalimu.Wachaga ndo wanaongoza kwa ukabila Tanzania ndo maana nimewatolea mfano ndo maana nyerere aliacha wosia wasipewe nchi.
Ili muwekane. Utumish wanajitahidi mpaka watoto wa maskini wanapata kazi. Heri kuchelewa kukawa na fair competition kuliko kuwekana kama ilivyokuwaKumekua na utaratibu ambao unazilazimisha taasisi zote za serikali kuwatumia sekretarieti ya ajira kufanya mchakato mzima wa kuajiri kila wakati ambao taasisi hizo zinahitaji kuajiri.
Lakini mfumo huu una mapungufu makubwa sana.
Kwanza unachelewa sana kuajiri wafanyakazi wapya kwasababu taasisi zinaajiri wa kumsululu.
Kwa hiyo inabidi taasisi isubiri zamu yake ifike ndipo iweze kutangaziwa Tangazo lake either la kuajiri au kuita watu kwenye usaili au kuita watu kazini.
Lakini pia kuwaachia sekretarieti ya ajira waendelee kuajiri ni kuongeza gharama za kuajiri.
Mimi nilikua naona utaratibu ungerudishwa kama zamani tu. Kila taasisi iajiri yenyewe tu ili kurahisisha mchakato.
NAWASILISHA
Hao wanaolalamika ni wale watoto waliokiwa wakimaliza shule wanapelekwa internship ofisini kwa babaake miaka hata mitatu ikitokea nafasi interview ya uongo na kweli inafanyika anapachikwa,ofisi unakuta ina Baba/Mama na watoto hapo hapo,wadogo,mashwmej etc,akija kiomgoz ameteuliwa anashindwa hata kujua aanzie wapi maana ofisi nzima ni connection,ukimgusa huyu kaoa pale,huyu mtoto wa huyu ili mradi vurugu,dawa yao ni utumishi kustrengthen mifumo,interview zote wapambane huko,mwenye bahati apate,na bado ikiamua inahamisha tu,ili mradi kuondoa kujuana sana na kuzoea ofisi!!Ili muwekane. Utumish wanajitahidi mpaka watoto wa maskini wanapata kazi. Heri kuchelewa kukawa na fair competition kuliko kuwekana kama ilivyokuwa
hujui unalo liongea, weweHao wanaolalamika ni wale watoto waliokiwa wakimaliza shule wanapelekwa internship ofisini kwa babaake miaka hata mitatu ikitokea nafasi interview ya uongo na kweli inafanyika anapachikwa,ofisi unakuta ina Baba/Mama na watoto hapo hapo,wadogo,mashwmej etc,akija kiomgoz ameteuliwa anashindwa hata kujua aanzie wapi maana ofisi nzima ni connection,ukimgusa huyu kaoa pale,huyu mtoto wa huyu ili mradi vurugu,dawa yao ni utumishi kustrengthen mifumo,interview zote wapambane huko,mwenye bahati apate,na bado ikiamua inahamisha tu,ili mradi kuondoa kujuana sana na kuzoea ofisi!!
Nimware vii kwa makalla aeNa hai uri munduu wane
Tatizo kujuanaKumekua na utaratibu ambao unazilazimisha taasisi zote za serikali kuwatumia sekretarieti ya ajira kufanya mchakato mzima wa kuajiri kila wakati ambao taasisi hizo zinahitaji kuajiri.
Lakini mfumo huu una mapungufu makubwa sana.
Kwanza unachelewa sana kuajiri wafanyakazi wapya kwasababu taasisi zinaajiri wa kumsululu.
Kwa hiyo inabidi taasisi isubiri zamu yake ifike ndipo iweze kutangaziwa Tangazo lake either la kuajiri au kuita watu kwenye usaili au kuita watu kazini.
Lakini pia kuwaachia sekretarieti ya ajira waendelee kuajiri ni kuongeza gharama za kuajiri.
Mimi nilikua naona utaratibu ungerudishwa kama zamani tu. Kila taasisi iajiri yenyewe tu ili kurahisisha mchakato.
NAWASILISHA
Siku hizi hamna undugu ?Sekretarieti changamoto yake ni mchakato mrefu tu wa Interview na kupangiwa kwa vituo vya kazi ila somehow kwa kiasi kidogo inatoa hope kwa yule ambaye connectionless. Hapo uwali undugunization ndio ilikua tiketi