ni muhimu kuwa na laptop kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza?

ni muhimu kuwa na laptop kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza?

Muhimu kama unasoma kozi hizi hapa 1.engineering 2.law 3.medicine 4.architecture 5.accounting&finance,, zaidi ya hapo nunua labda ya kulogin facebook

Hahahahaa mpigamsuli you are very funny....kwahiyo mi na banking and finance yangu nikinunua ni ya kulog in facebook tu???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom