DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Kabla ya kuja kwa laptop hao waliopita ambao ndio walikuwa wasomi hasa walitumia nini? sio nyinyi wa fb,twtter,instagram,rahatupu,harusi yangu n.k
nendeni library nyie mazezeta mkapekue vitabu vinachakaa tu kule,acheni kusimplify mambo muongeze uwezo wa kufikiri!
Uvivu tu na kupenda anasa!
nendeni library nyie mazezeta mkapekue vitabu vinachakaa tu kule,acheni kusimplify mambo muongeze uwezo wa kufikiri!
Uvivu tu na kupenda anasa!