Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Contemporary coding language ya soko! Whatever kwasababu any programming language ina basics to advance!
Hiyo siyo kazi ya chuo kufundisha. Chuo unajifunza fundamentals za programming, kutumia lugha kama alivyosema mdau mmoja C/C+, SQL etc. Hata vyuo vya nje ni hivyo hivyo. Hawafundishi Java au Python au sijui nini. Hizi lugha ni mtu kujiongeza baada ya kuhitimu kulingana na matakwa au mazingira aliyonayo.
 
Kama "source code" ni yenu hapo sawa lakini kuna wengi wanadownload free website na kuzicustomize kwa kuongeza templates na plugins, etc like WordPress, joomla, etc. Ukiwapa task kwamba nitengenezee for example "real-time apps ya kuonyesha traffic jams na kunipa alternative route nipite wapi" utaanza: eeeeh! "you know ....." this is complicated ......" 😂😂😂
Ukipuuzia theory maana yake unapuuzia kuandaa vijana wabunifu, wanaoanza na mawazo mapya kwa kutumia misingi ya sayansi. Mtu anaye entertain practicals tu maana yake atakuwa anategemea atengenezewe vitu au mifumo huko China na Ulaya, yeye aje akae asubiri ukarabati wa kitakachoharibika 😂😂😂
Theory inamfanya mtu afikirishe ubongo, practical ipo kwa ajili ya kutekeleza kilichofikiriwa. Sasa ukiwa unafanya kwa mikono kitu ambacho hukuwa na misingi ya kufikirisha, utaishia kubahatisha na kukariri solutions. Hautakuwa mbunifu mpya
 
Kuna lecture mmoja alikuwa anatufundisha somo la Microsoft word &excel uku dsm chuo kimoja cha biashara...

Daah yule boya alikuwa anakula pesa za bure tu....
 
Ukipuuzia theory maana yake unapuuzia kuandaa vijana wabunifu, wanaoanza na mawazo mapya kwa kutumia misingi ya sayansi. Mtu anaye entertain practicals tu maana yake atakuwa anategemea atengenezewe vitu au mifumo huko China na Ulaya, yeye aje akae asubiri ukarabati wa kitakachoharibika 😂😂😂
Theory inamfanya mtu afikirishe ubongo, practical ipo kwa ajili ya kutekeleza kilichofikiriwa. Sasa ukiwa unafanya kwa mikono kitu ambacho hukuwa na misingi ya kufikirisha, utaishia kubahatisha na kukariri solutions. Hautakuwa mbunifu mpya
Sasa hayo matheoris! Theories! Theories! Ni kama imani bila matendo imekufa! Computer science ni sayansi ni lazima uzalishe kitu chenye mashiko watu waone! Tutakula matheory?
 
Kuna lecture mmoja alikuwa anatufundisha somo la Microsoft word &excel uku dsm chuo kimoja cha biashara...

Daah yule boya alikuwa anakula pesa za bure tu....
Alafu mtu kama huyu anajiita mtaalamu wa kompyuta! Sasa hizo Ms office apps ndo utaalam? 😂😂😂
 
Hiyo siyo kazi ya chuo kufundisha. Chuo unajifunza fundamentals za programming, kutumia lugha kama alivyosema mdau mmoja C/C+, SQL etc. Hata vyuo vya nje ni hivyo hivyo. Hawafundishi Java au Python au sijui nini. Hizi lugha ni mtu kujiongeza baada ya kuhitimu kulingana na matakwa au mazingira aliyonayo.
Kingine! Hivi wanafunzi wa computer science si wanaendaga kufanya kazi kwa vitendo? Practical? Final projects? Sasa kwanini msiwaambie watengeneze mlichowafundisha? Au na nyie mnaogopa kwasababu hamjui mmekalia theories!
 
Kingine! Hivi wanafunzi wa computer science si wanaendaga kufanya kazi kwa vitendo? Practical? Final projects? Sasa kwanini msiwaambie watengeneze mlichowafundisha? Au na nyie mnaogopa kwasababu hamjui mmekalia theories!
Ingia mwenyewe tovuti ya UDSM utafute kazi za wanafunzi wa Computer Science. Ulitegemea muhitimu wa Computer Science atengeneze nini?
 
Ukipuuzia theory maana yake unapuuzia kuandaa vijana wabunifu, wanaoanza na mawazo mapya kwa kutumia misingi ya sayansi. Mtu anaye entertain practicals tu maana yake atakuwa anategemea atengenezewe vitu au mifumo huko China na Ulaya, yeye aje akae asubiri ukarabati wa kitakachoharibika 😂😂😂
Theory inamfanya mtu afikirishe ubongo, practical ipo kwa ajili ya kutekeleza kilichofikiriwa. Sasa ukiwa unafanya kwa mikono kitu ambacho hukuwa na misingi ya kufikirisha, utaishia kubahatisha na kukariri solutions. Hautakuwa mbunifu mpya
Upo sahihi. Mfano mwingine ni mafundi gari wamezoeleka kuitwa mafundi gereji. Vile vile mafundi simu radio na computers .
Wakikutana na radio system imecrash software wanaiweka pembeni hawana suluhusho.
 
Sasa hayo matheoris! Theories! Theories! Ni kama imani bila matendo imekufa! Computer science ni sayansi ni lazima uzalishe kitu chenye mashiko watu waone! Tutakula matheory?
Huwa nina shaka na mtu anayekwepa theory. Au kuna uwezekano hatuelewani kuhusu concept ya theory.
Nitolee mfano, kuna wanafunzi wawili, A na B.
1. Mwanafunzi A anafundishwa kuwa kuna forms kadhaa za Energy kama Heat, Sound, Light, Electrical, Chemical na Mechanical. Katika forms hizo, Energy inaweza kubadilishwa kutoka katika form moja kwenda nyingine, lakini haiwezi kuwa created
2. Mwanafunzi B anafundishwa practical inayohusiana na vifaa vinavyobadilisha forms za energy, ila hajui kinachoendelea humo ndani. Anafundishwa kufunga sensor za mwanga zilizotengenezwa China ili ziweze kucontrol switch ya kuwasha na kuzima taa. Anafundishwa kufunga solar panels zilizotoka China juu ya bati na kuunga taa zake ndani ya nyumba

Yupi kati ya hawa atakuwa na uwezo wa kufanya ubunifu mpya (innovation)? Yupi ataendelea kuwa mtegemezi wa ubunifu?
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
{Are you a coder?"yes, & wahitimu wa udsm tupo wengi tunaojua code":"...."}

kuna hii kitu nimeiona kwa ma Simp wengi kwamba wana lalamikia institution kwa hli na lile, but for what i can say is mtu ukifika level ya chuo it means that, almost everything you need and hopping for, you have to fight for it, hii sio kama zile level mtu yuko primary au secondary anashikiwa fimbo ajifunze kitu flan mpaka akijue, thats totally inverse na chuo,

kwa pale udsm tunafundishwa coding na practial sessions zipo,chuo kina provide execellent enviroment and resources kwa wanafunzi ikiwemo Internet, hubs and laboratories,Pia vile vile chuo kinaruhusu pawepo na ievents zinazo inspire vijana kuwa innovators such events kuna hackerthons, smartgirls/girl-can-code and etc. also kuna times tunaambiwa tutengeneze projects zinazohusisha coding, hence chuo kama chuo kinakua kishafanya kaz yake,.

Tuchambue somo la tehama.. kwa nchi yangu ya Tanzania ukimwambia mtu unasomea somo la computer basi ye direct anajua ww ni hacker au coder but mostly wengi wana assume ww n hacker...which is not true..IT as computer subject field iko na branches nyingi, nyingi sana ambazo mwanafunzi anaweza chagua n nn a specialize..kuna wanakuja kua ma Analyst, kuna wanakuja kua ma project managers, graphics designers, data scientists, network managers and etc..

Tuje kwenye Coding..coding is like mathematics ni kitu isio kubali kilamtu it means n kitu ya wachache, Also coding hu change lifestyle ya mtu na ina side effects nyingi since coders tunatumia mda mwingi tukichoma macho kwenye screen za computer, coding is tough sio kitu rahisi ya kufanya watu walalamikie wanafunzi kutokujua coding...characteristics za ma coder is that, almost ma coder wote n ma weirdos, ani huaga hawana time ya kula bata, coders kills even chances ya ku spend time na family....

The way i see it, is people should stop with there wishful thinking ya kwamba wanaosoma somo la Tehama ni lazma waje kua hacker au coder... since there are so many IT fields which can be smoothly learnt and mastered.. please stop blaming the university and the students be positive.
 
Back
Top Bottom