Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Mie niliplan kijana wangu akifikisha miaka 7 naanza kumfundisha/kumpika kuhusu programming na cyber security.

Na uhakika mpk anafikisha 18 yrs ni kichomi kama Baba ake hapa, nataka agombaniwe na soko, kama nitakuwa hai basi nitakuwa mstari wa mbele kabisa ku reject offer za bei mbuzi.
Zinedine Zidane kafelli pabaya kwa kudhani kuwa mapenzi yake ya soka yatakuwa sawa na mwanae. Matakwa yako yanaweza kuwa tofauti sana na wanao au nduguzo. Nature huamua mtoto aweje awe nani.
Fuatilia uzi wa Geneus mtoto wa kenya wa miaka ya 90 ambae alifeli vibaya huko ulaya.
Huyo geneus aludhulimiwa( kufundishwa mambo mengi ktk umri mdogo) vibaya na wazazi wake na mpaka leo anawalaumu kwa vitendo walivyokuwa wanamfanyia.
 
Magilatech ipo Kigamboni?? Jamaa mwenye dunduliza App?
Achana na dunduliza App, Magilatech ina ofisi hapa, dubai, congo ndio nadhani inaongoza nadhani kutengeneza mifumo ya serikali ya TZ, Congo pia ilipewa tenda na serikali. Imetengeneza azam pay, na mifumo mingine ya kibenki.
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Nijuavyo vyuoni hufundishwi course moja tu;
1:Networking
2:security
3:database
4😛C maintenance
5:software engineering
So kwa mtu wa chuo lazima ujue kimojawapo in details au zaidi ya kimoja.
Kwa maisha na mazingira ya nchi yetu lazima uwe na exposure ili upate practice area ya kua na uwezo wakufanya yaliopo hapo juu otherwise utakua km mwanasiasa kujua hiki kinafanya vipi kazi bila practical knowledge
 
Achana na dunduliza App, Magilatech ina ofisi hapa, dubai, congo ndio nadhani inaongoza nadhani kutengeneza mifumo ya serikali ya TZ, Congo pia ilipewa tenda na serikali. Imetengeneza azam pay, na mifumo mingine ya kibenki.
mifumoo ya hela mingi inatoka nje...! wabongo ni kutengeneza website sna sana..
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!

Wewe umesomea coding/computer chuo kipi au unapendekeza chuo gani? ili tupeleke watoto wetu huko.
 
Umeelewa nilichokwambia au hutaki kuelewa. Toka mwanzo nimekwambia wapo watanzania wamesoma hapa hapa wanafanya vitu kibao unavitumia. Nimekupa mfano nenda pale Magila tech kuna watanzia wameshirika kuunda mifumo ya benki, azam pay, mifumo ya serikali n.k. Nenda smart code kuna vija pale wanapiga code wanaishia kulipwa mishahara ya laki 6 wakati wanatengeneza product zinazoingiza pesa nyingi kwa kampuni.
Mwisho nikakwambia, haijalishi umesoma wapi, programming ni passion kama huna passion nayo huwezi kuwa programmer mzuri.
Sasa unaniambia watu walio_ amalgamated/consolidated katika mfumo tayari unafanyakazi! Ni rahisi kutuongopea! Mtu anayejua coding kwa soko lilivyokubwa hapa Tz hawezi ajiriwa! Wanatafuta ajira kwasababu ya tiamajitiamaji ya kuwaboost
 
Sasa unaniambia watu walio_ amalgamated/consolidated katika mfumo tayari unafanyakazi! Ni rahisi kutuongopea! Mtu anayejua coding kwa soko lilivyokubwa hapa Tz hawezi ajiriwa! Wanatafuta ajira kwasababu ya tiamajitiamaji ya kuwaboost
Kwa hiyo sasa umebadilisha si tena anayejua coding bali ambaye anajua coding na yuko nje ya mfumo.
Kuna watu hawajaajiriwa na yeyote na wanafanya coding nawajua wanaunda mifumo ya watu wengine hadi wanafanya project za watu wa nje hata hujawahi kuzisikia. Shida ni kwamba kuna product za inhouse ambazo wewe kama mtu wa nje huwezi kuzifahamu na watu wanazitengeneza.
Hao nimekutajia kama mfano kwa sababu wameunda vitu mashuhuri hapa hapa TZ vinajulikana.
Coders waliosoma hapa hapa wapo wengi tu na wanafanya vitu ambavyo mtu nje ya field hawezi kuelewa.
 
Mkuu kwa UDSM hizo course kwa sasa zipo college ya COiCT.

Kuna
1. Bsc. in Computer science
2. Computer engineering
3. Telecom
4. Electronics
Hawa wote wanasoma coding ila ni wewe kijichagulia option yako. Coding wanafundishwa na zinaeleweka kabsa. Na ukitaka kujua hudhuria project presentation zao during final year.

Tatzo kubwa huwa linakuja baada ya kutoka pale.
Either uanzishe startup yako au uajiriwe kwenye makampuni yanayo develop apps. Kampuni au mashirika mengi wana mifumo iliyo tayari unakuta unashinda kufanya bugs fixing n.k....

Ila kwa kifupi miaka ya nyuma ni unakuta kila kitu tayari unabakia kuwa operator.

Siku hizi mambo yamebadilika startups ni nyingi na mwamko wa kujiajiri ni mkubwa so naamini things are getting well.
Kwa dunia ya sasa coding ni kitu rahisi sana.
Can you imagine waliosoma Pascal? Lugha ya kwanza kwanza ile na unatoka hapo unaenda kwenye C then Java. Na bado wakaunda apps....
Ni vile maisha yanakupeleka kwingine...
Sasa wee jamaa unakitu cha kunifanya nikusikilize! Mhandisi Mzalendo
 
Coding ni verb siyo noun. Kuna lugha nyingi sana za programming ambazo mtu anaweza kujifunza coding. Sasa wewe sijui unamaanisha nini kusema mtu anayejua coding.
Contemporary coding language ya soko! Whatever kwasababu any programming language ina basics to advance!
 
Mimi nina maisha yangu sina shida! Hila nina watoto tena kwa niaba ya watoto "vipanga" wanaomaliza kidato cha sita na div.1 ya point 3 hadi 6 ndoto zao ni masomo yatakayowapelekea kuwa vizuri kwenya coding! Kwa UDSM hiyo course ni "Bsc. In Computer Engineering" sio unawapeleka shimoni ambalo hawawezi kutoka!

Wapeleke wanao nje au chuo unachoona kinafaa.

Probably hata waliomaliza CS UDSM nao majibu yao ni kama wewe "wana maisha yao." Wanapambana na mambo mengine na yanaenda hawana tena muda na mambo ya coding. Kwao hiyo ni sahihi kabisa.

Hii nchi kila kitu kinafanyika subpar. Kuna mtu alisema wanasheria wa bongo uwezo wao unaishia Kisutu tu. Wakandarasi wa bongo wakipewa kazi nadhani unajua kazi zao. Huko hospitalini malalamiko usiseme. Viongozi ambao wengi ni zao la UDSM nao ni wale wale. Ukiamua kulalamikia chuo utalalamikia kila kitu. Je, tatizo ni chuo, budget, vitendea kazi au watu wenyewe?
 
Una experience na field unayoongelea? Au unadhani ustadi wa kucheza draft unapatikana bila kujua kucheza draft?
Mbona unanilisha hoja wewe zwazwa nani kasema ustadi unakuja bila kujua kitu husika tumia akili basi japo kidogo 🤕 ustadi ni zaidi ya uzoefu na ujuzi kwa kuwa ustadi unapimwa kwa product iliyo tukuka ya hali ya juu ...unaweza kuwa na elimu na uzoefu ila product ya hiyo elimu na uzoefu zikawa duni.
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Usikariri ndugu, zama zimebadilika. Vijana wapo vizuri, kama ukitaka kufanya nao kazi njoo inbox nikupatie, utakuja kuufuta uzi huu. Ila uwalipe vizuri.
 
Zinedine Zidane kafelli pabaya kwa kudhani kuwa mapenzi yake ya soka yatakuwa sawa na mwanae. Matakwa yako yanaweza kuwa tofauti sana na wanao au nduguzo. Nature huamua mtoto aweje awe nani.
Fuatilia uzi wa Geneus mtoto wa kenya wa miaka ya 90 ambae alifeli vibaya huko ulaya.
Huyo geneus aludhulimiwa( kufundishwa mambo mengi ktk umri mdogo) vibaya na wazazi wake na mpaka leo anawalaumu kwa vitendo walivyokuwa wanamfanyia.
Kumpika mtu and kumuamulia his/her destiny ni tofauti.

Ndio maana ktk ishu ya mpira kuna ACADEMY mbn hao hutolei mfano?

Same applied here, Programming si ya kuisoma ukiwa ushakomaa akili kupitiliza utapasuka kichwa, ile inatakiwa iwe ni culture yake anayopractice kila siku. Akiamua aachane nayo ni yeye sasa.

Epuka lawama kutoka kwa Watoto wako, just fanya kila kitu ambacho unaona ni sahihi.

Ni kheri apoteze muda akisoma mambo ya maana kuliko apoteze muda kuangalia katuni.
 
Mbona unanilisha hoja wewe zwazwa nani kasema ustadi unakuja bila kujua kitu husika tumia akili basi japo kidogo 🤕 ustadi ni zaidi ya uzoefu na ujuzi kwa kuwa ustadi unapimwa kwa product iliyo tukuka ya hali ya juu ...unaweza kuwa na elimu na uzoefu ila product ya hiyo elimu na uzoefu zikawa duni.
Anyway naona unabwabwaja.
Kabla sijasahau mkuu
Zwazwa bibi yako.

Endelea kubwabwaja.
 
Kumpika mtu and kumuamulia his/her destiny ni tofauti.

Ndio maana ktk ishu ya mpira kuna ACADEMY mbn hao hutolei mfano?

Same applied here, Programming si ya kuisoma ukiwa ushakomaa akili kupitiliza utapasuka kichwa, ile inatakiwa iwe ni culture yake anayopractice kila siku. Akiamua aachane nayo ni yeye sasa.

Epuka lawama kutoka kwa Watoto wako, just fanya kila kitu ambacho unaona ni sahihi.

Ni kheri apoteze muda akisoma mambo ya maana kuliko apoteze muda kuangalia katuni.
Sawa ila ni muhimu kujua uwezo, interest na maono ya mtoto. Unaweza kumlazimisha awe IT kumbe bongo yake haiendani.
Nimetolea mfano zidane kwa sababu una maono kama yake na ni mfano wa watu waliofeli kukuza kipaji cha mtoto.
Mess, Ronaldo nao wamefuata maono yao ila time will tell kama wapo right.
Academy ni mpango madhubuti wa kuinua vipaji.Academy zimejikita kwenye kukuza kipaji sio interest.
USA wana Mensah club ambayo kazi yake ni kuthibitisha na kugundua watoto wenye IQ kubwa ili wapewe mtaala wao.
Nimuhimu sana kuzingatia uwezo wa mtoto vinginevyo utapoteza muda na rasilimali.
Kumbuka muda ni mali.
Nakutahadharisha tu usije poteza nguvu na rasilimali, kama unataka kwenda kitaalamu basi waone wana saokilojia au walimu wabobevu ktk makuzi ya mtoto.
Wewe kusoma jambo fulani haikufanyi kuwa career guider vinginevyo uwe psychologist.
Watu wengi sana wamepotezwa na matamanio ya nyakati bila kujali mahitaji na mazingira ya nyakati.
Jaribu kuepuka kitu kinaitwa" Emotional Intelligence" , huu ndio ugonjwa mkubwa unaotukumba waafrika na matokeo yake hatueleweki.
Jikite zaidi ktk Rational intelligence ambayo itakusaidia kufanya rational decision ambayo itazaa matunda chanya na ustawi wa familia yako.
 
Back
Top Bottom