Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Wewe umetengeneza nini?

Kama hawajui hiyo ndo fursa itumie. Fungua Kampuni fanya hizo kazi wewe. Hii nchi kila mtu anapenda kulalamika wengine as if uliwalipia ada.
Hii nchi si tunapenda kulaumu tu, ku take action sisi binafsi aah-aah
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
WATU WANASHINDWA KUTOFAUTISHA KATI YA KUJUA KUCHEZA DRAFT NA KUWA BIGWA WA KUCHEZA DRAFT (USTADI WA UCHEZAJI )
 
Hakuna chuo chochote duniani kinafundisha CODING Practically zaidi ya asilimia 25. Coding ni theory ukielewa theory practical inabaki juu yako mwanafunzi na kujiongeza kwako.
 
Haaaahaaa! Lete vielelezo!! hacha porojo!!! za kuwapotezea watoto wetu Chuo mwisho wa siku wanaishia mitaani!
Kwa kukusaidia.
Tafuta kampuni inaitwa IFULUSI last time najua ofisi ilikua mikocheni that is back to 2011/12 uliza waliotengeneza USSD application ya M BET walikua kina nani na wakati wanatengeneza walikua wana experience kiasi gani? Na walisoma wapi? And who is behind all that.
Then anza kufuatia project za hao jamaa.

Ukifanikiwa hapo njoo tuendelee kujadili.
 
Hakuna chuo chochote duniani kinafundisha CODING Practically zaidi ya asilimia 25. Coding ni theory ukielewa theory practical inabaki juu yako mwanafunzi na kujiongeza kwako.
Huyu anajua coding ni vifaa au sijui ni nini? Coding is theory and principles. Kutoka kwenye hizo ndio utatengeneza kitu. Sasa anataka ufundishwe java bila kujua namna ya kuichapa na principle zake.....
 
Okay! Umesema "smartcode/magilatech" wamejifunzia wapi? Utasikia UK/INDIA
Magila ni self taught programmer yeye kasoma account IFM, lakini pale kaajiri watanzania waliosoma hapa hapa tu. Pia Smartcode huyo ndio kawajaza vijana wa kitanzania waliosoma hapa hapa tu. Vijana wapo wengi tu jaribu siku moja utembelee buni lab pale sayansi utaelewa.
Na coding asimilia 80 ni wewe mwenyewe hakuna chuo kitakufundisha uwe coder kipanga.
 
Kwa kukusaidia.
Tafuta kampuni inaitwa IFULUSI last time najua ofisi ilikua mikocheni that is back to 2011/12 uliza waliotengeneza USSD application ya M BET walikua kina nani na wakati wanatengeneza walikua wana experience kiasi gani? Na walisoma wapi? And who is behind all that.
Then anza kufuatia project za hao jamaa.

Ukifanikiwa hapo njoo tuendelee kujadili.
Asante! Natafuta watu kama nyie!
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Inaweza kuwa na ukweli lakini siyo UDSM tu vyuo vingi inaweza kuwa hivyo na hata vya huko nje.Kwa maana kama first degree tunasoma General knowledge sasa kujua hicho ulichokisema ni kuwa wapo wanaojua wamesoma hapo udsm ila inategemea baada ya kumaliza degree yako umeanza kufanya kazi kwenye industry gani.Kwa sababu kama umefaulu vizuri degree yako industry utakayoanza kufanya nayo kazi watakufundisha utaelewa vizuri kwa sababu you have idea ulichosoma kwa hiyo itakuwa rahisi kufundishika.Wenzetu unakosema huko nje ukianza kazi unaanza kufundishwa kwanza jinsi ya kufanya kazi zao kwa standard wanayoitaka kwenye hiyo industry utakayoanza nayo na kama wamesema wanahitaji mwenye degree wanajua utakuwa mwepesi kufundishika kwa sababu ya kiwango chako cha elimu
 
Magila ni self taught programmer yeye kasoma account IFM, lakini pale kaajiri watanzania waliosoma hapa hapa tu. Pia Smartcode huyo ndio kawajaza vijana wa kitanzania waliosoma hapa hapa tu. Vijana wapo wengi tu jaribu siku moja utembelee buni lab pale sayansi utaelewa.
Na coding asimilia 80 ni wewe mwenyewe hakuna chuo kitakufundisha uwe coder kipanga.
Wewe huja ni-convise! Tunawapotezea muda "vipanga wa kidato cha sita"
 
Wewe huja ni-convise! Tunawapotezea muda "vipanga wa kidato cha sita"
Coders wazuri waliosoma hapa hapa wapo wengi sana ila shida huko mtaani unataka mtu akutengenezee project ya milioni 10 kwa laki 5 sasa wewe unategemea nini.
Nenda buni siku moja utakutana nao vijana ni coders wazuri. Kuna vijana fulani nadhani mwaka jana ni wanafunzi hapa hapa walishinda mashidano ya coding huawei huko china.
Yani good coders ni wengi sana mbona au wewe unahisi hadi mtu aje na project yake mwenyewe kama akina mark ndiye atakuwa coder mzuri?
 
Mie niliplan kijana wangu akifikisha miaka 7 naanza kumfundisha/kumpika kuhusu programming na cyber security.

Na uhakika mpk anafikisha 18 yrs ni kichomi kama Baba ake hapa, nataka agombaniwe na soko, kama nitakuwa hai basi nitakuwa mstari wa mbele kabisa ku reject offer za bei mbuzi.
 
Wewe umetengeneza nini?

Kama hawajui hiyo ndo fursa itumie. Fungua Kampuni fanya hizo kazi wewe. Hii nchi kila mtu anapenda kulalamika wengine as if uliwalipia ada.
Mimi nina maisha yangu sina shida! Hila nina watoto tena kwa niaba ya watoto "vipanga" wanaomaliza kidato cha sita na div.1 ya point 3 hadi 6 ndoto zao ni masomo yatakayowapelekea kuwa vizuri kwenya coding! Kwa UDSM hiyo course ni "Bsc. In Computer Engineering" sio unawapeleka shimoni ambalo hawawezi kutoka!
 
Coders wazuri waliosoma hapa hapa wapo wengi sana ila shida huko mtaani unataka mtu akutengenezee project ya milioni 10 kwa laki 5 sasa wewe unategemea nini.
Nenda buni siku moja utakutana nao vijana ni coders wazuri. Kuna vijana fulani nadhani mwaka jana ni wanafunzi hapa hapa walishinda mashidano ya coding huawei huko china.
Yani good coders ni wengi sana mbona au wewe unahisi hadi mtu aje na project yake mwenyewe kama akina mark ndiye atakuwa coder mzuri?
Wewe utakuwa hujui! Una-bid hela mdefu kusudi uajiri anayejua kutoka nje! Kalaghabao!
 
Mimi nina maisha yangu sina shida! Hila nina watoto tena kwa niaba ya watoto "vipanga" wanaomaliza kidato cha sita na div.1 ya point 3 hadi 6 ndoto zao ni masomo yatakayowapelekea kuwa vizuri kwenya coding! Kwa UDSM hiyo course ni "Bsc. In Computer Engineering" sio unawapeleka shimoni ambalo hawawezi kutoka!
Mkuu coding ni passion, asilimia 80 mtu anajifunza mwenyewe huko shule wanawapa basics tu maana ukishajua basics ni rahisi kujifunza languages nyingine. Kwanza dunia inakimbia kila mara kuna libraries, open source codes zinatoka kila siku na mtu inabidi ajifunze mwenyewe yote hayo maana hawezi kurudi shule.
Kama mtu hana passion ya programming kamwe hawez kuwa programmer mzuri.
 
Mkuu coding ni passion, asilimia 80 mtu anajifunza mwenyewe huko shule wanawapa basics tu maana ukishajua basics ni rahisi kujifunza languages nyingine. Kwanza dunia inakimbia kila mara kuna libraries, open source codes zinatoka kila siku na mtu inabidi ajifunze mwenyewe yote hayo maana hawezi kurudi shule.
Kama mtu hana passion ya programming kamwe hawez kuwa programmer mzuri.
Kwahiyo unataka kuniambia watanzania wote hawana passion ya coding?
 
Back
Top Bottom