The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Oa basi wewehahahaha, tindo, tester, DMM, combination pliers ndiyo tools zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oa basi wewehahahaha, tindo, tester, DMM, combination pliers ndiyo tools zangu
Umeelewa nilichokwambia au hutaki kuelewa. Toka mwanzo nimekwambia wapo watanzania wamesoma hapa hapa wanafanya vitu kibao unavitumia. Nimekupa mfano nenda pale Magila tech kuna watanzia wameshirika kuunda mifumo ya benki, azam pay, mifumo ya serikali n.k. Nenda smart code kuna vija pale wanapiga code wanaishia kulipwa mishahara ya laki 6 wakati wanatengeneza product zinazoingiza pesa nyingi kwa kampuni.Kwahiyo unataka kuniambia watanzania wote hawana passion ya coding?
yani unatengeneza azam pesa alafu unalipwaa laki 6..!Makampuni na mashirika mengi mtandaoni wanatafuta watu wa kuwatengenezea mfumo (system) hawaoni mpaka wanajitokeza kutoka nje ya nchi! Najiuliza kulikoni? Kwa mfano SACCOS nyingi nchini zinabadili mfumo wa makaratasi kwenda wa kidigitali! Wanaowatengenezea (ambao ni wachache) ukiwadadisi walisomea nje! Namjua Dr. mmoja yuko MUCE (Iringa) ila alisomea hiyo taaluma kiwango cha Masters nje!
Kweli kabisaKumbe ulikua haujui? Wezombi?
Kweli kabisaprogrammer wapo ila maisha yao ni ya njaa sio kwa ajili programmer inataka
Kweli kabisasimu ikiharibika utaletewa wewe
tv, radio wewe
utaulizwa unaweza kuhack CRDB uibe shilingi moja moja kwa kila mtu?
au unawezaje kupata bando bila kulipia?
kama hujui basi wewe wa mchongo
Kweli kabisaUlichoandika kina ukweli maana utakuta Kitengo kizima cha TEHAMA kwenye Taasisi hakuna hata Mtaalam mmoja anayejua masuala ya Coding. Hii sio kwa Taasisi za Serikali tu hata Sekta Binafsi.
Kweli kabisaAngalia mtaala, utakupa vision kuwa hawa ni practical oriented au theory oriented. Vyuo vikuu vikubwa vina offer theory oriented tu (si vyote) halaf techical college ndio wanapigwa practical
Hii mitaala inatakiwa irekebishwe else wasomi wetu watapata taabu kuajirika
Kweli kabisaWaliopo wamesomea nje! Sasa wanawaongopea vijana wetu course za computer science/engineering na kuwapotezea muda! Si bora tuwapeleke nje moja kwa moja kama hawawezi kuwafundisha?
Kweli kabisaSi ndo ile degree unaandika makorokorooo inatokea whatsapp 😀 😀 😀 ila mpaka uyaandike ushapigika sana na asilimi 98 wnagradueate hata game la nyoka hawezi tengenezaa.
Kweli kabisaKweli kabisa
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Kweli kabisaAngalia mtaala, utakupa vision kuwa hawa ni practical oriented au theory oriented. Vyuo vikuu vikubwa vina offer theory oriented tu (si vyote) halaf techical college ndio wanapigwa practical
Hii mitaala inatakiwa irekebishwe else wasomi wetu watapata taabu kuajirika
unaliwaa???Kweli kabisa
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Coding ni verb siyo noun. Kuna lugha nyingi sana za programming ambazo mtu anaweza kujifunza coding. Sasa wewe sijui unamaanisha nini kusema mtu anayejua coding.Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Mkuu kwa UDSM hizo course kwa sasa zipo college ya COiCT.Mimi nina maisha yangu sina shida! Hila nina watoto tena kwa niaba ya watoto "vipanga" wanaomaliza kidato cha sita na div.1 ya point 3 hadi 6 ndoto zao ni masomo yatakayowapelekea kuwa vizuri kwenya coding! Kwa UDSM hiyo course ni "Bsc. In Computer Engineering" sio unawapeleka shimoni ambalo hawawezi kutoka!
Mtaala tatizo mkuu coding Marekani mwanafunzi anamaliza high school ashasoma sanaSasa waache kutuongopea na kutupotezea muda wa watoto wetu. Tunataka mtu akisomea "software engineering" awe anajua coding!
Kuna tofauti baina ya kujua kucheza draft na kuwa stadi wa uchezaji draft ...hao wanajua tu kucheza draft ila ustadi ni 0Kwa kukusaidia.
Tafuta kampuni inaitwa IFULUSI last time najua ofisi ilikua mikocheni that is back to 2011/12 uliza waliotengeneza USSD application ya M BET walikua kina nani na wakati wanatengeneza walikua wana experience kiasi gani? Na walisoma wapi? And who is behind all that.
Then anza kufuatia project za hao jamaa.
Ukifanikiwa hapo njoo tuendelee kujadili.
😄 una Nini MkuuMimi mkuu...Ila sahivi nipo bize na kagenge kangu labda baadaye kidogo nitatuma hizo code
Una experience na field unayoongelea? Au unadhani ustadi wa kucheza draft unapatikana bila kujua kucheza draft?Kuna tofauti baina ya kujua kucheza draft na kuwa stadi wa uchezaji draft ...hao wanajua tu kucheza draft ila ustadi ni 0
Haya kawachukue uwalete.Tuchukue wanafunzi watatu waliomaliza hiyo elimu ya computer, Makerere, UDSM, na Nairobi, mmoja kila chuo. Tuone ni nani aliyelishwa matango.