Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Naona mchakamchaka humu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mchakamchaka humu😂
Kumbe ulikua haujui? Wezombi?Unaweza kukuta hata hii platform ya jamii forum katengeneza mzungu!
programmer wapo ila maisha yao ni ya njaa sio kwa ajili programmer inatakaUkiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
simu ikiharibika utaletewa weweHaupo serious ww
Mafuta ya Upako hupewi formula yanatengenezwa vipi Ile ni Biashara jiulize huyo docta kaambukiza wangapi hio taaluma yake zaidi ya kubakia nayo mwenyewe?Makampuni na mashirika mengi mtandaoni wanatafuta watu wa kuwatengenezea mfumo (system) hawaoni mpaka wanajitokeza kutoka nje ya nchi! Najiuliza kulikoni? Kwa mfano SACCOS nyingi nchini zinabadili mfumo wa makaratasi kwenda wa kidigitali! Wanaowatengenezea (ambao ni wachache) ukiwadadisi walisomea nje! Namjua Dr. mmoja yuko MUCE (Iringa) ila alisomea hiyo taaluma kiwango cha Masters nje!
hahahaha, tindo, tester, DMM, combination pliers ndiyo tools zanguBhasi poa shusha hata Tindo.
Ulichoandika kina ukweli maana utakuta Kitengo kizima cha TEHAMA kwenye Taasisi hakuna hata Mtaalam mmoja anayejua masuala ya Coding. Hii sio kwa Taasisi za Serikali tu hata Sekta Binafsi.Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Hivyo vitu vidogo sana! Ebu nenda college of informatics hapo UDOM kaulize mtu akiitimu kwa mfano bachelor of science in information systems na akaweza kujiajir au kuajiriwa pesa anayoingiza kwa mwez ni kiasi gani? Tia maji sana ni around 2.5m na hapo ni yeye na pc yake ya 300ksimu ikiharibika utaletewa wewe
tv, radio wewe
utaulizwa unaweza kuhack CRDB uibe shilingi moja moja kwa kila mtu?
au unawezaje kupata bando bila kulipia?
kama hujui basi wewe wa mch
Hakuna kitu pale MlimaniUkiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Kuna Dr. mmoja COICT ya UDSM pale kijitonyama alisomea nje hiyo Doctorate lakini program zake nyingi nikiziangalia alicopy na kupaste anachokifanya ni ku_customise! Tunataka mtu wa kutengeneza kitu from scratch na akaweza kuishi kwa soko! Sio hawa wanaoishi kwa mshahara na kutuongopea kwa matheories!Ulichoandika kina ukweli maana utakuta Kitengo kizima cha TEHAMA kwenye Taasisi hakuna hata Mtaalam mmoja anayejua masuala ya Coding. Hii sio kwa Taasisi za Serikali tu hata Sekta Binafsi.
Sasa nataka unipe hao wanaojua coding!Yah kwa UDSM, Computer Science ni mostly theory, lectures hazivutii na most ya wanafunzi wanaogopa programming thus why wengi wanakimbilia kwenye Networking. ila wapo wanaojua vuzuri coding
Mbona wapo? tangaza Project tu au weka prize based on project, unafikiri nchi yenye watu 69M+ inaweza kosa vijana wenye uwezo?Sasa nataka unipe hao wanaojua coding!
Kiongozi, Programming watu wanaikimbia sana kutokana na ugumu wake. Katika Taasisi zilizo nyingi wanatumia Wataalam kutoka nje ya Taasisi wanapokuwa na issue za kutengeneza mifumo(Systems Development) .Kuna Dr. mmoja COICT ya UDSM pale kijitonyama alisomea nje hiyo Doctorate lakini program zake nyingi nikiziangalia alicopy na kupaste anachokifanya ni ku_customise! Tunataka mtu wa kutengeneza kitu from scratch na akaweza kuishi kwa soko! Sio hawa wanaoishi kwa mshahara na kutuongopea kwa matheories!
Wapo ila ni wachache.Mbona wapo? tangaza Project tu au weka prize based on project, unafikiri nchi yenye watu 69M+ inaweza kosa vijana wenye uwezo?
Mimi ni najua ninachokisema! Dau kubwa la nini? Ili waende wakatangaze nje na kupata hela ya kuwalipa na kuja kuniongopea wametengeneza wao?Mbona wapo? tangaza Project tu au weka prize based on project, unafikiri nchi yenye watu 69M+ inaweza kosa vijana wenye uwezo?
Angalia mtaala, utakupa vision kuwa hawa ni practical oriented au theory oriented. Vyuo vikuu vikubwa vina offer theory oriented tu (si vyote) halaf techical college ndio wanapigwa practicalUkiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Waliopo wamesomea nje! Sasa wanawaongopea vijana wetu course za computer science/engineering na kuwapotezea muda! Si bora tuwapeleke nje moja kwa moja kama hawawezi kuwafundisha?Wapo ila ni wachache.