Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
programmer wapo ila maisha yao ni ya njaa sio kwa ajili programmer inataka
 
Makampuni na mashirika mengi mtandaoni wanatafuta watu wa kuwatengenezea mfumo (system) hawaoni mpaka wanajitokeza kutoka nje ya nchi! Najiuliza kulikoni? Kwa mfano SACCOS nyingi nchini zinabadili mfumo wa makaratasi kwenda wa kidigitali! Wanaowatengenezea (ambao ni wachache) ukiwadadisi walisomea nje! Namjua Dr. mmoja yuko MUCE (Iringa) ila alisomea hiyo taaluma kiwango cha Masters nje!
Mafuta ya Upako hupewi formula yanatengenezwa vipi Ile ni Biashara jiulize huyo docta kaambukiza wangapi hio taaluma yake zaidi ya kubakia nayo mwenyewe?
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Ulichoandika kina ukweli maana utakuta Kitengo kizima cha TEHAMA kwenye Taasisi hakuna hata Mtaalam mmoja anayejua masuala ya Coding. Hii sio kwa Taasisi za Serikali tu hata Sekta Binafsi.
 
simu ikiharibika utaletewa wewe

tv, radio wewe

utaulizwa unaweza kuhack CRDB uibe shilingi moja moja kwa kila mtu?

au unawezaje kupata bando bila kulipia?

kama hujui basi wewe wa mch
Hivyo vitu vidogo sana! Ebu nenda college of informatics hapo UDOM kaulize mtu akiitimu kwa mfano bachelor of science in information systems na akaweza kujiajir au kuajiriwa pesa anayoingiza kwa mwez ni kiasi gani? Tia maji sana ni around 2.5m na hapo ni yeye na pc yake ya 300k

Halafu hizo story za kuhack bank achana-nazo nazo! Bank huwa wanatumia mainframe computer ni ngumu mno kuihack.
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Hakuna kitu pale Mlimani
 
Ulichoandika kina ukweli maana utakuta Kitengo kizima cha TEHAMA kwenye Taasisi hakuna hata Mtaalam mmoja anayejua masuala ya Coding. Hii sio kwa Taasisi za Serikali tu hata Sekta Binafsi.
Kuna Dr. mmoja COICT ya UDSM pale kijitonyama alisomea nje hiyo Doctorate lakini program zake nyingi nikiziangalia alicopy na kupaste anachokifanya ni ku_customise! Tunataka mtu wa kutengeneza kitu from scratch na akaweza kuishi kwa soko! Sio hawa wanaoishi kwa mshahara na kutuongopea kwa matheories!
 
Kuna Dr. mmoja COICT ya UDSM pale kijitonyama alisomea nje hiyo Doctorate lakini program zake nyingi nikiziangalia alicopy na kupaste anachokifanya ni ku_customise! Tunataka mtu wa kutengeneza kitu from scratch na akaweza kuishi kwa soko! Sio hawa wanaoishi kwa mshahara na kutuongopea kwa matheories!
Kiongozi, Programming watu wanaikimbia sana kutokana na ugumu wake. Katika Taasisi zilizo nyingi wanatumia Wataalam kutoka nje ya Taasisi wanapokuwa na issue za kutengeneza mifumo(Systems Development) .
 
Mbona wapo? tangaza Project tu au weka prize based on project, unafikiri nchi yenye watu 69M+ inaweza kosa vijana wenye uwezo?
Mimi ni najua ninachokisema! Dau kubwa la nini? Ili waende wakatangaze nje na kupata hela ya kuwalipa na kuja kuniongopea wametengeneza wao?
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Angalia mtaala, utakupa vision kuwa hawa ni practical oriented au theory oriented. Vyuo vikuu vikubwa vina offer theory oriented tu (si vyote) halaf techical college ndio wanapigwa practical
Hii mitaala inatakiwa irekebishwe else wasomi wetu watapata taabu kuajirika
 
Back
Top Bottom