Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Ni muhitimu yupi UDSM aliyehitimu shahada ya masomo ya Computer anaweza kuthibitisha anajua coding?

Angalia mtaala, utakupa vision kuwa hawa ni practical oriented au theory oriented. Vyuo vikuu vikubwa vina offer theory oriented tu (si vyote) halaf techical college ndio wanapigwa practical
Hii mitaala inatakiwa irekebishwe else wasomi wetu watapata taabu kuajirika
Technical college tulizonazo hazitoi degree! Zinatoa diploma na certificate!
 
Wapo ila ni wachache.
Kuna watu humu wanadhani hakuna kabisa. Unahitaji self discipline, determination na passion kujua Programming / Software development na kwa 80% ni juhudi yako binafsi

UDSM na hata vyuo vingi hawafundishi CS inavyotakiwa
Niwe mkweli, Lecturers wengi ni incompetent haswa upande wa Software development, Lectures zao nyingi ni shallow na outdated (na hii ni from personal experience cause nilisoma hapo)

Hiki ndicho kilichochangia idadi kubwa ya graduates wa CS kuwa incompetent kwenye Software development. Ila wapo 1% wanaojua vizuri na sio lazima wawe CS graduates
 
Akijitokeza niite mbwa nimekaa pale,Mwl wangu wa Business Math chuo ni muhitimu wa computer science pale UDSM afu masters kasoma BA coding ni kujifunza toka utoto sio kwa elimu ya bongo
Sasa waache kutuongopea na kutupotezea muda wa watoto wetu. Tunataka mtu akisomea "software engineering" awe anajua coding!
 
Kuna watu humu wanadhani hakuna kabisa. Unahitaji self discipline, determination na passion kujua Programming / Software development na kwa 80% ni juhudi yako binafsi

UDSM na hata vyuo vingi hawafundishi CS inavyotakiwa
Niwe mkweli, Lecturers wengi ni incompetent haswa upande wa Software development, Lectures zao nyingi ni shallow na outdated (na hii ni from personal experience cause nilisoma hapo)

Hiki ndicho kilichochangia idadi kubwa ya graduates wa CS kuwa incompetent kwenye Software development. Ila wapo 1% wanaojua vizuri na sio lazima wawe CS graduates
Apo umenena
 
Kuna watu humu wanadhani hakuna kabisa. Unahitaji self discipline, determination na passion kujua Programming / Software development na kwa 80% ni juhudi yako binafsi

UDSM na hata vyuo vingi hawafundishi CS inavyotakiwa
Niwe mkweli, Lecturers wengi ni incompetent haswa upande wa Software development, Lectures zao nyingi ni shallow na outdated (na hii ni from personal experience cause nilisoma hapo)

Hiki ndicho kilichochangia idadi kubwa ya graduates wa CS kuwa incompetent kwenye Software development. Ila wapo 1% wanaojua vizuri na sio lazima wawe CS graduates
Mkuu unachoongea nimekuelewa sana! Tatizo langu ni tatizo la kitaifa! Vijana wengi wanamaliza six na div. 1 ya point 3 hadi 6 na wanapenda kusomea "software engineering" ambayo 💯 ni kujua coding! Sasa kama hawawezi kuwafundisha coding si waifute hiyo course waishie "Bsc. with Computer Science" ambayo ni kulishana manadharia tu ambayo hayawezi kumsaidia katika soko la saa!!!!!?????
 
Mimi ni najua ninachokisema! Dau kubwa la nini? Ili waende wakatangaze nje na kupata hela ya kuwalipa na kuja kuniongopea wametengeneza wao?
Ngoja nikusaidie basi, unahitaji vigezo gani ku prove uwezo wa software developer / programmer ambao wewe unauhitaji?
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Yani wewe umekaa zako unataka kufanya sensa ya watu wanaojua coding kutoka UDSM.... Upo serious? Vijana wengi wanapiga code na wanafanya project kubwa.

Wewe sema una shida ya app gani au mfumo gani tukuletee mabingwa....

Humu wewe mwenyewe unatumia majina bandia halafu unauliza sensitive info umetumwa?
 
Ngoja nikusaidie basi, unahitaji vigezo gani ku prove uwezo wa software developer / programmer ambao wewe unauhitaji?
Awe na kazi katika soko ambazo tunaweza kuziangalia na kusema "naam!!" Huyu ndiye!!
 
Ukiongelea taaluma ya Computer LAZIMA ujue kuandika lugha ya Computer (coding). Hiki chuo cha UDSM nina wasiwasi kila kitu wanafundisha nadharia tu (theory) hata katika taalum ambazo tunategenea wahitimu wawe wameiva kivitendo. Taaluma za uhandisi (engineering) wanaweza kujificha katika kivuli cha taasisi wanazofanyakazi kiasi kwamba wanaweza kuwa wanabebwa kwavile wanakuta taasisi au kampuni tayari imesimama inafanyakazi na wao tiamajitiamaji wanaibia na kukalili na mwisho wa siku wanajimwambafai. Sasa katika tasinia ya computer huwezi kudanganya. Sasa naomba (KWA USHAHIDI), muhitimu yupi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kahitimu anajua kuandika lugha ya computer (coding) na aje hapa na ushahidi wa kazi alizozifanya na jinsi ambavyo jamii tunajua na anaishi kwa taaluma hiyo. Mimi wengi ninaowajua kwenye coding wamejifunzia nje ya Tanzania. Nasema hivyo, tusijekuwa tunapeleka vijana wetu tukidhani watasaidika kumbe wanaenda kulishwa theories na mwisho wa siku wanaishia mtaani kama taaluma nyingine za Art! Kama kuna wataaluma wa UDSM ebu njoo mtuambie pia!
Wapo wengi tu. Nenda pale Smartcode au Magilatech utawakuta mkuu. Watu wengi wanapiga code wanaishi vizuri hubahatiki kukutana nao mtaani huku.
 
Kama sikosei...unataka habari either unataka shauri.GO STRAIGHT...comp langu is personal effort not Chuo effort.
 
Yani wewe umekaa zako unataka kufanya sensa ya watu wanaojua coding kutoka UDSM.... Upo serious? Vijana wengi wanapiga code na wanafanya project kubwa.

Wewe sema una shida ya app gani au mfumo gani tukuletee mabingwa....

Humu wewe mwenyewe unatumia majina bandia halafu unauliza sensitive info umetumwa?
Haaaahaaa! Lete vielelezo!! hacha porojo!!! za kuwapotezea watoto wetu Chuo mwisho wa siku wanaishia mitaani!
 
Kama sikosei...unataka habari either unataka shauri.GO STRAIGHT...comp langu is personal effort not Chuo effort.
Nataka ushahidi tusiwapotezee vijana wetu muda na mikopo ya loan board kwa kitu ambacho hakitawapa mashiko!
 
Wapo wengi tu. Nenda pale Smartcode au Magilatech utawakuta mkuu. Watu wengi wanapiga code wanaishi vizuri hubahatiki kukutana nao mtaani huku.
Okay! Umesema "smartcode/magilatech" wamejifunzia wapi? Utasikia UK/INDIA
 
ATC , iliyokuwa Mbeya tech, DIT?
Vyuo vyote ulivyovitaja havikuwa vinatoa Full Technician Certificate ya Computer in Programming na baadaye ikaitwa Diploma in Computer. Hata kama walikuwa wanafundisha ilikuwa katika level ya Short Course ambayo ilikuwa inafundishwa na watu wenye ujuzi wa Coding wa hapa na pale sio wa kupata kwa kuisoma ipasavyo darasani.
 
Hivyo vitu vidogo sana! Ebu nenda college of informatics hapo UDOM kaulize mtu akiitimu kwa mfano bachelor of science in information systems na akaweza kujiajir au kuajiriwa pesa anayoingiza kwa mwez ni kiasi gani? Tia maji sana ni around 2.5m na hapo ni yeye na pc yake ya 300k

Halafu hizo story za kuhack bank achana-nazo nazo! Bank huwa wanatumia mainframe computer ni ngumu mno kuihack.
Mainframe ulinzi ni mkubwa
 
Awe na kazi katika soko ambazo tunaweza kuziangalia na kusema "naam!!" Huyu ndiye!!
Kazi wapi? soko lipi? programming skills za mtu sio lazima zipimwe kwa kazi ambayo mtu anafanya
Unaweza tumia hiko kigezo kwa nchi zilizoendelea kwasababu tayari kuna orodha ya Tech companies ambazo watu wanaweza fanya kazi na Services nyingi tayari zimekua integrated na Computer softwares

Huwezi tumia hiki kigezo huku, huku hatuna Tech companies, vijana wengi wenye passion na talent ya programming wamejikita kwenye startups lakini nchi bado sio ya kibepari kiasi cha kuwepo kwa investors au VCs wanaoweza fund idea yako.

Tazama Crowdstrike outage imetokea, lakini huku shughuli zote hazijawa affected? hii inakwambia nini? bado softwares hazijawa integrated kwenye huduma za kila siku kiasi cha kutaka ku judge uwezo wa watu kulingana na kazi wanayofanya

Ili niamini unachosema, weka vigezo unavyotaka kupima programming skills za vijana wa Tanzania kwa kuzingatia material conditions yao hapa.
Wapo wachache? Yah, ila kusema hakuna kabisa ni hoja ya kupuuzwa.
 
Back
Top Bottom