Afadhali hajaajiriwa angezalisha wanafunzi vilazaIs it graduators or graduates?
Mkuu jichanganye hata kwenye ufundi, usisubiri ajira za watu 1000 kwa mwaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali hajaajiriwa angezalisha wanafunzi vilazaIs it graduators or graduates?
Mkuu jichanganye hata kwenye ufundi, usisubiri ajira za watu 1000 kwa mwaka
Watu huwa wanafurahia ukiteseka.bora hata wewe umenisaidia manake watu wengi wanauelewa mdogo sana humu ndani yani wanawaza tu kukosoa
usiwazuie watu kukushauri, huo ni ushauri tu bila kujali kwamba umesema au hujasema unajichanganya au la.bora hata wewe umenisaidia manake watu wengi wanauelewa mdogo sana humu ndani yani wanawaza tu kukosoa
Wewe umesema ukweli afu anakuja mjinga mmoja anakwambia serikali imeelemewa kwenye kuajiriMkuu
Hakuna tatizo la ajira nchini!coz nahitaji yapo mengi sana kwenye sector ya Elim,afya na kilimo/mifugo!
Nimrfsnya mahesabu nikapata upungufu wa Akira 1200000, za haraka haraka!
Serikali ndio haitski kuajiri!nilisikia Dr. Mpango akinijibu siku ya meimosi eti ajira zinatolewa kwa mujibu wa Sheria za ILO ,eti kiwango Cha wage bill Cha mshahara kipo fixed,Nikamuona muongo coz ajira lazima ziendane na idadi ya watu!kama watu wameongezeka wagebill itakuaje sawa!!?kwa sasa tupo mil 61 na karibu zaid ya nusu ni vijajna na watoto ambao wapo mashuleni Sasa unakuaje na walimu laki tatu tu wafundishe mill 30 ya watu!!?
Bado sekta nyingine!
Hawataki kuajiri Ili wajilipe mishahara na posho Nene kwa wanasiasa!!
Kijana wa hovyo 😀😀Hajasema "hajichanganyi".
Kujichanganya anajichanganya ila anataka AJIRA YA UALIMU.
Sijui kama mnamuelewa au mmekazana tu "jichanganye".
Kujichanganya kwingi mwishowe unajipaka mavi / MADIFI.
Kwako BABA VINYEO.
Cc: dronedrake
Hamjamuelewa.Mkuu point ya muhimu niliyomaanisha ni huo ushauri wa kujichanganya kufanya kazi nyingine na sio vinginevyo.
pole sana mkuuBora yako wewe wa 2019 wengine toka 2014 bado tunasubiri hizo ajira za ualimu wa kiswahili na geography
Nmemuelewa sana.Hamjamuelewa.
Sio kwamba nazuiq watu wasinishauri ila watu wengine wanaokosoa kwa kuniona kama mzembe ndio nawamaindi , au wewe ungekuwa mzazi umesomesha kijana wako kwa kujinyima afu miaka 6 hana ajira utajiskiaje , hatukusoma ualimu ili tuje kuuza machungwa, tuliona fursa kuwa walimu wa sayansi hawatoshi ndio tukaingia shule kusoma hivo nnachokiona hapa ni kuwa serikali imetusaliti.usiwazuie watu kukushauri, huo ni ushauri tu bila kujali kwamba umesema au hujasema unajichanganya au la.
Mkuu inasikitisha sana lakini serikali haiwezi kuajiri graduates wote nchini, sahau hilo na ukilielewa hilo ni vizuri.Sio kwamba nazuiq watu wasinishauri ila watu wengine wanaokosoa kwa kuniona kama mzembe ndio nawamaindi , au wewe ungekuwa mzazi umesomesha kijana wako kwa kujinyima afu miaka 6 hana ajira utajiskiaje , hatukusoma ualimu ili tuje kuuza machungwa, tuliona fursa kuwa walimu wa sayansi hawatoshi ndio tukaingia shule kusoma hivo nnachokiona hapa ni kuwa serikali imetusaliti.
Ndio ni sawa ila utajiskiaje kuona watu wa 2020 wameajiriwa na wa 2017 wameachwa kwa masomo yaleyaleMkuu inasikitisha sana lakini serikali haiwezi kuajiri graduates wote nchini, sahau hilo na ukilielewa hilo ni vizuri.
Hatuna fursa za ajira za kutosheleza wahitimu wote, na hii sio tz tu.
Ngoja ni searchNiliku-quote mahali haujanijibu.
Hao wa 2020 wameajiriwa wote?Ndio ni sawa ila utajiskiaje kuona watu wa 2020 wameajiriwa na wa 2017 wameachwa kwa masomo yaleyale
kweli kakaWatu huwa wanafurahia ukiteseka.
Pambana mkuu, unaweza kukuta anayekukejeli humu anashindia tumihogo tuwili na chachandu hana mbele wala nyuma (tomboy).
Endelea kujichanganya kama wanavyosema.
Wapo wengine walimaliza 2015 bado wapo mtaaniUmesahau wa 2016
Mwe leo kasemajeWapo wengine walimaliza 2015 bado wapo mtaani
Mkuu serikali haiwezi kuajiri graduates wote waliopo mtaani ...kwaio kwa maarifa uliyonayo tena degree holder kabisa wa miaka saba mtaani endelea kufanya unachofanya kwa bidii I hope utafanikiwa zaidi kuliko kwenda kuanza ualimuKwa niaba ya Graduators wote wa Degree za ualimu kuanzia 2017, 2018, 2019, tunakuomba Mheshimiwa Rais Dr. Samia na mamlaka zote zilizopo chini yako zinazo-deal na ajira za walimu, ikikupendeza tunaomba utumalize wote tuingie kwenye ajira.
Maana uzee unagonga hodi na sisi hatujaonja keki ya taifa na tuna familia zinatutegemea, wazazi wanaona wametupa hela zao kutusomesha.
Na sisi journalist tuseme hivyo 🤣🤣🤣Kwani lengo la serikali ni kutoa ajira au kutoa huduma kwa jamii?
Haya wa afya waseme hivyo, wa uhasibu waseme hivyo, wa ufundi waseme hivyo, wa kumbukumbu waseme hivyo, wa maendeleo ya jamii waseme hivyo itakuwaje?
Tatizo walimu na watu wa afya waliona ajira ni haki yao.
Kwani we mbona kilaza na Mwalimu wako aliajiriwa?Afadhali hajaajiriwa angezalisha wanafunzi vilaza