Ni mwaka wa pili sasa sipo group lolote la WhatsApp

Ni usumbufu sana,ukiwasha data meseji 1000 zinaingia,mipicha ya kutosha.
Nayafuta ma group yote sasa kuna baadhi ya mambo muhimu nasevu kwanza.
 
Group la familia??

Group la mtaa wako kupeana salamu na habari??

Group la marafiki zako??

Group la shule ya msingi, sekondari au chuo??

Kama huna hizi group kuna uwezekano mkubwa wewe ni mtu wa kujitenga sana
Sipo huko kote.
Mtaa wetu una nyumba 5 tu mimi ndio kijana pekee mwenye familia , mji mpya ushuani. Karibu ujipatie ardhi bei kitonga.
 
Hapo shida nini marafiki wakiku add hua una left au hujawahi hata kuaddiwa kwenye group lolote.
 
Maana yake wewe ni Useless Hopeless usijione special, wengi hatupendi magroup ila kuna yale lazima uwepo.
Hayo ni maoni yako.
Useless kivipi huku Mimi ni miongoni mwa viongozi katika ofisi yetu ya serikali ?
Ni mfumo tu niliouchagua. Kabla ya WhatsApp watu wote walikuwa useless?
 
Ni usumbufu sana,ukiwasha data meseji 1000 zinaingia,mipicha ya kutosha.
Nayafuta ma group yote sasa kuna baadhi ya mambo muhimu nasevu kwanza.

Utakuwa na muda gani kuzisoma zote hizo zaidi uiwele simu yako isiwe inasave vitu vya group au na pia uwe unalinyamazisha zile notification za msg zisitokee kabisaa kwa sababu kuna baadhi ya group siyo poa kujitoa ni za familia kwa hiyo unalinyamazisha tu.
 
Mara nyingi hayo magroup huwa yanadiscuss ujinga
 
Maana yake wewe ni Useless Hopeless usijione special, wengi hatupendi magroup ila kuna yale lazima uwepo.

Kabisa kuna group inabidi tu uingie tena siyo group zoote zina fujo kama la hiyo picha ya hapo juu unakuta group nyengine msg zenyewe ni chache tena kwa mwezi mara moja ile kusalimiana tu sasa group kama hilo ukijitoa siyo poa utaonekana unajitenga
 
Mimi ni admin wa group la mwaka wetu shuleni. Watu kama wewe ukipata jambo lako nakupa heshima yako, nayo ni kukuacha upate utulivu kama ambao unakuwa nao mwenzetu akiwa na shida. Ukifikwa na jambo lolote hata taarifa sitoi maana taarifa zetu hupati pia. Huu utaratibu nimeenda nao mpaka sasa wanakosa kwa hiari ni watu watatu tu ambao tulisoma nao, wengine hawapo ila wana vizuizi.

Ukitaka kukaa mwenyewe wabongo wanaita sijui jeuri au kitu gani unatakiwa uheshimiwe. Hata yakikufika wasikusumbue kukuchangia au kukupa pole. Lakini hakikisha una hela sio badae utie huruma.
 
Magroup ya familia hasa za kiswahili nilijitoa,lawama, kujikweza dharau vilinishinda, nilileft mkavumkavu.
 
Tatizo ni kwamba makundi uliyokuwa nayo hayakuwa na maana, unaachaje kuwa kwenye kundi linalohusu harakati zako mfano mfugaji, fundi, Mwalimu, Dereva, Mkulima, Mwanamichezo, Mwanasiasa!!
Unatatizo mahali.
 
"Awiiiii.... awaaaaah
Anajikooooo.... Anajikosha"
Ilisikika sauti ya Harmonize ikisema kuwa unajikosha,
 
Sema kitochi bado hakinauwezo wa kikaunga whatsap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…