humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 622
Upo sahihi ndugu. Fanya kitu moyo wako unapenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina simu mpaka zingine ziko kabatini hazina kazi.Sema kitochi bado hakinauwezo wa kikaunga whatsap
Natambia tu, ka subby ka wife..mie bado nagaa gaa na upwa tu. Waya mkali..Hongera,, team subby
[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji2357]Eeh hilo la tatu nalitaka
Xvideo haipotezi time na bando Mkuu?Yanapoteza time na bando
Kama ni X si xvideo zipo?
Sawa sawa ntakutumiaDaah kiongozi nampango wa kuyaruhusu mahaba yaniue mwaka huu....tafadhari naomba link ya mahaba niue nitafute jini langu na mimi.
Mrombo gani huyu anatutia aibu hv[emoji23][emoji23]
Mrombo gani huyu anatutia aibu hv[emoji23][emoji23]
Meseji zikiingia unaanza kutoa macho nani anakutazama. We mrombo vipi? Wenzio wana grupu za dili wewe umekalia ngono tu
Meseji zikiingia unaanza kutoa macho nani anakutazama. We mrombo vipi? Wenzio wana grupu za dili wewe umekalia ngono tu
Kibongobongo Magroup ni Kupotezeana Muda tuu, Mimi nilikuwemo awali baadae nimetoka. Ni unafiki kwa kwenda mbeleNajikuta tu siko kwenye group lolote la WhatsApp.
Ukiishi maisha ya kipekee raha sana. Kazini ni mwendo wa salamu, kazi na kicheko kidogo mnatawanyika.
Sijui magroup ya ma classmates sipo, magroup ya waliotoka Kijiji au wilaya au mkoa mmoja simo.
Magroup sijui ya kabila moja simo.
I feel good.
Hata Mimi magroup Sina interest nayo naona Kama uwaki tu
JF ndio group langu nikiwa nabishana na kina Bia yetu nahisi ndio nyumbani na nakua huru moyoni!