Ni mwanamke gani humu JF unayemzimia zaidi?

Tobaaaa we Madame B, mie nimekupa siri afu tena nageuka adui yako? Pambana na mumeo

Nitapambana na wote coz wote mmeonyesha muyafanyayo Behind the Scene shost.
Ndo maaaaana...
 
Last edited by a moderator:
charmingladyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 mulika mwizi, naona unatamani kunatana na mwanamke anayejisikia uchungu wa labor, uwiii mama kijacho in two weeks atakuwa bugando wodi namba c2, ngoja niandae vitu maana ntahakikisha mtoto akitoka mtu wa kwanza kumuona niwe babaake
 
Last edited by a moderator:
Asilimia 80 ya watoto wanaozaliwa huwa wanasingiziwa baba.


Erickb52 mulika mwizi, naona unatamani kunatana na mwanamke anayejisikia uchungu wa labor, uwiii mama kijacho in two weeks atakuwa bugando wodi namba c2, ngoja niandae vitu maana ntahakikisha mtoto akitoka mtu wa kwanza kumuona niwe babaake
 
Last edited by a moderator:
nna mashaka na Erickb52 na Chimbuvu nyie waulizeni mama zenu, baba zenu wa ukweli ni kina nani maana naona hii kitu inawatembea kwenye damu, msipofunguliwa kwa maombi ya kuondoa mapepo ya kusingiziwa watoto mtalea watoto wengi sana ambao sio wenu
 
Last edited by a moderator:
C6





Nimependa avatar yake kwa kweli
 
Last edited by a moderator:
Shem ! Hicho kitakua kijiti au laga ?
Kama ni kijiti basi kitakua "cha Malawi" kule Mzuzu!

Shem unajua hawa vijana ni pasua kichwa.
Heri nijilipue kwa wazee wanaojua kulea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…