sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Barabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini
View attachment 1855113
Tuwe na subiraU free mason unalipa ila atatoweka at his early 40
David mosha alishawahi kuimiliki na mechi za yanga alikuwa anaenda nayo, huwa zinainuliwaBarabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram
Dunia ni mapito, fedha na dhahabu ni mali ya bwana
Ila hakikisha japo vinapita kwenye njia yako kwenye maisha yako 😃😃Dunia ni mapito, fedha na dhahabu ni mali ya bwana
Lambo Urus ni SUVBarabara za Kibongo Lamborghini mmh, labda siku hizi mmeendelea sana kwenye barabara.
All in all pongezi kwake, anajituma sana hivyo acha autakase moyo wake. Planning properly and working hard ndiyo vilivyomfikisha hapo alipo, acha ale matunda ya jasho lake.
Hana cha ufreemason wala jelamason nasikia alipakatwa kwa muda na vidume huko marekani.U free mason unalipa ila atatoweka at his early 40
Anaishi ndoto zake.. Vema kumpongezaView attachment 1855126
View attachment 1855127
Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili DiamondPlatnumz kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa gari zinazofuata alizozinunua ni lamborghini pamoja na bentleymotors na hivyo kwa sasa anasubiri kuzipokea nchini
View attachment 1855113