Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo kuu la Morinho kwa sasa ni kuvunja rekodi ya usajili tu , Angalia hata alipomnunua Pogba , ile haikuwa bei ya yule mchezaji kabisa !Huyu jamaa hana uwezo wa kucheza timu kubwa! Hajui kukontroo mpira, ana touch mbovu, ni mzito sana na mwisho huwa haonekani kwenye mechi kubwa, kwa kifupi ni mzigo na hafai kuwepo kwenye timu kubwa kama Man Utd!
Povu ruksa...
Mm nasemea namba anayopangwa ni 7Hamna...
Messi ana uhuru wa kucheza popote, sio 7,9 wala 10..
Kwahiyo neno lilibakia la kumuita ni mshambuliaji, ni sawa na mtu umuite Ronaldo Winger wakati ukiangalia mpira karibu muda wote unamuona katikati
Mi si fan wa Man utd ila una mawazo ya kibong tu. Lukaku ana bao mangapi? EPL anaeongoza kwa mabao ana mangapi?Huyu jamaa hana uwezo wa kucheza timu kubwa! Hajui kukontroo mpira, ana touch mbovu, ni mzito sana na mwisho huwa haonekani kwenye mechi kubwa, kwa kifupi ni mzigo na hafai kuwepo kwenye timu kubwa kama Man Utd!
Povu ruksa...
Kwa nini usiandike kiswahili tuLukaku is only best striker there can not work alone bicause the rest are rubish.
DuuuLukaku is only best striker there can not work alone bicause the rest are rubish.
De bryne aliuzwa kwenda WolfsburgJosé Mourinho kila anapoenda huwa na maamuzi tata kuhusu manunuzi na mauzo ya wachezaji, watu kufikiri may be huwa anapata cha juu - yaani mzee wa dili (ha ha ha)
Akiwa Chelsea aliwauza:
1. David Luis kwenda PSG (Baadaye chelsea wamemnunua tena) - hili simlaumu sana
2. Mohamed Sarah kwenda Fiolentina na sasa jamaa anawasha moto Liverpool - Juzi kafunga ila kwa heshima ya Club hakushangilia goli - bado ana uchungu kuuzwa kwa kisingizio hana kiwango kucheza Chelsea
3. Kevin De Bruyne huyu pia alikuwa hapati nafasi, City wakaja na dau wakamchukua sasa hivi anawasha moto saaana, tena ana uchungu mkubwa kuondoka Chelsea
4. Arjen Robben Huyu pia aliondolewa na Morinho sababu kubwa yeye anaumia umia sana (he made of classes) yaani mwili wake ni wa vioo - hiki kilimuuzi sana kinda huyo wakati huo akiwa 24 tu akatimukia Ujerumani kwa Beryern Munich - Mmeona moto alilivyokuwa anauwasha?
5. Lukaku Huyu alimkataa kwa kisingizio ni mzito, akamuuza everton, Kule akawasha moto - Sasa sijui nini kimempata ena amemnunua tena - sasa zito limekuwa ati.
6. Juan Cuadrado Alimuuza pia kwa kisingizio hana kiwango hakukukidhi; jamaa kwa sasa anakipiga Juve, mnaona moto anaouwasha kule??
7. Ryan Bertrand - Angalia moto anaouwasha Southampon leo.
Wapo wengi tu ambao wameuzwa lakini walikoenda wanawasha moto.
Maamuzi ya José Mourinho anayajua yeye!!
Anatugharimu vipi wakati anaachwa peke yake na mabeki 5?Daah Lukaku anatugharimu sana
Imelamba dume kwa kutoa assist kwa man cityLukaku manutd imelamba dume, ayomengine ni chuki za Mange Kimambi. msiingize siasa kwenye mpira.
Naunga mkono hojaLukaku hana tofauti na mzigo wa mavi
Juan MataJosé Mourinho kila anapoenda huwa na maamuzi tata kuhusu manunuzi na mauzo ya wachezaji, watu kufikiri may be huwa anapata cha juu - yaani mzee wa dili (ha ha ha)
Akiwa Chelsea aliwauza:
1. David Luis kwenda PSG (Baadaye chelsea wamemnunua tena) - hili simlaumu sana
2. Mohamed Sarah kwenda Fiolentina na sasa jamaa anawasha moto Liverpool - Juzi kafunga ila kwa heshima ya Club hakushangilia goli - bado ana uchungu kuuzwa kwa kisingizio hana kiwango kucheza Chelsea
3. Kevin De Bruyne huyu pia alikuwa hapati nafasi, City wakaja na dau wakamchukua sasa hivi anawasha moto saaana, tena ana uchungu mkubwa kuondoka Chelsea
4. Arjen Robben Huyu pia aliondolewa na Morinho sababu kubwa yeye anaumia umia sana (he made of classes) yaani mwili wake ni wa vioo - hiki kilimuuzi sana kinda huyo wakati huo akiwa 24 tu akatimukia Ujerumani kwa Beryern Munich - Mmeona moto alilivyokuwa anauwasha?
5. Lukaku Huyu alimkataa kwa kisingizio ni mzito, akamuuza everton, Kule akawasha moto - Sasa sijui nini kimempata ena amemnunua tena - sasa zito limekuwa ati.
6. Juan Cuadrado Alimuuza pia kwa kisingizio hana kiwango hakukukidhi; jamaa kwa sasa anakipiga Juve, mnaona moto anaouwasha kule??
7. Ryan Bertrand - Angalia moto anaouwasha Southampon leo.
Wapo wengi tu ambao wameuzwa lakini walikoenda wanawasha moto.
Maamuzi ya José Mourinho anayajua yeye!!
Kocha ni mwanadamu wa kawaida ana -ve na +ve side naona ww ume base kwenye -VE tu.José Mourinho kila anapoenda huwa na maamuzi tata kuhusu manunuzi na mauzo ya wachezaji, watu kufikiri may be huwa anapata cha juu - yaani mzee wa dili (ha ha ha)
Akiwa Chelsea aliwauza:
1. David Luis kwenda PSG (Baadaye chelsea wamemnunua tena) - hili simlaumu sana
2. Mohamed Sarah kwenda Fiolentina na sasa jamaa anawasha moto Liverpool - Juzi kafunga ila kwa heshima ya Club hakushangilia goli - bado ana uchungu kuuzwa kwa kisingizio hana kiwango kucheza Chelsea
3. Kevin De Bruyne huyu pia alikuwa hapati nafasi, City wakaja na dau wakamchukua sasa hivi anawasha moto saaana, tena ana uchungu mkubwa kuondoka Chelsea
4. Arjen Robben Huyu pia aliondolewa na Morinho sababu kubwa yeye anaumia umia sana (he made of classes) yaani mwili wake ni wa vioo - hiki kilimuuzi sana kinda huyo wakati huo akiwa 24 tu akatimukia Ujerumani kwa Beryern Munich - Mmeona moto alilivyokuwa anauwasha?
5. Lukaku Huyu alimkataa kwa kisingizio ni mzito, akamuuza everton, Kule akawasha moto - Sasa sijui nini kimempata ena amemnunua tena - sasa zito limekuwa ati.
6. Juan Cuadrado Alimuuza pia kwa kisingizio hana kiwango hakukukidhi; jamaa kwa sasa anakipiga Juve, mnaona moto anaouwasha kule??
7. Ryan Bertrand - Angalia moto anaouwasha Southampon leo.
Wapo wengi tu ambao wameuzwa lakini walikoenda wanawasha moto.
Maamuzi ya José Mourinho anayajua yeye!!
Nakubaliana na wewe, lakini pia tutambue kuwa kocha mzuri ni yule anayekuja na mfumo thabiti (chemistry) wa ku-accommodate wachezaji wake mahiri.Kocha ni mwanadamu wa kawaida ana -ve na +ve side naona ww ume base kwenye -VE tu.
Sio kila mchezaji anaesajiliwa au kuuzwa ni mbaya issue ni mfumo tu.