Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Hongera mh Pengo. lkn mbona huwa mankemea pale rais anapokuwa muislam tu. na huwa kimya mkiona rais ni mkiritso. zinduka

nenda kasome aya za shetani, kisha utatia akili.
baada ya hapo angalia katuni za yule mfaransa, nadhani utajitambua.
 
Hongera mh Pengo. lkn mbona huwa mankemea pale rais anapokuwa muislam tu. na huwa kimya mkiona rais ni mkiritso. zinduka

Always full of fu.... upuuuuzi na mishuzi tele, no sense. Please apply your natural sense of intelligence.
 
Great Thinkers, mtu akisoma thread hii anaweza kutu-mistake na wana wa vijiweni!!!! Being Great thinkers, wanazuoni wanatutegemea kuchambua na kuainisha kiini cha tatizo na ufumbuzi!!!!!! Hebu tusishushe heshima ya jamvi hii!!!!!!!!!!!!!!!!
 
UDINI UKO WAPI!!?? KADINALI PENGO


by Topscore Tanzania on Tuesday, December 7, 2010 at 12:08am


Askofu mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam, Polycap Kadinali Pengo alieleza kuwa hata kama walio kwenye mamlaka watawatishia, kanisa halitakuwa tayari kukaa kimya likiona kuna uovu. Kardinali Pengo alitoa msimamo huo wa kanisa hilo kubwa nchini wakati akitoa mahubiri yaliyorushwa na kituo cha redio ya kanisa hilo cha Tumaini katika ibada iliyofanyika kwenye Kanisa la Utoto Mtakatifu kituo cha Hija kilichopo Pugu jijini Dar es Salaam.

"Kamwe kanisa haliwezi kufumbia macho uovu ili kundi moja liweze kukaa kwenye mamlaka na uovu wao. Hata kama mamlaka hiyo itatoa vitisho kwa viongozi wakuu, Kanisa Katoliki halitakaa kimya. Katoliki linafahamu madhara yanayoweza kujitokeza katika jamii iwapo kanisa litampendekeza mtu kuwa kiongozi. Tuliombee taifa letu liepushwe na vitu vinavyotaka kuibuka katika taifa na kamwe kanisa haliwezi kumsimamisha mtu na kusema mumpigie kura."

Alisema kuwa kukemea uovu kusionekane kuwa ni udini na ifahamike kuwa Kanisa Katoliki halimsimiki mtu awe rais, diwani au mbunge wa mahali popote, hivyo uovu wowote unaofanywa na mamlaka utaendelea kukemewa bila uoga.

Alisema hawawezi kuwanyamazia wanasiasa wakati hata maaskofu pia wanakemeana wanapotenda uovu. "Uovu lazima ukemewe, si kitu ambacho mtu anafikiri kwamba mtu anaweza kutishia kwamba maaskofu wasikemee uovu," alisema Pengo.

Pengo alisema kuwa kutokana na kumbukumbu ya hapo zamani wakati wafalme walikuwa wakichaguliwa na mapadri na maaskofu, madhara yake yalijitokeza kwa kuwa jamii ilichaguliwa kiongozi asiyekubalika.

"Viongozi wa Katoliki wataendelea kukemea uovu huo kwa kuwa unaweza kusababisha mafarakano katika taifa linalotafuta ukweli na haki kwa ajili ya wote,"alisema Pengo.

Katika taifa lililo na watu takriba milioni 35 linaloundwa na idadi kubwa ya Wakristo na Waislamu wanaoshi pamoja, udini hauonekani kuwa silaha ya ushindi kwenye siasa.

67133_175031675857751_151504668210452_499258_6122381_n.jpg

Kadinal pENGO

Ukiona mwanasiasa au wanasiasa wanahangaika sana na agenda za udini ujue ni dalili za kuishiwa sera na kuanguka vibaya. Ni dalili mbaya saana na watu hao wanaozungumzia udini waogopwe manake wanataka huruma au wanataka kuleta mifarakano.
 
Pengo,

anza kukemea ushoga, umalaya na ubakaji unao fanywa na kondoo wako pamoja na wachungaji makanisani mwenu kabla hujavamia siasa na jamii nyingine, Laana kum!!!
 
Pengo,

Kemea udini unao fanywa na kondoo wako pale Tanzania Investment Bank. Kondoo wameitawala Bank na kueneza sera zao za kidini na kuwakandamiza baadhi ya waajiriwa wa dini nyingine

Anghalia Walokole walivyojipanga hapa Tanzania Investment Bank:


MANAGEMENT TEAM


Mr. Peter Noni Managing Director

Mr. Thomas M. F. Samkyi

Head of Business Development & Appraisal
+255 22 2411111

Mr. Bernard P. Mono

Head of Treasury & Funding
+255 22 2411112


Mr. Bahati J. Sanga

Head of Information & Communication Technology
+255 22 2411099


Mr. Leonard O. Mlewa

Head of Portfolio Management
+255 22 2411110


Mrs. Stella M. Nghambi

Head of Human Resources & Administration
+255 22 2411096


Ms. Martha J.J. Maeda

Legal Counsel & Secretary to the Bank
+255 22 2411117


Mr. Isaack E. Kiputa

Chief Internal Auditor
+255 22 2411116


Najua MOD utaifuta hii topic kwa sababu na wewe ni jamii ya kondoo waliopote.
 
Aliyeanzisha kuzungumzia udini amekosa sera na ameona ama yeye au chama chake hawapendwi na wananchi ,ameona ule upendo aliokuwa akiupata toka kwa wananchi haupo tena na wanapendwa wengine akahisi hapendwi kwa sababu ya dini yake.

Mwaka 2005 wakati maaskofu waliposema kuwa fulani ni chaguo la Mungu watu waliona sawa tu hawakusema kuwa kuna udini,miaka mitano imepita viongozi waliosifiwa kuwa ni chaguo la Mungu wamefanya madudu na wananchi hawapendi madudu na hawawapendi tena ,maaskofu wamekaa kimya na hao viongozi kwenye uchaguzi wameiba kura
hata hivyo hawakupata ushindi wa kishindo kurudi mjengoni.

Sasa wanatafuta sababu ,wanaona wasingizie kuna udini ,sura zao ukiwaangalia hazina bashasha ,hazina tabasamu kama baada ya uchaguzi mwaka 2005 wanaona haya..ha ha ha hakuna udini Tanzania viongozi waache ufisadi wafanye kazi ili wapendwe ..hakuna udini kwa kuwa huwezi kushinda uchaguzi kwa kutegemea kura za watu wa dini yako.
 
Ujinga mtupu ndani ya baadhi ya thread. Analolisema Pengo lina ukweli ndani yake but rekodi ya kanisa katoliki nchini Tanzania ndio inayotia shaka watanzania. Binafsi Pengo angelikuwa wa kwanza kukemea waumini wake wanaongoza kwa ufisadi serikalini, TRA, Bandarini ikisha wakaja na pesa za ufisadi kuja kutoa michango kanisani. Venginevyo atakuwa anazungumza unafiki tu usio na maana yeyote na binafsi I would care less to what he speaks kama hajaweza kupambana na hili kwanza.
 
hivi kiongozi wa dini asipokemea maovu ukiwemo ufisadi atakemea nini?
 
Unafiki wa viongozi wa dini kama wakina Pengo niwa kuogopa sana. Pale kanisa lake na wasaidizi wake walipokuwa wanampigia debe Slaa kuwa huyu ni mwenzetu yeye alikuwa wapi? na mie ni shuhuda wa hilo kwa nilikuwa live kanisani . PENGO ACHA UNAFIKI LISAFISHE KANISA KWANZA !
sasa wewe hutaki maovu yakemewe au nini shida yako, au wewe unanufaika na maovu hayo?
 
Jamani kawaida wakati wa misa kila jumapili baada tu ya injili mapadre wanatoa mahubiri,na hata madhehebu mengine ya kikristu ni hivyo hivyo.

Katika mahubiri hayo ambayo huweza chukua nusu saa hadi dakika 40 mapadre hukemea maovu yote na kuwataka waumini waache hayo maovu katika maisha yao ukiwemo ufisadi.Sasa mnataka Pengo au wachungaji wakemee maovu kupitia magazetini ?? sehemu yao ya kukemea maovu ni pale madhabauni.Sio kazi ya Pengo,padre au mchungaji yoyote kuitisha mkutano na waandishi wa habari na kuanza kukekemea maovu kazi hiyo huifanya makanisani.

Lakini hawa viongozi waache kuwafunga midomo viongozi wetu wa dini katika kukemea uovu wao.Viongozi wote wa dini wakiwemo masheikh,maaskofu ,wachungaji waendelee kukemea uovu serikalini bila kujali kuambiwa ni wadini.(udini baada ya kutoshinda kwa kishindo)
 
Asante Chiefm Tz
Mbona hajamkemea Padri Slaa kwa wizi wa mke wa mtu? au huo si uovu! Kama anaiba mtu mwenzie angekwenda ikulu si hazina angeikausha? Bwana pengo wizi wa mke wa mtu pia ni ufisadi mbaya ukemee tukusikie

Hivi unaweza kweli kuiba mke wa mtu dunia hii?
 
Nadhani viongozi wa dini yeyote kukemea uovu si udini. Tatizo linakuja pale hawa viongozi wanapokuwa na double-standards. Kwa mfano kiongozi wa kiislamu hayupo tayari kukemea uovu wa mwislamu mwenzeke aliyepo serikalini na vilevile viongozi wa makanisa hawako tayari kukemea uovu iwapo aliyepo serikalini ni mkristo mwenzao. Ushahidi ni pale Mheshimiwa Mkapa alipokuwa madarakani ndipo ufisadi mkubwa ulipoanzia, rejea kesi za akina Mramba, Mgonja, Liyumba hata hizo kampuni za kifisadi zilianzishwa wakati wake, ulimsikia PENGO akikemea? Jibu ni hapana. Sasa anapata ujasiri kwa sababu aliyepo madarakani si wa dini yake. Ndipo mawazo ya kuwa kuna UDINI yanapoanzia. Tuwe wakweli.
 
Pengo,

Kemea udini unao fanywa na kondoo wako pale Tanzania Investment Bank. Kondoo wameitawala Bank na kueneza sera zao za kidini na kuwakandamiza baadhi ya waajiriwa wa dini nyingine

Anghalia Walokole walivyojipanga hapa Tanzania Investment Bank:


MANAGEMENT TEAM


Mr. Peter Noni Managing Director

Mr. Thomas M. F. Samkyi

Head of Business Development & Appraisal
+255 22 2411111

Mr. Bernard P. Mono

Head of Treasury & Funding
+255 22 2411112


Mr. Bahati J. Sanga

Head of Information & Communication Technology
+255 22 2411099


Mr. Leonard O. Mlewa

Head of Portfolio Management
+255 22 2411110


Mrs. Stella M. Nghambi

Head of Human Resources & Administration
+255 22 2411096


Ms. Martha J.J. Maeda

Legal Counsel & Secretary to the Bank
+255 22 2411117


Mr. Isaack E. Kiputa

Chief Internal Auditor
+255 22 2411116


Najua MOD utaifuta hii topic kwa sababu na wewe ni jamii ya kondoo waliopote.

Sasa wewe, watu wanaajiriwa kwa kufuata Qualifications zao siyo dini zao; hoja yako ingekuwa na uzito endapo ungeonyesha kuwa jamaa hao hawana Qualifications za kufanya kazi hapo. Haiwezekani watu kwenye ofisi za umma wachanganywe tuu dini mbalimbali bila kuwa na sifa zinazotakiwa. Hali kama hiyo ipo sana kwenye kampuni za Wahindi na Waarabu hapa nchini. Wanaajiri dini moja, saa saba kasorobo azana inalia, wote wanafunga ofisi zao na kwenda kusali.Tembelea makampuni hayo ujionee mwenyewe. Hiyo haiwezi kutokea kwenye ofisi za Umma.
 
Pengo,

Kemea udini unao fanywa na kondoo wako pale Tanzania Investment Bank. Kondoo wameitawala Bank na kueneza sera zao za kidini na kuwakandamiza baadhi ya waajiriwa wa dini nyingine

Anghalia Walokole walivyojipanga hapa Tanzania Investment Bank:


MANAGEMENT TEAM


Mr. Peter Noni Managing Director

Mr. Thomas M. F. Samkyi

Head of Business Development & Appraisal
+255 22 2411111

Mr. Bernard P. Mono

Head of Treasury & Funding
+255 22 2411112


Mr. Bahati J. Sanga

Head of Information & Communication Technology
+255 22 2411099


Mr. Leonard O. Mlewa

Head of Portfolio Management
+255 22 2411110


Mrs. Stella M. Nghambi

Head of Human Resources & Administration
+255 22 2411096


Ms. Martha J.J. Maeda

Legal Counsel & Secretary to the Bank
+255 22 2411117


Mr. Isaack E. Kiputa

Chief Internal Auditor
+255 22 2411116


Najua MOD utaifuta hii topic kwa sababu na wewe ni jamii ya kondoo waliopote.

mbaazi ukikosa maua husingizia jua sema takbriii pole sana na msongo wa akili uupatao kengele ilikuita sana wajinga njoo wajinga njooo..Wenzio .wakaenda wakaelimika uliejifanya mjanja na kuogopa umande na kuuchuna sasa ni mjinga wa ukweeeli
 
nenda kwenye thread ya pinda uone kule tunavyo mshambulia (Peter Kayanza Mizengo Pinda) sijui ni mpagani, kafiri au ni mkristo

Achaneni na malaria sugu!ni mzito wa kuelewa mambo ,kilichomo akilini kwake ni kuisifia CCM na kutukuza udini!!
 
hivi kiongozi wa dini asipokemea maovu ukiwemo ufisadi atakemea nini?
....UDINI!!!!!!!!

Wajibu wa VIONGOZI WA DINI, ni kuwaelekeza waumini wao kutenda mema na kuepukana na maovu. Si wajibu wao kuielekeza serikali ifanye nini!!! (hiyo ni kwa mujibu wa serikali isiyofuata msingi wa dini yoyote) vinginevyo ndio mwanzo wa migogoro isiyoisha kwenye hizi nchi zetu ambazo wengi wetu hatujui demokrasia.......
 
ndugu Bull aina yao ndo walofilsi mashirika ya umma,we tib chini yao ipe muda kidogo tu itaelekea kuzimuni.tatizo ni pale akina pengo wanapowaambia waibe halafu wapeleke sadaka ili wawasafishe.taifa halina historia nzuri na menejment chini yao.ona aliyotufanyia balali na wengine kama yeye
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom