Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Simpendi mtu mnafiki maana hana dini hata kama atajiona ni mfuasi wa dini. Kwa bahati mbaya udini katika Tanzania unaletwa na wanasiasa pale wanapoona wanapoteza mvuto. Kama litatokea la kutokea, wao watabebeshwa mzigo mkubwa sana. JK na wasaidizi wake lazima wajue hivyo. Hi hatari sana kutafuta madaraka kwa mgongo wa dini