Ndugu wanajamii ,
Jana nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC 1 , nikakuta mama Akilimali anaongelea kuwa rais kasema uchaguzi umeacha nyufa kubwa ya udini , na huyo mama akawa anachambua kuwa hakukuwa na dalili za udini au udini haukujionyesha kama issue kubwa katika uchaguzi uliopita kama alivyoongea rais !
Je mambo ya Kujiuliza !
1: Haya mawazo ya nyufa za udini yametoka wapi ? na watu gani wameundalia rais hotuba ile ?
2:Lengo ni kupotezea maswala mazima ya uchakachuaji wa kura na wizi uliofanyika ?
3:Kutisha watanzania ili waogope kudai haki zao zilizoibwa ?
Jana nilikuwa naangalia taarifa ya habari TBC 1 , nikakuta mama Akilimali anaongelea kuwa rais kasema uchaguzi umeacha nyufa kubwa ya udini , na huyo mama akawa anachambua kuwa hakukuwa na dalili za udini au udini haukujionyesha kama issue kubwa katika uchaguzi uliopita kama alivyoongea rais !
Je mambo ya Kujiuliza !
1: Haya mawazo ya nyufa za udini yametoka wapi ? na watu gani wameundalia rais hotuba ile ?
2:Lengo ni kupotezea maswala mazima ya uchakachuaji wa kura na wizi uliofanyika ?
3:Kutisha watanzania ili waogope kudai haki zao zilizoibwa ?
