STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,771
- 553
Hata mimi nashangaa, JK na Makamba Ndo waliohubiri dini wakati wa kampeni sasa wanataka kutuambia nini, maanake mimi nikimwangalia kisaikolojia nagundua ni kama anahisi sisi wananchi tumeshayajua mambo maovu ya udini waliyokuwa wanafanya wakati wa kampeni sasa dhamira yao inawasuta.
Ukimwambia JK atoe ushahidi wa nani alihubiri udini utakuta moja kwa moja ni yeye na CCM, sahivi anaogopa mambo yanaweza kuwa mabaya.
Mimi namshangaa, embu angalia jamaa katika uteuzi wake, ni watu wa dini yake alafu anakuja kutuambia nini, na washikaji wake bila kuangali hata kama ni wachafu kiasi gani.
Watanzania tusikubali huyu Mkwere atugawe kama ambavyo amekuwa akihubiri siku zote.
Ukimwambia JK atoe ushahidi wa nani alihubiri udini utakuta moja kwa moja ni yeye na CCM, sahivi anaogopa mambo yanaweza kuwa mabaya.
Mimi namshangaa, embu angalia jamaa katika uteuzi wake, ni watu wa dini yake alafu anakuja kutuambia nini, na washikaji wake bila kuangali hata kama ni wachafu kiasi gani.
Watanzania tusikubali huyu Mkwere atugawe kama ambavyo amekuwa akihubiri siku zote.