Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
mhhh sina cha kusema, ila jk anasikitisha sana.
-Amefanikiwa kuwarubuni mapadri, wachungaji, maaskofu, masheikh wakaamini kuwa chadema ni cha udini na yeye ni chaguo la Mungu.
-Kwa ujinga wao (yes nasema ujinga) wakamkumbatia, wamembariki kwa kuiba kura-wamembariki mwizi wa haki na hatima ya watu.
-ukiangalia kimuundo kati ya chadema, cuf na ccm huhitaji kufika ahata darasa la nne utajua chadema ina mchanganyiko mzuri wa udini na ukanda ila ccm ni chama cha kidini 80%. cuf-is obvious.
-Amefanikiwa kuwarubuni mapadri, wachungaji, maaskofu, masheikh wakaamini kuwa chadema ni cha udini na yeye ni chaguo la Mungu.
-Kwa ujinga wao (yes nasema ujinga) wakamkumbatia, wamembariki kwa kuiba kura-wamembariki mwizi wa haki na hatima ya watu.
-ukiangalia kimuundo kati ya chadema, cuf na ccm huhitaji kufika ahata darasa la nne utajua chadema ina mchanganyiko mzuri wa udini na ukanda ila ccm ni chama cha kidini 80%. cuf-is obvious.