sensa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 397
- 22
Nchi haitawaliwi kiivyo! The man will be in trouble all the times because he is taking wrong steps each time! Namsikitikia mwalimu wake aliyemfundisha pale pugu! Jamani mwenye kujua education background ya huyu mweshimiwa tujuzeni hasa perfomance yake ya degree ya kwanza maana siamini mambo anayoyafanya! Subirini mtaona madudu yatakayofanyika awamu hii! Jamani watanzania hivi hatuna macho! Jamaa mweupe kabisa! Anasema MDG ndo vision ya Taifa! Jamani kama taifa halina vision yake linasubiri wazungu walipangie dira na raisi anarihutubia bunge kwa dira hizo bila kuweka bayana nini dira ya taifa kama taifa ambayo kimsingi itakuwa tofauti na MDG ukizingatia MDG ni ya watu waliotutawala na fikra zao bado zimekaa kikoloni! Kama mnakumbuka kwenye mkutano wa kupima achievement za MDG 2010 ilionekana nchi fadhiri haziko serious kuona MDG inafanikiwa bado rais na wabunge wa ssm wanashangilia! Hivi tatizo ni nini sisi watanzania!
Ana degree moja tu ambayo ni ya uchumi.alipata pass point 2.1