Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini umeletwa na huyo huyo anayeukemea so anajua anachokisema kwa mtu mkubwa kama rais kusema kitu siyo mchezo so he is the first mdini kabla ya wote.
Moyo wangu huwa unasikitika sana napoona watu wenye uelewa wanakuwa wajinga simply wanapo jiunganisha na ccm.
Kama ulikuwa ni mtu wa kufatilia matukio ungejua Waziri Mkuu amepigiwa kura ngapi na tofauti ya kura ungegundua ni za upande upi.
Ilijidhihirisha wazi kabisa kuwa Wabunge wa Chadema hawakumpigia kura waziri mkuu.
naomba mjue Mbunge linaendeshwa na kanunu,Raisi haendeshi Bunge.
Tujifunze bunge ni Raisi na Wabunge,kumkataa Raisi na uteuzi wake siyo kulikataa mbunge na kanuni zake mambo haya ni mawili na tofauti kabisa.
Raisi ataendesha serikali lakini bunge linawakilisha wananchi,si kila mtu ndani ya serikali anakubaliana na Raisi.
Tukumbuke.
wakati Dk slaa ameshutumu vyombo vya usalama alisisitika mkuu wa vyombo vya usalama atoe majibu ya msingi kwa taifa,juu ya shutuma alizotoa.sisi sote ni mashahidi Mkuu wa vyombo vya usalama hakutoa taarifa yoyote badala yake majibu ya shutuma hizo yalitolewa na mtu mwingine katika nafasi hiyo ambayo sote hapa tulijadili bila kufikia muafaka.
kwa mtu mwenye kufikiri lazima aligundua kuna tatizo la mawasiliano katika ngazi za juu.
Hata shutuma ya Pili ya usalama wa taifa ,pia tuliona mtu aliyejitokeza kujibu shutuma hizo wengi tulijiuliza ni nani na kwa misingi gani.
mwisho wa siku tuligundua wote walitumiwa kujibu shutuma ni watu ambao kwa namna moja au nyingine niwale wanaotumika na wenye masilahi fulanni.
sote Tulishuhudia siku Rais anaapishwa hata viongozi wote wa juu wa dini waliohudhuria sio wale tuliowazoea.
watanzania nchi yeti iko icu tusiendekeze ushabiki utakaotugharimu siku za usoni,tatizo la Kikwete ni kubwa na hakuanza kukataliwa tu baada ya matokeo hata katika mchakato mzima wa kampeni na hatimae uchaguzi,dosari zipo nyingi na wengi tulishuhudia.
Leo wapo watu wanaweza kuthubutu kusema damu haikumwagika,watu wangapi waliumizwa na kufanyiwa matendo ya kuchomewa nyumba nk.je hii ni Demokrasia au demokrasia ni maneno tu.
leo Kikwete anatoa hotuba ambayo kwa namna moja inaonyesha hakubali kabisa kama kulikuwa na dosari katika uchaguzi.anathubutu kusema amechaguliwa kwa kishindo.Kura 5,000,0000 katika taifa la watu 45,000,000.
hiki siyo kitu cha kujivunia kabisa.mambo haya yatawatesa watoto wetu na ndugu zetu nyakati zijazo.
tuache ushabiki kwani ushabiki siyokitu cha msingi jana tumewashuhudia wabunge walivyokuwa wakipiga makofi katika kila jambo,sijui kama kuna mtu anaweza kutueleza katika hotuba yote Tanzania yetu ya leo itakuwa wapi kesho.
Wewe kama wewe huwezi kuona maana umejifunika shuka yenye rangi za kijani na njano bila kuzingatia hupo kwenye jangwa ningumu kurudisha uoto wa asili ukiwa jangwani kwani ccm nikama jangwa siyo ccm tuliyozaliwa tukaikuta wakati huo ikiwa ni ya mfanyakazi na mkulima ila sasa ni ya mfanya biashara na mafisadi!!!:angry::A S 20:Sioni kama ilikuwa ni ushujaa wowote kwa sababu waliondoka ukumbi wa bunge na wakenda ukumbi mwingine kumwangalia kupitia luninga-Is a kindly shameful too!
ukimaliza hapo endelea na radio Kheri na gazeti la al nuur et al.Mnajifanya hamjui Kakobe et al kumpigia kampeni Slaa makanisani eeh?
:whoo:Hivi Kikwete uwezo wake wa kufikiri umefika mwisho au hana anachokifikiria? kama ameshindwa kazi aondoke tu taratibu kwani sasa nchi inaendeshwa na ROSTAM AZIZI, LOWASSA NA FISADI CHENGE sasa yeye anakazi gani atoke ikulu ampishe FISADI ROSTAM AU LOWASSA WATUONGOZE PUMBAFU PUMBAFU WAKUBWA PUMBAFU ZAO
kwa taalifa yako wewe hunijui na hata historia yangu huijui, tafuta kwanza nani alileta haya mambo source, iweje mtu aliyeanjisha udini nchini nimchekee hata siku moja! Ntamchukia mtu yeyote, naludia tena yeyote anayeleta udini! Unatetea mafisadi kujificha na huo mlango wa mafisadi unataka watu waanze kujadili udini we mheshimiwa wewe! Unasema mpaka bungeni eeti udini upooo wewe! Upo kwa vile dhambi ile inakufuata na itakumaliza tu! Mbona huko mitaani sisi tunaishi vizuri tuu huu udini upo wapi!?? Ndo maana nasema aliyeuanzisha ni yeye!timu kamili ya udini imekamilika bunchan, henge, safari_ni_safari, baba_enock na wengine wengi humu ndani. Lakini cha ajabu hao ndio senior expert members hapa jf.
Jk mnadai ni mdini (inaweza kuwa kweli au sio kweli),lakini nyie kwa michango yenu hapa jf mmeonyesha chuki zenu za udini without shame, sio kwamba mnasingiziwa. It says a lot about jf members.....
Rafiki, KIRANGA;
If you take this on the scale of LEGAL FRAMEWORK, you may undermine CHADEMA that they are wrong and what they are doing is wrong, totally wrong as you seem to convey your message. However, if you happened to take a bit of CIVICS OR siasa subject at A-level, you would realize that not all political issues can be solved using the current laws, they may have to be solved polically. Once they are solved polically, the solution becomes the basis for a new LAW. This means that POLITICS is the mother of LAWS and when you mess up politics, most or all of the laws become inner and sticky!
In Kenya for example, the law was not applicable after the last General Elections. They had to use political approaches. After then, new laws were born, HENCE THE NEW CONSTITUTION.
I think CHADEMA's appproach is very scientific, wise, caring and of humanity level. Blaming CHADEMA could have been justified if they tried to express their view violently. Remember, these are Tanzanians as ourselves, brothers and sisters....
Mimi ninacho kiona nikwamba watu wengi wanajua nini nisiasa nakila aliye na nafasi yakuongea kwenye jamii akiongelea siasa wakati yupo kanisani ccm wanasema niudini!mfano ni askofu kakobe aliongea kanisani na akatoa mistari inayoelekeza watu wakamchague kiongozi lakini ccm waliibebea bango!!wakasahau misikitini nini kilichokuwa kikisemwa kila siku kwenye miadhara hadi kwenye sala za ijumaa!!Katika mambo ambayo JK ameyaongea kwa msisitizo na sauti ya kimadaraka ktk hotuba yake ya ufunguzi wa Bunge, ni suala la UDINI, kuwa udini unaanza kujitokeza.
Naomba mnijuze wapambanuaji, ni nini kimetokea mpaka JK alikemee kwa sauti kubwa kiasi hicho suala la UDINI? Je ni kwasababu matokeo ya uchaguzi hayakufika 80% kama walivyotarajia? Au kuna sehemu wakati wa kampeni na hata uchaguzi huu, kulitokea UDINI? Nionavyo mimi, tamko lake hilo, laweza kuleta mka'nganyiko kwa wananchi.
Natoa hoja.
Unajua CCM wamekaa wakisubiri labda wananchi watasema kuwa kuna udini kutokana na chuki zao walizopandikiza.
Kumbe wananchi wamekaa kimya na kuwapuuza sasa wanaamua kuropoka wao.
Yaani ni kama mwizi anayekimbizwa kimya kimya, mambo yanapomzidi anaamua kupiga mayowe yeye mwenyewe. 'mwiziii.....mwiziiiii....mwiziii..'
Kiranga mbona unajitafuna-tafuna sana?, hivi usichotaka kuelewa hapo ni kipi au unachotaka kulazimisha watu wakielewe ni kipi?.
Viongozi wa CHADEMA wanajitahidi kwa kila hali kuepusha vurugu na kwa taarifa yako kuna watu wengi tu ambao wangependa kuingia mtaani kulianzisha hata leo hii lakini viongozi wanajaribu kuonyesha mfano kwa ku-protest kistaarabu, kwanza kuna nchi nyingine wabunge huwa wanatandikana makonde mle mle mjengoni sembuse kutoka tu nje ya ukumbi?
Kung'ang'ania kuwa wabunge wa-CHADEMA walimpigia kura Pinda ni kuonyesha jinsi gani unavyodharau kazi inayofanywa na wapiganaji wetu walioko mstari wa mbele.
We endelea na kujiliwaza na dharau zako lakini ujumbe umeshafika kunako loud and clear na kama Mkwere hataki kusikia basi aelewe yeye ndio mwanzilishi wa ile safari kuelekea huko wote tusikokutaka...