Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Jamii Forum ndio kuna udini. Page ya 20 hii watu wanadiscuss dini. And most of the posts are garbage. Hee hee. Chukua daladala posta mpaka Kariakoo. Tembea tembea mjini uone kama utasikia huu udini. Watu wanaendelea na magumashi kama kawaaada.

Msijifanye hamjui kwamba Arusha mjini (walimsema Buriani kwa nini kaslimu), Kigoma yote, kulikuwa na kampeni za kidini. Kama hamjui nendeni mkaulize. JK kasema ukweli. Whatelse would Kakobe run around in TV kuongelea siasa kama yeye ni mgombea?

Tokeni online jamani.

Whatever happened to this Kijiwe? Invisible babu, sisi wengine wakongwe humu ndani. Its getting bad in here.
 
Ni ngumu sana kuzungumzia udini kama huna harufu ya udini..amejuaje kuwa kuna udini kama hajafikiri tofauti za dini za watanzania na kupima ushiriki wao kwenye masuala mbalimbali? mi ninavyojua anayekemea kitu lazima kimetoka na kipo moyoni mwake. hivyo basi kikwete na chama chake ni mdini tena aliyekubuhu. mbaya zaidi ameshakuwa m-familia!! huwezi kuimba wimbo usioujua :embarrassed::embarrassed::embarrassed:
 
Jamii Forum ndio kuna udini. Page ya 20 hii watu wanadiscuss dini. And most of the posts are garbage. Hee hee. Chukua daladala posta mpaka Kariakoo. Tembea tembea mjini uone kama utasikia huu udini. Watu wanaendelea na magumashi kama kawaaada.

Msijifanye hamjui kwamba Arusha mjini (walimsema Buriani kwa nini kaslimu), Kigoma yote, kulikuwa na kampeni za kidini. Kama hamjui nendeni mkaulize. JK kasema ukweli. Whatelse would Kakobe run around in TV kuongelea siasa kama yeye ni mgombea?

Tokeni online jamani.

Whatever happened to this Kijiwe? Invisible babu, sisi wengine wakongwe humu ndani. Its getting bad in here.

TOKA MWENYEWE KAMA UMEISHIWA HOJA. :A S-rap:
 
Jamii Forum ndio kuna udini. Page ya 20 hii watu wanadiscuss dini. And most of the posts are garbage. Hee hee. Chukua daladala posta mpaka Kariakoo. Tembea tembea mjini uone kama utasikia huu udini. Watu wanaendelea na magumashi kama kawaaada.

Msijifanye hamjui kwamba Arusha mjini (walimsema Buriani kwa nini kaslimu), Kigoma yote, kulikuwa na kampeni za kidini. Kama hamjui nendeni mkaulize. JK kasema ukweli. Whatelse would Kakobe run around in TV kuongelea siasa kama yeye ni mgombea?

Tokeni online jamani.

Whatever happened to this Kijiwe? Invisible babu, sisi wengine wakongwe humu ndani. Its getting bad in here.
Mkongwe wewe huyo? Mkongwe gani post 300 tangu 2006? Nyie hapa mwaja kwa sababu ya uchaguzi na ukiisha hatukuoni hadi 2015. Kama mkongwe nenda kule changia Jamii forum mkono mtupu haulambwi!
 
The worst thing is Dini zenyewe ziko open to interpretation. You can't reach consensus on bible or Quran. I say to fight against Malaria is a Jihad, mwengine anasema kuua wamerikani ni Jihad. In bible kuna maagano mawili, hujui lipi limechakachuliwa lipi la ukweli. Historians argues that bible imechakachuliwa to accomodate powerful christians allies (Romans) at that time.

In mean time, after thousand years,Tanzania mnagombana kwa sababu ya udini. What a shame.

My religion is to do goood. What you don't like for yourself, don't do it to your neighbor. Thats it. The rest is bull shit. How about that.

Hawa akina Kakobe hawana lolote wanakula sadaka zenu tu. Sijui OIC au mahakama ya Kadhi, it won't have any difference in your lives. Fanya kazi, peleka mkate kwa familia yako. Thats all to it.
 
Mkongwe wewe huyo? Mkongwe gani post 300 tangu 2006? Nyie hapa mwaja kwa sababu ya uchaguzi na ukiisha hatukuoni hadi 2015. Kama mkongwe nenda kule changia Jamii forum mkono mtupu haulambwi!

Because you can't possibly have an opinion in everything. If I make a contribution to a thread, I try to make it a worthy one. See, you wouldn't know anything about that.
 
The worst thing is Dini zenyewe ziko open to interpretation. You can't reach consensus on bible or Quran. I say to fight against Malaria is a Jihad, mwengine anasema kuua wamerikani ni Jihad. In bible kuna maagano mawili, hujui lipi limechakachuliwa lipi la ukweli. Historians argues that bible imechakachuliwa to accomodate powerful christians allies (Romans) at that time.

In mean time, after thousand years,Tanzania mnagombana kwa sababu ya udini. What a shame.

My religion is to do goood. What you don't like for yourself, don't do it to your neighbor. Thats it. The rest is bull shit. How about that.

Hawa akina Kakobe hawana lolote wanakula sadaka zenu tu. Sijui OIC au mahakama ya Kadhi, it won't have any difference in your lives. Fanya kazi, peleka mkate kwa familia yako. Thats all to it.

Wewe Biblia inakuita ni mpumbavu!
 
Kuna baadhi ya viongozi wa dini waliponda propaganda taka dhidi ya Slaa, huo kwake ni udini kwani hajawahi kuliona tangu amezaliwa.

Kinana alikuwa akiwatangazia watanzania kwa Slaa ni padri, amesoma PhD ya ukristu. Huo ndio udini

ccm ilitumia baadhi ya misikiti kumchafua Slaa na chadema
 
Katika mambo ambayo JK ameyaongea kwa msisitizo na sauti ya kimadaraka ktk hotuba yake ya ufunguzi wa Bunge, ni suala la UDINI, kuwa udini unaanza kujitokeza.

Naomba mnijuze wapambanuaji, ni nini kimetokea mpaka JK alikemee kwa sauti kubwa kiasi hicho suala la UDINI? Je ni kwasababu matokeo ya uchaguzi hayakufika 80% kama walivyotarajia? Au kuna sehemu wakati wa kampeni na hata uchaguzi huu, kulitokea UDINI? Nionavyo mimi, tamko lake hilo, laweza kuleta mka'nganyiko kwa wananchi.

Natoa hoja.

mjumbe wa nyumba kumi alalamike raia ,..raisi nani wa kuchukua hatua? kama yeye anauona huo udini awakamate hata kuwadhihirisha hadharani la sivyo ni propaganda
 
Sawa.

Lakini hii gharama ya udini itawatokea puani.

Unalo Mkwere

Mwizi wa kura ni mwizi wa kura hakuna namna tutamheshimu jambazi wa kura zetu..........................
 
Hiyo kauli ya kichwa cha habari imetoka wapi? Kwenye hotuma Mh JK sijasikia kitu kama hicho

Mwenzetu ulikuwa umeuchapa usingizi wa fono nini?

Amesema ya kuwa yeye Ni raisi kwa waliomchagua na wale ambao hawakumchagua...................wewe ulimwelewaje na huku ukijua ni jambazi wa kura zetu? Jibu hapo ni kuwa CCM wako tayari kwa lolote lile bila ya kujali ridhaa ya kuongoza wameitoa wapi.................
 
Huyu mkwere jana alinishangaza kweli alipoingiza issue ya udini utawagawa WaTZ.
Inavoonekana huyu jamaa sasa hivi ana ile hali ya guilty consciousness kwa vile yeye ndiye alitembea nchi nzima akimwaga upupu wa Udini kwa kumhofia Dr. Slaa. Sasa anakimbia kivuli chake mwenyewe.

Cha ajabu analalamikia udini wakti bado anauendeleza. Mpaka sasa katika wabunge 3 aliowateua wote ni muslims:Zakhia Meghji,Nahodha na Mnyaa. Kiwete atuambie nani alihubiri sera ya udini na wapi? Alete ushahidi vingine anajikaanga mwenyewe!
 
Nimepata tetesi ya kwamba baada ya CCM kuona ya kwamba kulikuwepo na uwezekano wa kushindwa uchaguzi, kililazimika kubuni mbinu ya kukipa chama hicho uhalali wa kuendelea kubaki madarakani pinde hali hiyo itajitokeza. Ndipo kilipokuja na hizi tuhuma nzito, ya kuwa Dr. Slaa alikuwa ameandaliwa na wakristo, hususani wa dhehebu katoliki, ili pinde atakapoingia madarakani aweze kusimamia maslahi ya kanisa hilo. Kwakutumia kisingizio hicho, CCM iliweza kurubuni tume na vyombo vya dola kutumia kila mbinu kukibakiza chama hicho madarakani. Wana JF sijui kama tetesi hizi ni za kweli au la, kama kuna yeyote anayeweza kudhibitisha haya atujuze.
 
Japo sina data, but anything is possible with ccm to remain in power, that I am sure.
 
Anatayarisha mazingira kwa ajili ya hoja ya OIC na Mahakama ya kadhi lakini sidhani kama njia anayoitumia ni ya busara,atafute njia nyingine ya kuzungumzia udini lakini si kwa kupitia siasa
 
Haya mambo ya udini ni mambo ya wanasiasa wenye tamaa ya madaraka. Hayapo, ila wanajaribu kuyatengeneza yaonekane yapo. Shame on them!
 
Mi nadhani ni vyema Rais wetu (tutake tusitake) akaacha kampeni baada ya uchaguzi, sula la udini aliliibua yeye (na wenzake katika chama chake) kama silaa ya kupambana dhidi ya wagombea wa chadema! jambo ambalo hata hivyo aliingii akilini ikichukuliw kwamba, wagombea, wanachama na wapenzi wa vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi walikuwa dini mchanganyiko na hivyo kushindwa kuelewa jinsi walivyokuwa wakiendesha kampeni za udini kama ilivyodaiwa.

wengi tulijua hayo ni mambo ya kampeni, uchaguzi ukipita yataisha maana hakukuwepo udini katika kampeni kwa sababu nyingi tu zilizowahi.

KWANZA, ungekuwepo waliokuwa wanaundekeza wangechukuliwa hatua si kukemewa tu, kwani ni kosa kisheria kubagua watu kwa misingi ya dini.

PILI iweje wanachama na wagombea wa dini tofauti watumie udini kutafuta ushindi dhidi ya wagombea wa chama ambacho nacho kimesheheni wanachama na wapenzi wa ni dini tofauti! Kwani wana CHADEMA si mchanganyiko wa waisilamu, wakristo, na hata wahindu? hali kadharika na CCM si wamejaa wakristo, waisilamu, na dini nyingine? sasa chama au mgombea atakayetumia uislamu wake au ukiristo wake atategemea kupata wapi kura maana atakuwa anawabagua hata wanachama wake.

suala kwamba mgombea urais wa CHADEMA alikuwa mkristo na kwa bahati mbay au nzuri aliwahi kuwa kiongozi wa kanisa, wakati wa CCM na CUF walikuwa waislamu haiweza kujenga hoja kwamba Chadema au waliokiunga mkono waliendesha kampeni za kidini, maana kwa kufanya hivyo wangejipotezea kura za wale ambao hawakuwa wakristo, wengine ambao wako ndani ya chama hicho au ni wapenzi na mashabiki wake. , na kusema kweli kila mgombea, awe wa CCM, CHADEMA na hata CUF waliungwa mkono na wapiga kura wa dini zote.

suala kwamba kuna baadhi ya viongozi wa kanisa walikuwa wakionya wananchi kutounga mkono na kupigia kura wasiokuwa waadilifu, wala rushwa na mafisadi, si udini hata kidogo!, kwani wagombea wa CCM ndiyo mafisadi, wasiokuwa waadilifu na wala rushwa?! hata kama wamo si wote na hiyo haiwezi kujenga picha kuwa anayepinga wagombea wa aina hiyo anapinga wagombea wa CCM peke yao kwa sababu za kidini!

Kwa CCm kuendelea kukumbatia kwamba waliokuwa wakilengwa na viongozi wa dini walipoonya wasichaguliwe mafisadi ni wagombe wao (CCM) ni kudhiirisha kwamba hata wao wanajijua hivyo kwamba wengi wa wagombea wao ni mafisadi na wasiokuwa waadilifu, na wala kamwe huo si udini.

nilidokeza kwamba wengi tulichukulia ni mbinu (japo chafu) wakati wa kampeni na kwamba uchaguzi ukiisha hatutasikia tena madai hayo kwa kuwa si mara ya kwanza CCM na wagombea wake kuibua madai kama hayo, huko nyuma walioelekezewa mashambulizi walikuwa CUF ambao kwa wakati huo walikuwa tishio, licha ya kuwa wagombea wote - rais na makamu wake (mwaka 2005) wa CUF na CCM walikuwa waislamu, lakini bado CCM ilidai CUF ilikuwa ikitumia misikiti kuwataka waislamu wawachague wagombea wasiokuwa waislamu, (sasa hapo sijui wao - CCM wagombea wao wakati huo walikuwa wakristo na sasa wamegeuka na kuwa waislamu!) ndiyo maana tukasema zilikuwa mbinu (chafu) za kampeni za kutaka kuonewa huruma na kupakaziana.

hata hivyo kwa kuwa sasa Rais wetu ameendelea kushikilia msimamo wake huo hata baada ya uchaguzi, wengine tunaanza kupata wasiwasi, kwamba pengine udini ulikuwepo kabla, wakati na hata sasa baada ya uchaguzi.

kama si chadema kushiriki dhambi hiyo na hivyo kuhatarisha mstakabari wa taifa letu, na kama ni hivyo ni jambo la kushangaza kwa mkuu wa nchi kuendelea kulalamikia jambo kubwa kama hilo. alipaswa kuwa ameagiza vyombo vyake kukusanya ushahidi na wahusika kupelekwa katika vyombo vya sheria.

Vinginevyo asitufanye tukaamini kwamba pengine CCM (uongozi wa sasa au yeye na wenzake) ndo wadini, wameshaanza kuendesha nchi kwa misingi ya dini, wameshiriki uchaguzi kwa misingi ya dini, au wana mpango wa kuendesha nchi kidini katika ngwe hii yao ya mwisho.

na hivi visingizio, kelele na tuhuma ni kuficha nia zao ili wananchi wakengezwe na madai hayo waione ya kwao.

sitaki kuhesabu viongozi wasilamu na wasiokuwa wakristo walio katika nafasi mabalimbali ambao wamewekwa au wameingia katika nafasi hizo kipindi cha serikali ya awamu ya nne, maana hicho si kipimo cha udini, bali kama huo ni mkakati hilo ni jambo lingine.

na vilevile najizuia kuhoji kuridhika(kunyamaza) kwa waslamu kipindi hiki, ambao katika chaguzi zilizopita walikuwa mstali wa mbele kutetea maslahi yao hususani mahakama ya kadhi hadi kutishia kutopigia mgombea wa CCM, japokuwa kwa wakati huo sula hilo lilikuwa moja ya ahadi za CCM na mgombea wao na ilikuwa nadani ya ilani.

sasa pamoja na kutotekelezwa waislamu katika uchaguzi huu wametulia tuli!.. kwa vyovyote wana hakika kwamba mambo yao yatanyooka. ni vema rais wetu akawaeleza umma wa watanzania ni yapi wamekubaliana na waislamu kiasi cha kuwafanya watulie wala wasilete chokochoko kipindi hiki, vinginevyo hatuwezi jua ni nini wamekubaliana! usiri huu na kuendelea kupakaziana udini kwa wapinzani wao inaweza ikawa kichaka cha kuleta mambo yasiyokubalika kwa mpenda amani hapa nchini, awe muislamu au mkristo. ni vyema ikajulikana nani anadai nini na ameahidiwa nini ili akitekelezewa asije mtu kuuliza kwamba hapo vipi!
 
Because you can't possibly have an opinion in everything. If I make a contribution to a thread, I try to make it a worthy one. See, you wouldn't know anything about that.
Can you show us anything worthy that you have ever posted here since 2006? Do you mean these filth? Just give us links to such posts if they are there!
According to our clear investigation your just seen here during election time, and there after you perish! Hope to see you again right here in 2015!
By the way umesharipoti ile thread ya Changia JF mkono mtupu haulambwi?
 
Hii thread imeungwaungwa wee sasa hata haieleweki title yake ina mahusiano gani kilichomo.

Mod inabidi wapewe pills za commonsense. Mnakera sana sometimes.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom