Ni nani aliyempa Rais pongezi na tahadhari ya kupingwa na kijani

Ni nani aliyempa Rais pongezi na tahadhari ya kupingwa na kijani

Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?

"Maneno ya Mzee wa Msoga kabisa"
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Mzee yule wa pale njia ya kwenda Moro
 
Ha ha ha ha ha, haya Sasa mpira ndo umeanza ,naona refaliii anasema nn pale, ahaa ni faulo, namba 8 mgongoni Nani Yule aah ni chifu alimchezea faulo ,mchezaji nyota wa timu ya jumba kuu. ndg watazamaji huyu mchezaji na 8 mgongoni alisajiliwa dirisha la pili kutoka timu moja huko visiwani ughaibuni,ni mchezaji hatari Sana,anaweza kubadilisha matokeo Kama timu ya jumba kuu haitakuwa makini kwenye safu ya ulinzi!! piiiiiiiiiiii ,nini tena pale!!naona wachezaji wanasukumana sukamana pale, ni faulo nyingine tena imefanywa na mchezaji machachari wa timu ya jumba kuu!!! aaahaaa hii mechi kweli ni ngumu,na mabao ni bila bila mpaka Sasa!!
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Nahis ni membe. Walah tena
 
Vyovyote vile hilo liko wazi hauhitaji kuwa nabii kulifahamu
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Msoga
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Huyo Mzee ni JK Mkwere
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Tony Blair
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Ni jkm hivo tu
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?

Chikwete
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Labda Joseph Sinde Warioba au Pius Msekwa. Haya majamaa yako bold
 
Back
Top Bottom