Ni nani aliyempa Rais pongezi na tahadhari ya kupingwa na kijani

Ni nani aliyempa Rais pongezi na tahadhari ya kupingwa na kijani

Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Maswali ya kijinga ,kama yeye hakumsema sisi tutajuaje uwe unatumia akili
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Yule mzee Wiseman wamakamo huyu hapa
Screenshot_2022-01-04-23-09-36-52.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2022-01-04-23-09-36-52.jpg
    Screenshot_2022-01-04-23-09-36-52.jpg
    97 KB · Views: 9
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
MBONA TUNAMJUA NI YULE BERIZEBULI WA MSOGA
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Chawa baba....
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Ni uhuru kenyatta

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hotuba ilisheheni kweli kweli. Kila sentensi ya hotuba inaanzishiwa uzi. JF sihami, ha ha haaa!
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
images.jpeg
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Ni ndoto za uchu wa madaraka ya urais
 
Samia URAIS umeanza kumkolea hivyo msije shangaa akafanya mambo ya hovyo kuliko Magufuli!! Ameisha anza kupata kigugumizi kuhusu katiba mpya baada ya Kikwete kumshauri kuwa akilubali katiba mpya ipatikane atakosa muhila wa pili wa Urais!!
Hiyo tume waliounda eti tume ya vyama vya siasa ni wateule wanapata maelekezo kutoka kwa Kikwete!! Huyo mwenyekiti wao Mukandala ni chawa wa Vasco Dagama wa siku nyingi. Hivyo mapendekezo yao ni yale watakayotaka ili waendeleze ufisadi wao.
 
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.

Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako

Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?

Ni anatokea upinzani?
Wewe haya umeyaleta mwenyewe... jitahidi ufukunyue utuletee majibu pia!
 
Back
Top Bottom