Awe yoyote, Ila ni uendelezo wa tabia za unafiki, na kujipendekeza za viongozi wa TanzaniaMbona kamtaja? Amesema "wise man wa makamo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe yoyote, Ila ni uendelezo wa tabia za unafiki, na kujipendekeza za viongozi wa TanzaniaMbona kamtaja? Amesema "wise man wa makamo"
Awe yoyote, Ila ni uendelezo wa tabia za unafiki, na kujipendekeza za viongozi wa TanzaniaMbona kamtaja? Amesema "wise man wa makamo"
Awe yoyote, Ila ni muendelezo wa tabia za unafiki, na kujipendekeza za viongozi wa TanzaniaMbona kamtaja? Amesema "wise man wa makamo"
Maswali ya kijinga ,kama yeye hakumsema sisi tutajuaje uwe unatumia akiliLeo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?
Napaona Msoga kwa mbali.
Yule mzee Wiseman wamakamo huyu hapaLeo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?
Ila lemutuz ni chawa master! anamsagia kunguni mgogo mwenzake!
MBONA TUNAMJUA NI YULE BERIZEBULI WA MSOGALeo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?
Chawa baba....Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?
Ni uhuru kenyattaLeo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?
Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?
Ni ndoto za uchu wa madaraka ya uraisLeo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?
Wewe haya umeyaleta mwenyewe... jitahidi ufukunyue utuletee majibu pia!Leo mheshimiwa Rais Samia Suluhu amesema kuwa baada ya kuapishwa kuna mtu alimfuata akampa hongera pamoja na pole.
Pia akamwambia kwamba katika uongozi wako, hautapingwa na wapinzani zaidi ni kijani mwenzako
Je mtu huyo ni nani aliyempa Rais taarifa hii ambayo kwa sasa inajidhihiri?
Ni anatokea upinzani?