Ni nani aliyempa Rais pongezi na tahadhari ya kupingwa na kijani


"Maneno ya Mzee wa Msoga kabisa"
 
Mzee yule wa pale njia ya kwenda Moro
 
Ha ha ha ha ha, haya Sasa mpira ndo umeanza ,naona refaliii anasema nn pale, ahaa ni faulo, namba 8 mgongoni Nani Yule aah ni chifu alimchezea faulo ,mchezaji nyota wa timu ya jumba kuu. ndg watazamaji huyu mchezaji na 8 mgongoni alisajiliwa dirisha la pili kutoka timu moja huko visiwani ughaibuni,ni mchezaji hatari Sana,anaweza kubadilisha matokeo Kama timu ya jumba kuu haitakuwa makini kwenye safu ya ulinzi!! piiiiiiiiiiii ,nini tena pale!!naona wachezaji wanasukumana sukamana pale, ni faulo nyingine tena imefanywa na mchezaji machachari wa timu ya jumba kuu!!! aaahaaa hii mechi kweli ni ngumu,na mabao ni bila bila mpaka Sasa!!
 
Nahis ni membe. Walah tena
 
Vyovyote vile hilo liko wazi hauhitaji kuwa nabii kulifahamu
 
Msoga
 
Huyo Mzee ni JK Mkwere
 
Tony Blair
 
Ni jkm hivo tu
 

Chikwete
 
Labda Joseph Sinde Warioba au Pius Msekwa. Haya majamaa yako bold
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…