unique dada
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 770
- 605
Amen jina lake Mungu lihimidiwe milele yoteAngekuwepo, sahivi vile visiafu vyenye kofia nyekundu vingekua standby.....
Kesho wapinzani ndani, faini milioni 10, ahsante Mungu tumezika matatizo!!!
Akili kama hizi ndo zinaturudisha nyuma sana......nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Kwani shida nini??Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Ambako ndiko kalikua kanapanda ndege za Atcl kwenda chato kwa mtukufu kuhiji.
Naskia SUKUMA GANG uwanja wanataka waanze kuanikia udaga/mihogo, mhindi na mpunga eti ile rami ya pale inawahi kupata heat haraka..Acha upumbavu. Hili ni taifa huru soma katiba ya JMT ibara ya 18.
Vipi hawajambo Chato? Ndege zinatua hapo au mmeshaanza kufugia mbuzi.
Saaaaana tu,huku tukiimba atake asitake ataongezewa tuuuuuuuuuuuuuuuuu.Kumbe mlikua mnaenda kuhiji kule aisee
Yupo wapi sasa' huyo mbabe wako? Mbona baadaye akawa anatembezwa tu viwanjani na subordinates wake just for show off?.......mara Taifa, mara Dodoma, mara Zanzibar mara Mwanza etc etc. Almradi vurugu.Wanataka waanze kuleta usumbufu wao tena kwa mama samia baada ya kumkimbia magufuli eeh, kichapo walichokua wanapata toka kwa magufuli kilikua cha haja,mpk wakakimbia wote,wakianza mambo yao ya kumsumbua mama watakula viboko tu saiv πππ
Kwa hiyo unataka turudi enzi zile ulipoyaona maslahi yako sio.Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
ibara ya 18 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ssiyo hisani ni takwa la katibaAma kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Ama kweli mambo yamebadirika sana mpaka watu wamesahau majukumu yao. Leo viongozi wa vyama vya upinzani wataongea na watanzania kupitia vyombo vya habari. Jambo linalonitatiza ni pamoja na kwamba hii itakuwa mara ya kwanza kwa wapinzani hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa tangu rais Samia aingie madarakani. Na kwa kuwa rais wetu hayupo nchini na kulingana na mtifuano mkali uliopo wa ripoti wa CAG na serikali ni nani ameruhusu watu hawa kuzungumzia mambo ya kitaifa? tena mbele ya wanahabari na matukio yao kurushwa live?
Umeshiriki na wewe kuturudisha enzi uliyonufaika.All are well planned. Kumdhalilisha JPM