Ni nani aliyeruhusu Mbowe na Zito kabwe kuongea na taifa wakati mkuu wa nchi akiwa nje ya nchi

Kwa
Kwani katiba inasemaje
 

Hebu tulia ww acha kusumbua wanaume.
 
Bora limekufa,mlidhani angetesa Watanzania mpaka lini?
Watu Tuliomba sana hatimaye MUNGU akatujibu,Mama hawezi kujaribu ujinga wa Hayati,Tutaomba naye afe na itakuwa hivyo.
Acheni hizo nyie,alikua na matatizo yake kitambo tu sio eti nyie chadema mliomba .
 
i wont care. maana nitakuwa najua mzee alikuwa na maadui. crushed ni kitu cha kawaida.
good news is mm sio mwanafamilia.. ila msiba naujua.
 
Tuwekee vipengele vya sheria au katiba vinavyowazuia kuongea.
 
KATIBA YA CCM ndiyo imeruhusu, ya JMT 1977 imewakataza.
Lowassa aliwaambie msome hamtaki mnabaki kulamba nanii , nanii
 
Majinga ya CCM hasa yale Masukuma kweli tatizo kubwa kwa Nchi yetu, kwani ni Rais ndiye mwenye wajibu wa kuturuhusu Watanzania kuongea na lazima awepo ndo tuongee? Ndo maana Mwendazake alikuwa hasafiri tusije tukaongea akiwa hayupo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…