Ni nani aliyewaambia na kuwadanganya Wamisri kuwa wana umiliki wa 87% ya maji yote ya Mto Nile?

Hakika mkuu wkt mwingine inabidi tukubali tu viumbe hai huishi kwa kutegemeana aisee in history si tunaambiwa wazee wetu huko Geita dhahabu walikuwa wakichezea Bao[emoji28]vitu vingine tunashupaza shingo tu ila ukweli tunaujua!!
 
Misry, kenya na tanzania ndio watakaoshinda. Na ethiopia hawezi bila msaada wa nduguye myahudi

Tanzania wanaweza vita na mbowe tu uko kwengine tusijalibu yani Tanzania hii hii ya kina sirro [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wapuuzi hao, wahuni kabisa, labda kuwa na ma pyramids wanajiona wako superior, silly and stupid Egypt..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…