Ni nani aliyewaambia na kuwadanganya Wamisri kuwa wana umiliki wa 87% ya maji yote ya Mto Nile?

Ni nani aliyewaambia na kuwadanganya Wamisri kuwa wana umiliki wa 87% ya maji yote ya Mto Nile?

Sasa nimeanza kuamini Maudhui ( Content ) ya Kitabu alichoandika Rais Yoweri Museveni wa Uganda mwaka 1992 ambacho Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliandika Dibaji ( Fowerword ) yake chenye Title ya ' What is Africa's Problem ' ambapo Rais Museveni aliwalaumu mno Mababu zetu kwa Kuzubaa, Kutojitambua na Kuwaachia Wazungu wawatawale na kuwazidi Akili kiasi kwamba hadi sasa Waafrika tupo tupo tu kama Watu Wendawazimu na tuliolaanika wakati Utajiri Wetu mkubwa ndiyo unazitajirisha nchi za Wazungu hawa hawa.
Cha kulaumu zaidi ni yule aliyetunyima akili, ni sawa na swala au pundamilia waanze kujilaumu huko porini kwa nini wanaliwa na Simba. That's nature my dear, lazima viumbe tutegemeane. Ulishawahi kujiuliza hivi hao wazungu kwa mfano waamue kuacha kuchukua dhahabu huku Afrika au madini mengine ambayo unasema yana thamani, utayafanyia nini? Hiyo thamani unayoiona wewe kwenye madini imesababishwa na hao wazungu la sivyo sisi tungekuwa tunayaona kama mawe tu.
 
Nadhani mwenyezi mungu alituumba waafrica hivi tulivyo kwa makusudi yake mwenyewe.hatuna elimu,teknologia, uchumi bora nk lakini ndo tunaishi maisha magumu in a very simple way.

Kama wakina Bgate walisema afrika tutaokotwa mitaani maiti kama kuku walio kufa na fowl typhoid kwa corona na leo hii tuna sumbuliwa na corona lakini hatufi kama wao. Na maisha yanaenda .

Aisee! Unakumbuka kariakoo watu wanadondoka mpaka kufa, umesahau eti! Sema hivi wanaokufa hapa hatujui idadi yake kwa sababu takwimu hazitolewi. Nakushauri nenda kwenye hospitali kubwa hasa za serikali ukajionee wagonjwa wa corona walivyo wengi utashika kichwa kiongozi, acha kusikiliza maneno ya mtaani kwenye vijiwe vya kahawa na mitandaoni, nenda mwenyewe kajihakikishie utarudi kunishukuru.
 
Vita ya aina hiyo ikizuka Kenya, Uganda, Tanzania, Sudan tusimame na Ethiopia.
Maana wanachotaka kuleta Misri ni upuuzi

Huu sasa ni ubaguzi kisa wale ni waarabu, lakini umesahau hao pia ni waafrika.

Ili mambo yatuendee sawia tuachaneni na roho mbaya, chuki, na tusaidiane na tushirikiane kwa pamoja. Huu ndio ubinadamu na sio uhasama
 
Huu sasa ni ubaguzi kisa wale ni waarabu, lakini umesahau hao pia ni waafrika.

Ili mambo yatuendee sawia tuachaneni na roho mbaya, chuki, na tusaidiane na tushirikiane kwa pamoja. Huu ndio ubinadamu na sio uhasama
Ni wapi nimetaja waarabu au wafrika?
Wamisri wanataka kujimilikisha mto Nile, hiyo ni Tunu ya kila nchi ambayo mto huo umepita.
Kila nchi ina haki ya kutumia maji hayo.

Dhana ya ubaguzi ni yako.
 
Aisee! Unakumbuka kariakoo watu wanadondoka mpaka kufa, umesahau eti! Sema hivi wanaokufa hapa hatujui idadi yake kwa sababu takwimu hazitolewi. Nakushauri nenda kwenye hospitali kubwa hasa za serikali ukajionee wagonjwa wa corona walivyo wengi utashika kichwa kiongozi, acha kusikiliza maneno ya mtaani kwenye vijiwe vya kahawa na mitandaoni, nenda mwenyewe kajihakikishie utarudi kunishukuru.
Acha mambo yako kariakoo ya wapi!!!?? Lini watu walidondoka
 
Nikija kua Rais wa hii nchi naapa
Hao waarabu Koko wataisoma namba kwanza nitawashawishi watu wa Uganda huo mto tuupindishe Kwa kuupiga livasi kunyumenyume utiririke kwenda Burigi chato

Hao wavamizi walijimilikisha mapiramid ya Babu zangu farao Imhotep, Tut,khofu na wengineo
Wangeisoma namba!

Ndio watajua na roho mbaya zaidi ya Jiwe!

Maisha hayendi unavyotaka wewe bosi, hata ukiwa raisi hutoweza kufanya hilo.
 
Huwa najiuliza nani aliwamilikisha Masri hiyo 87% nakosa jibu. Labda wajuzi wa history watatujuza.
Mikataba iliyosainiwa na wakoloni inaendelea kutafuna mpaka sasa,hao wamisri Wana haki miliki ya maji yaliyomo ziwa Viktoria pia.kutahitajika viongozi shupavu kutangua mikataba hiyo.
 
Mataifa ya Ulaya Magharibi wameununua huo mgogoro ili kuchonganisha mataifa ya Afrika yazidi kuchelewa kupiga hatua.

Ukiangalia sehemu bwawa la Ethiopia lilipojengwa ni kwenye tawi dogo la huo mto wala sio kwenye mto mama... Najiuliza kama huu mto unaanzia kwetu kwenye ziwa Victoria vipi tukiamua kuutumia kwa mambo makubwa tutafokewa?
 
Maisha hayendi unavyotaka wewe bosi, hata ukiwa raisi hutoweza kufanya hilo.
usichukulie serious mkuu,nachangamsha genge tu mkuu kwanza huo utakua ukatili Kwa binadamu wenzangu unaanzaje kuzuia maji Kwa watu wa jangwani wakati sisi tuna Kila Aina ya chanzo?
Hiyo itakua ni roho mbaya zaidi ya shetani Aisee!
 
Vita ya aina hiyo ikizuka Kenya, Uganda, Tanzania, Sudan tusimame na Ethiopia.
Maana wanachotaka kuleta Misri ni upuuzi
Hivi ikitokea vita Kati ya Misri Vs Ethiopia,Kenya, Uganda, Tanzania Na Sudan. Nani atashinda?
 
Sasa nimeanza kuamini Maudhui ( Content ) ya Kitabu alichoandika Rais Yoweri Museveni wa Uganda mwaka 1992 ambacho Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere aliandika Dibaji ( Fowerword ) yake chenye Title ya ' What is Africa's Problem ' ambapo Rais Museveni aliwalaumu mno Mababu zetu kwa Kuzubaa, Kutojitambua na Kuwaachia Wazungu wawatawale na kuwazidi Akili kiasi kwamba hadi sasa Waafrika tupo tupo tu kama Watu Wendawazimu na tuliolaanika wakati Utajiri Wetu mkubwa ndiyo unazitajirisha nchi za Wazungu hawa hawa.
Hlf yeye Museven amefanya nini sio kwa Ajiri ya Afrika kwa Ajiri Uganda tu...
IMG-20181006-WA0015.jpg
 
Nilipoona tu tamko la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likisema kuwa haliwezi Kuingilia kati Mgogoro wa Matumizi ya Maji ya Mto Nile kati ya nchi za Misri na Ethiopia kwakuwa inajua kuwa Misri ina uhalali wa 87% ya Maji ya Mto huo nimeshtuka na kuwa na maswali mengi mno.

Hivi ni lini Waafrika na hasa huu Umoja wa Afrika (AU) utasimama imara kabisa Kutetea na Kusimamia Maslahi ya Bara la Afrika na Rasilimali zake kwa ujumla? Kwanini iliyokuwa (OAU) miaka ya nyuma ilishindwa kuwa Sauti ya Kujiamini kwa nchi zote za Afrika ili Afrika tusikike, tueleweke na tuheshimike mno.

Hainiingii Akilini kabisa leo hii kusikia nchi kama za Misri na Ethiopia kila Uchao tu zinagombania Umiliki wa Mto Nile wakati sehemu Kubwa na iliyoanzia hadi hata kupita nchi kama za Uganda na Sudan nazo zina haki ya Umiliki lakini zimenyamaza na zikiwaangalia kama hata si Kuwashangaa pia.

Wazungu wanapenda sana Kutuingilia na Kutupangia mambo yetu mengi Waafrika na kwa jinsi Viongozi wengi wa Bara la Afrika walivyo Goi Goi na wa hovyo hovyo kiasi cha Kuwaogopa Wazungu hawa Waafrika wote tunadharaulika na kuonekana hakuna tunalolijua na hata kuliweza zaidi ya kuwa Waongo, Wavivu na Wachawi wa Kutukuka.
Makao makuu ya AU yamejengwa na mchina
Gadf ndio alikua sponsor mkubwa wa budget ya AU (mataifa wanachama wanalipia fees zao kwa kusuasua)
3. Sponsors wa AU hutakosa EU na WB
4. CDC-Africa mpk sasa hatujaona impact yake kwenye ishu ya COVID-19 mpaka tunaletewa covax
Nk nk nk
Kwa mtizamo wangu, si rahisi Afrika kusimama kwa kutegemea sera za nje za mabeberu
 
Hivi kwa mfano mtu ukaenda pale daraja la jinja uganda na kumwaga vifusi vya zege mto nile utaendelea kuwepo!?
Maji mengi ya Mto Nile yanatoka Ethiopia kwenye mto unaitwa Blue Nile amabao chanzo chake ni lake Tana iliyopo Ethiopia. Ziwa Victoria na tributaries zake zinatoa 20%
 
Huu sasa ni ubaguzi kisa wale ni waarabu, lakini umesahau hao pia ni waafrika.

Ili mambo yatuendee sawia tuachaneni na roho mbaya, chuki, na tusaidiane na tushirikiane kwa pamoja. Huu ndio ubinadamu na sio uhasama
Wa misri asilia sio warabu. Warabu ni wahamiaji na wagiriki ispkuwa warabu nfio watawala pale misri ila ni waafrika kweli hata damu tu nashare jwa asilimia fulani ila haki izingatiwe bila kujali rangi dini wala kabila.
 
Back
Top Bottom