Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Huu uzi uingizwe kwenye kitabu cha kumbukumbu kama uzi wenye maoni ya hovyo zaidi mwaka 2023.
Mj ndiye alileta mapinduzi ya watu weusi kupigwa regularly kwenye networks kubwa za wazungu kama MTV.
Bila Mj hao blacks uliowataja wangesubiri sana.
Mj ndiye mwanamuziki pekee alitamba kwenye jamii zote kuanzia marekani, kwa wahindi, wachina, waafrika... ( Bila social media )
Yaani ukisema MJ hajui ni sawa na useme Pele/Messi au Cr7 hawajui, inaonekana tu huna akili.
Mj ndiye alileta mapinduzi ya watu weusi kupigwa regularly kwenye networks kubwa za wazungu kama MTV.
Bila Mj hao blacks uliowataja wangesubiri sana.
Mj ndiye mwanamuziki pekee alitamba kwenye jamii zote kuanzia marekani, kwa wahindi, wachina, waafrika... ( Bila social media )
Yaani ukisema MJ hajui ni sawa na useme Pele/Messi au Cr7 hawajui, inaonekana tu huna akili.