Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haWanasema "soma alama" unaweza bishana na mtu ambaye amezaliwa wakati MJ hayupo duniani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haWanasema "soma alama" unaweza bishana na mtu ambaye amezaliwa wakati MJ hayupo duniani.
Hebu sikiliza ngoma zifuatazo za MJ kwa moyo mkunjufu, Tena kwenye Bufa halafu uangalie videos zake na shows zake ndio utajua MJ ni Nani:Kweli kabisa. Jamaa kama Diamond anazuga na vimaneno vyake viwili vitatu anateleza kwa sana.
Tayari anaiteka dunia na kumtajirisha bila jasho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umekuja kuwatafuta maneno wamarekani wa Bongo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio tu michael, Bob na Pac binafsi hawanibariki ..
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
nasubiri kuuwawa na JUSTICE SOCIETY mana nmechokoza CIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sanaa na kwa sasa mwenye hiyo trait ni beyonce. Powerful introvertsSweet Personality indeed,
Yaan kalikua kamtu fulani hivi unaweza ukasema yote akiwa hayupo ukikaona maneno yote yanaisha, alikua ana aibu sanaaaa, hua sichoki kuangalia documentaries zake.
Kwani ni lazima ujifanye unajua wakati hujui?Hakurudi hadi KESHO ile Earth song sio bongo, mengine yote umesema sahihi Mimi nlifupisha story tu
acha uongo, alifika mpaka ikulu na kupiga story na mwinyi. na kuna vipande kwenye video ya earth song inadaiwa vilishutiwa serengeti.Tafuta Documentary ya Show zake utaelewa kwanin bwana Wako Jacko kwanini alijiita Jina la kimakonde
Wako kwa kimakonde maana yake Wewe
Jacko ni kifupi cha Jackson kwa pamoja maana yake ni Wewe Jackson kuna nyimbo yake moja inaitwa Liberian Girl mule kaimba Kiswahili "Nakupenda pia Nakutaka pia Mpenzi weeee", na bongo alipotua Dar aliishia Airport JNIA kipindi hicho ilikua haiitwi hivyo, akarudi kwao akasema bongo kuna stink yaan bongo kuna nuka,
Aliekua anamfuatia kwa Show kali ni Celine Dion
Yes, Beyonce anajua kuwakomesha paparazi, kwanza ana miaka mingi hajafanya interview, haoneshi private life yake, anawaonesha watu kazi zake tu, ila nasikia ana rekodi kila kitu anachofanya siku akifa videos zitauzwa, mfanyabiashara yule ameamua atengeneze hela hata akiondoka, lolSanaa na kwa sasa mwenye hiyo trait ni beyonce. Powerful introverts
Sawa mkuu nimekubari ni valid source,Kwani ni lazima ujifanye unajua wakati hujui?
Bro, sio kila kitu lazima uweke neno wakati mwingine jifunze kutulia na ujifunze,
View attachment 2489859
Haujanielewa mbon nmeshalielezea hili mimi nilifupisha story aisee kuna tatizo gani kwani? Unadhani Mimi sijui km alionana na mwinyi na hio picha siijui au?acha uongo, alifika mpaka ikulu na kupiga story na mwinyi. na kuna vipande kwenye video ya earth song inadaiwa vilishutiwa serengeti.View attachment 2489861
Hakuna palipoandikwa Serengeti, au km umepaona nionyeshe? Si unasema Mimi muongona kuna vipande kwenye video ya earth song inadaiwa vilishutiwa serengeti.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haujanielewa mbon nmeshalielezea hili mimi nilifupisha story aisee kuna tatizo gani kwani? Unadhani Mimi sijui km alionana na mwinyi na hio picha siijui au?
Virgo alietulizwa na Sagittarius au sio? Anaempa ramani Beyonce na asietaka ujinga ni yule mwamba Jigga hapendi ujinga, Jigga ni Sagittarius sio VirgoVirgos wenzangu hao
Babu nilifupisha story tu Mambo yasiwe mengi Wako Jacko hakutaka Mambo mengi pia,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo ukaona useme aliishia Airport na kusema Tz inanuka ili ufupishe story lakini ulijua kua alifika Dar na kwenda hadi Ikulu kuonana na Rais Mwinyi,
Umenichekesha kweli.