Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Wewe mtoto wa miaka ya 2000 huwezi mwelewa Michael Jackson. Pia hata Uelewa wako nimeona si mzuri. Huyu Mike achana naye hao ulio waelewa wanakutosha
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Heal the world, will you be there, don't stop till you get enough, someone is starting something, black or white, thriller, you are not alone, beat it, they don't care about us.. list ni ndefu aisee kwa upande wa wanaume kusema kweli labda ni R. Kelly ndo ninaweza kumweka mbele ya wacko jacko
 
Nyota mzee afu alkuwa na style yake Yule unique
Kweli kabisa. Jamaa kama Diamond anazuga na vimaneno vyake viwili vitatu anateleza kwa sana.

Tayari anaiteka dunia na kumtajirisha bila jasho.
 
"We Are the World"

"I Just Can't Stop Loving You

"Bad"

"Say Say Say"

You are not alone

Heal the World

Real?????unasema MJ hajui kuandika unajua hizo nyimbo??
Hiyo ya mwisho tu Heal the world ni nyimbo nzuri sana MJ anasema

There's a place in your heart
And I know that it is love
And this place it was brighter than tomorrow
And if you really try
You'll find there's no need to cry
In this place you'll feel there's no hurt or sorrow

There are ways to get there
If you care enough for the living
Make a little space
Make a better place
Mara ya kwanza nasikiliza heal the world nilikua darasa la pili tangu hapo mpaka leo nikiwa na miaka 30 huwa sichoki kuusikiliza
 
We jamaa umeniharibia siku kwa kumponda mfalme wa pop. MJ toka akiwa mtoto alikuwa anatisha. Sikiliza I'll be there alioimba na kaka zake (Jacksons5) akiwa mtoto kabisa. Huo wimbo ulikuja kurudiwa (remix) na Mariah Carey.

Endelea kusikiliza Singeli. Haya mambo yanayohusisha kiingereza achana nayo.
 
Kweli kabisa. Jamaa kama Diamond anazuga na vimaneno vyake viwili vitatu anateleza kwa sana.

Tayari anaiteka dunia na kumtajirisha bila jasho.
Mtu anatumia masaa 8 kupigia mazoezi step moja tu unajua diet aliyokua anafanya kumaintain mwili wake wa kimuziki? kafatilie documentary ya ile video ya thriller uone uandaaji wake watu wanapiga kazi usiku kwenye baridi kali alafu we unasema anatajirika bila jasho seriously.!
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Sikiliza ngoma yake ya Heal the world halafu urudi hapa
 
"We Are the World"

"I Just Can't Stop Loving You

"Bad"

"Say Say Say"

You are not alone

Heal the World

Real?????unasema MJ hajui kuandika unajua hizo nyimbo??
Hiyo ya mwisho tu Heal the world ni nyimbo nzuri sana MJ anasema

There's a place in your heart
And I know that it is love
And this place it was brighter than tomorrow
And if you really try
You'll find there's no need to cry
In this place you'll feel there's no hurt or sorrow

There are ways to get there
If you care enough for the living
Make a little space
Make a better place
Shukran mkuu kwa haya mistari miwili mitatu. Bora wewe umejitahidi kuweka kile alichoimba.
 
Billie Jean is not my lover
She's just a girls who claims that I'm the one
But the kid is not my son
She says I'm the one but the kid is not my son


Katika nyimbo hata nipoteze/badili simu lazima niu download huu ndo wa 1


Halafu unasema Maiko ni wa mchongo[emoji1787][emoji1787]
 
Yaani hakuna unachokielewa hapa ?!!!

(Think about um, the generations
And ah, say we want to make it a better place for our children
And our children's children so that they, they
They, they know it's a better world for them
And think if they can make it a better place)
There's a place in your heart
And I know that it is love
And this place it was brighter than tomorrow
And if you really try
You'll find there's no need to cry
In this place you'll feel there's no hurt or sorrow
There are ways to get there
If you care enough for the living
Make a little space
Make a better place
Heal the world
Make it a better place
For you and for me, and the entire human race
There are people dying
If you care enough for the living
Make a better place for you and for me
If you want to know why
There's love that cannot lie
Love is strong
It only cares of joyful giving
If we try we shall see
In this bliss we cannot feel
Fear of dread, we stop existing and start living
Then it feels that always
Love's enough for us growing
Make a better world
So make a better world
Heal the world
Make it a better place
For you and for me, and the entire human race
There are people dying
If you care enough for the living
Make a better place for you and for me
And the dream we were conceived in will reveal a joyful face
And the world we once believed in will shine again in grace
Then why do we keep strangling life
Wound this earth, crucify its soul?
Though it's plain to see, this world is heavenly
Be god's glow
We could fly so high
Let our spirits never die
In my heart I feel you are all my brothers
Create a world with no fear
Together we cry happy tears
See the nations turn their swords into plowshares
We could really get there
If you cared enough for the living
Make a little space
To make a better place
Heal the world
Make it a better place
For you and for me, and the entire human race
There are people dying
If you care enough for the living
Make a better place for you and for me
Heal the world
 
"We Are the World"

"I Just Can't Stop Loving You

"Bad"

"Say Say Say"

You are not alone

Heal the World

Real?????unasema MJ hajui kuandika unajua hizo nyimbo??
Hiyo ya mwisho tu Heal the world ni nyimbo nzuri sana MJ anasema

There's a place in your heart
And I know that it is love
And this place it was brighter than tomorrow
And if you really try
You'll find there's no need to cry
In this place you'll feel there's no hurt or sorrow

There are ways to get there
If you care enough for the living
Make a little space
Make a better place
Huyu kijana hajamchimba vizuri huyu mfalme wa pop.
 


Hivi wimbo kama "Human Nature" unawezaje kuuita mmbaya au wa kawaida !

Dogo acha dharau, Hao wote uliowataja ni legends ila Mj ni Icon wa muziki, 90% ya pop culture ameiinfluence yeye.

MJ huwa hapambanishwi na mtu mmoja mmoja, Mj anapambanishwa na vikundi kama The Beatles , sio mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom