Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michael star power yake ilikuwa kwenye humanitarian works, jamaa alikuwa anajitoa sana kwenye kazi za jamii na ile love yake kwa watoto, ilifanya watu wampende zaidi1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.
2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamilili jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.
3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.
Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.
Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.
Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.
Acha utani
Kula chuma hicho
Comparing Michael with the musician of his era like Whitney Houston or Kool & The gang is totally unfair. Michael Jackson was on his own level, The level that other pop musicians will be taking a lot of coming years to achieve and perhaps most of them will never achieve at all.Nna nyimbo za kinq Hueston, , wakina , cool and the gang,
County nyung sana ila sio za huyo mjinga ulomtaja.
Hajui hata kdg
By the way, Can you write the names of those musicians you mentioned above well. It will be good dude.Nna nyimbo za kinq Hueston, , wakina , cool and the gang,
Ndio umeandika nini Mkuu?Nna nyimbo za kinq Hueston, , wakina , cool and the gang,
County nyung sana ila sio za huyo mjinga ulomtaja.
Hajui hata kdg
Kwa Michael Jackson umepita tu kutolea mfano lakini inavyoonekana swali lako la msingi liko kwa Diamond kwamba kwanini yeye ni 'SIMBA' ?
HahahahahKwa Michael Jackson umepita tu kutolea mfano lakini inavyoonekana swali lako la msingi liko kwa Diamond kwamba kwanini yeye ni 'SIMBA' ?
HahahaaKuna namna jamii forums wafanye kwamba mtu mwenye miaka chini ya 16 asiruhusiwe kupost wala ku comment,au kuwe na jukwaa liitwe watoto forum, kiduku forum or whatever..ila kutuchanganyia pumba na Mchele sio Fair...Liberian Girl issa my favorite
Kama dunia nzima imeelewa usipo elewa inatoshaMbona za hao wengine niliowataja hapo juu nimezielewa au wao wanaimba kingoni?
Nilivoona hio tu nikajua wewe mtoto wa juzi.au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.
Nawewe uende 😡Hahahaa
Nakazia...
Niende wapiNawewe uende 😡
Kwenye hilo jukwaa jipya viduku forumNiende wapi