Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

Don't stop till u get enough

Beat it

Bill Jean.

Black or white

Liberian Girl.

You are my world.

Ngoma zangu nazikubali wakati wote za M.J

Wakati anafariki nilikuwa kidato Cha sita. Hapa jijini.

Siku hio nilitoka shule mapema nikaka kwenye runinga nikiangalia CNN siku nzima.

It was sad kwakweli

He was gifted, super talented, charismatic musician.
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Michael Jackson ni best singer of all the time.

Wapo wenye sauti nzuri kuliko yeye, wenye best vocal range Mfano FREDDY Mecury,
kinachomfanya MICHAEL AWEBORA ni kwamba yeye ni complete package. Lkn pia kuna watu kama Rob kelly(r kelly) He is the most accomplished singer kwenye kuandika kupruduce na kuperform in R&B.

Michael Jackson hatutamaliza hapa tukianza kuelezea ubora wake.
Nikukumbushe tu alianzapata umaarufu tokea ana miaka 5.
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Ungesoma kwanza historia yake, kisha na hao wengine.
Ni mwanamuziki anaye ongoza kwa mauzo, na hakuna liyevunja hiyo records mpaka sasa
Ni mwanamuziki anaye ongoza kwa kupokea tuzo nyingi, usisahau enzi hizo ubaguzi ulikuwa juu sana
Ni mwimbaji na dancer pia. sio wote wanao imba ni wajuaji wa kucheza (kuna kitu kinaitwa moonwalker) hakuna msanii mwingine aliyekuja na style yake ya kucheza na ikakubalika kama huyu.
Ni msanii anayeongoza kwa kuwa na bajeti kubwa ya kutengeneza Nyimbo zake

Kwa kifupi, walio anza kuimba kanisani "kaa nao mbali" ni vipaji halisi
 
Unaweza ukawa sahihi kwenye fikra zako kwakua mziki ni hisia hivyo hukua na hisia za kuupenda mziki wa mj ila usituonyeshe ujinga wako unaposema mj hakuwa na nyimbo zenye maana haulazimishwi kumpenda na pia hulazimishwi kuonyesha ujinga na utoto wako
 


Hivi wimbo kama "Human Nature" unawezaje kuuita mmbaya au wa kawaida !

Dogo acha dharau, Hao wote uliowataja ni legends ila Mj ni Icon wa muziki, 90% ya pop culture ameiinfluence yeye.

MJ huwa hapambanishwi na mtu mmoja mmoja, Mj anapambanishwa na vikundi kama The Beatles , sio mtu mmoja.
Wimbo pendwaa kwangu.
Human nature.
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Heeeeeee
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Aisee ulikuwa unawaza kama mimi. Sijawahi kuona uzuri wa nyimbo asilimia kubwa za MJ. Mwingine ni bob marley huwa naona kama luckydube aliapaswa kuxhukua tittle ya BM
 
Human nature
They don't care about us

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

The Wacko Jacko.
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Umezaliwa mwaka gani mdogo wangu??????Kaka zako tukuadithie kidogo enzi hizo
 
Aisee ulikuwa unawaza kama mimi. Sijawahi kuona uzuri wa nyimbo asilimia kubwa za MJ. Mwingine ni bob marley huwa naona kama luckydube aliapaswa kuxhukua tittle ya BM
Umezaliwa mwaka gani mdogo wangu mdogo wangu na huyo dube alianza kusikika international mwaka gani
 
'All I wanna say is that they don't really care about us
All I wanna say is that they don't really care about us
Tell me what has become of my life
I have a wife and two children who love me
I'm a victim of police brutality, now (Mhhm)
I'm tired of bein' the victim of hate
Your rapin' me of my pride
Oh, for God's sake
I look to heaven to fulfill its prophecy...
Set me free'

They don't care about us
Released in 1996

The song was ahead of its time
 
1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.

2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamilili jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.

3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.

Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.

Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.

Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.
Sources zako za kuaminika kaka au na wewe umesoma sehemu????
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Naisikiliza Wanna be starting something zaidi ya mara 50 leo
 
Aisee ulikuwa unawaza kama mimi. Sijawahi kuona uzuri wa nyimbo asilimia kubwa za MJ. Mwingine ni bob marley huwa naona kama luckydube aliapaswa kuxhukua tittle ya BM
Katika comments 100 naona ni wewe na mtoa mada hamumuelewi Michael Jackson ngoja niiskilize BEAT IT weekend iwe murua
 
Back
Top Bottom