Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?


Na nyie nani anawaruhusu kuchepuka??

Kwa sisi wakristu dini inaruhusu mke mmoja tu

Na kwa dini ya kiislam mpaka wawe wamepitishwa kwa imani ya dini

sasa basi nani anawaruhusu kuchepuka???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…