Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?

Ni nani aliyewaruhusu wanawake kuchepuka?

Hapana na feel fine kinoma bali alishangaa siku ya kwanza namuachia boksi la dume
Ah.. nlidhani mke kumbe demu? hyo inawezekana kuna demu mtu unakuwa nae tu alimradi mwanamke unaempenda huwezi fanya hvyo hujawahi na hakuna kidume wa kufanya hvyo hajazaliwa na hatokuja kuzaliwa ktk kitu kinatusumbua wanaume wivu yaani hpo tumekwama kiboko yetu cc kuchapiwa tu bc tunakuwa wanyongeeeeee!
 
Ah.. nlidhani mke kumbe demu? hyo inawezekana kuna demu mtu unakuwa nae tu alimradi mwanamke unaempenda huwezi fanya hvyo hujawahi na hakuna kidume wa kufanya hvyo hajazaliwa na hatokuja kuzaliwa ktk kitu kinatusumbua wanaume wivu yaani hpo tumekwama kiboko yetu cc kuchapiwa tu bc tunakuwa wanyongeeeeee!
Ni mke wangu mkuu ila naona kawaida sina hata wivu yaani normal
 
Hakuna suala baya katika ndoa kwa yeyote yule kuchepuka,nyumba inakosa baraka na ningumu kupata mafanikio
 
Ekizakitili mkuu
Juzi nimeongea na mwanamke moja, aliyekuja likizo toka Uarabuni anakofanya kazi za ndani. Anasema kule wanaume wanasali kwa niaba ya wake zao hata kama siku ya idi !!!!. Sasa andiko linalohimiza tenda hilo utasema limetoka kwa Mungu na ni halali ?!

Kuchepuka ni tamaa tu za kimwili
 
Halafu wanafanya kusudi kutongoza wake za watu akisahau kuwa na mkewe anatongozwa.
Na sie ni binadamu ati, naanzaje kukataa kwa mfano.
**ukila vya watu jua na vyako vinaliwa maradufu.
Njoo kwangu tumnyoshe huyo boya
 
Sio kweli. Mnachepuka na walioolewa tena mnawatongoza kupita maelezo, unategemea awe na uwezo wa kukataa kila mara? Hata yeye ni binadamu
Haya mambo hata hayaeleweki. Ila sisi si tunachepuka na wasio olewa. Tena hatuchepuki ila tunawasaidia huduma
 
Aliyekwambia sisi tunaridhika na kibamia kimoja nani hafu nyie wanaume hutofautiana utaalamu Kuna wapiga katerero mpaka waweza zirai Kuna wansojua mambo had waweza zimia, sasa wewe jidaganye eti nani katuruhusu hata sie tu napenda kucheza viwanja tofauti tofauti.
Eti nini?
 
Sio kweli. Mnachepuka na walioolewa tena mnawatongoza kupita maelezo, unategemea awe na uwezo wa kukataa kila mara? Hata yeye ni binadamu
Ngoja nikuambie kuu kwanza sio kila mwanaume ni kicheche!
Kuna watu wanakijua kitabu cha MUNGU vizuri mno kwa hio mambo ya uzinzi yako mbali na wao. Hakuna mtu wa MUNGU atakae tembea na mke wa mtu kwani anajua anajitaftia kifo! Hao manabii wa uongo wasiwadanganye kwa mtu anaejua maandiko hawezi tembea na mke wa mtu soma Methali 6:26-29 utanielewa huyo mtu wa Mungu mwenye akili timamu achepuke na mke wa mtu.

Kwa mwanaume mjanja atajiongeza ili ampe mkewe kile anachokihitaji kama hakipatikani basi huyo mke mwema atakubaliana na hali. Tatizo binadamu wamejaa tamaa sana na hawaridhiki na walivyonavyo... Pesa ni tatizo sana kwa kweli na ni chanzo cha maovu yote hapa duniani kwa inafikia mahali binadamu hawatahamini watu wao kwa sababu ya pesa na ndio umalaya uko huko... nimegundua wanawake wengi ni Malaya sio kwa sababu ya mahitaji ya ngono bali fedha na maisha ya starehe.

Mnasema wanaume tunatamani wanawake hilo ni kweli kwa sababu sisi ni dhaifu kwa wanawake, Wewe wajua namna wanawake wanavyopendezesha ulimwengu na pengine ukamtamani mwanamke mwenzako sasa vipi sisi wanaume?
Nategemea kwa mwanamke mwenye akili utajiongeza na ku copy na situation.

Kulingana na uwezo wa mtu wapo wanaotosheka na mke mmoja na wengine mke mmoja hawatoshi kabisa ndio maana wanaweka wazi kabisa kwa wake zao.
Nawashauri sana wanawake muacha tamaa za pesa ridhikeni na uwezo wa waume zenu.
 
Umeongea mengi sana ambayo bado hayajaniingia. Ila nakujibu hapo chini ulipomalizia kuwa tuache tamaa ya pesa..sio kila mwanamke anayechepuka ana shida ya pesa,sababu zipo nyingi.
.
.
Sitetei uchepukaji ila ninachopinga ni vile mtu kuhalalisha uchepukaji wa mwanaume na kuona ni kosa kubwa kwa mwanamke.
Kwa imani yangu sidhani kama kuna utofauti wowote na sitaelewa hata iweje. Dhambi ni dhambi tu!
Ngoja nikuambie kuu kwanza sio kila mwanaume ni kicheche!
Kuna watu wanakijua kitabu cha MUNGU vizuri mno kwa hio mambo ya uzinzi yako mbali na wao. Hakuna mtu wa MUNGU atakae tembea na mke wa mtu kwani anajua anajitaftia kifo! Hao manabii wa uongo wasiwadanganye kwa mtu anaejua maandiko hawezi tembea na mke wa mtu soma Methali 6:26-29 utanielewa huyo mtu wa Mungu mwenye akili timamu achepuke na mke wa mtu.

Kwa mwanaume mjanja atajiongeza ili ampe mkewe kile anachokihitaji kama hakipatikani basi huyo mke mwema atakubaliana na hali. Tatizo binadamu wamejaa tamaa sana na hawaridhiki na walivyonavyo... Pesa ni tatizo sana kwa kweli na ni chanzo cha maovu yote hapa duniani kwa inafikia mahali binadamu hawatahamini watu wao kwa sababu ya pesa na ndio umalaya uko huko... nimegundua wanawake wengi ni Malaya sio kwa sababu ya mahitaji ya ngono bali fedha na maisha ya starehe.

Mnasema wanaume tunatamani wanawake hilo ni kweli kwa sababu sisi ni dhaifu kwa wanawake, Wewe wajua namna wanawake wanavyopendezesha ulimwengu na pengine ukamtamani mwanamke mwenzako sasa vipi sisi wanaume?
Nategemea kwa mwanamke mwenye akili utajiongeza na ku copy na situation.

Kulingana na uwezo wa mtu wapo wanaotosheka na mke mmoja na wengine mke mmoja hawatoshi kabisa ndio maana wanaweka wazi kabisa kwa wake zao.
Nawashauri sana wanawake muacha tamaa za pesa ridhikeni na uwezo wa waume zenu.
 
Umeongea mengi sana ambayo bado hayajaniingia. Ila nakujibu hapo chini ulipomalizia kuwa tuache tamaa ya pesa..sio kila mwanamke anayechepuka ana shida ya pesa,sababu zipo nyingi.
.
.
Sitetei uchepukaji ila ninachopinga ni vile mtu kuhalalisha uchepukaji wa mwanaume na kuona ni kosa kubwa kwa mwanamke.
Kwa imani yangu sidhani kama kuna utofauti wowote na sitaelewa hata iweje. Dhambi ni dhambi tu!
Sikutetea uzinzi mkuu kwani ni dhambi hili lipo wazi!
Tatizo ni pale mwanamke anapojivika majukumu ya mwanaume.
Sisi wanaume tunaweza kuoa wake wengi vipi mwanamke anaweza kuolewa zna Zaidi ya mume mmoja at the same time?
Jibu ni haiwezekani.

Halafu suala la kusalitiwa mwanaume ndio mhanda Zaidi kwa maana ya kwamba mume ndie anaeumiza Zaidi kutokana na ugumu wa miyo yetu! Soma Mathayo 19:7-9 halafu uniambie ni kwanini mwanaume anavunja anauhusiwa kumpa talaka mkewe na kwanini sio mwanamke kumpa talaka mumewe.

I hope ukielewa hicho kifungu utakua na Amani sasa.
Kamwe moyo wa mwanamke sio sawa na moyo wa mwanaume hapa ndipo wanawake wengi mnapokosea kwa kujifananisha na wanaume.
 
Back
Top Bottom