Watanzania wengime wanapenda michezo ya fraud sana.Nimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.
najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Umelipia wapi mkuuNimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.
najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Usiwachukulie poa wabongo, Kuna huu ujinga pia nauona sana Telegram course za corsera na Udemy za bei kubwa unakuta unawapa Elfu 30, wanakuungia package ya mwaka ambayo unakuta ni karibu dollar 120.Nimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.
najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Hizo courses za Coursera na Udemy mbona zipo bure tu watu wanadownload tu.Usiwachukulie poa wabongo, Kuna huu ujinga pia nauona sana Telegram course za corsera na Udemy za bei kubwa unakuta unawapa Elfu 30, wanakuungia package ya mwaka ambayo unakuta ni karibu dollar 120.
Bado Playstore sijui hua wanatoa wapi card za kulipia vijitu vijitu vingi vya online ambavyo ungekua ni hela zao halisi wasi gekua wanalipia.
Jamaa wana download course za bure, wanawapiga watu hela af wanadhan ndio hackersHizo courses za Coursera na Udemy mbona zipo bure tu watu wanadownload tu.
Wewe ndiye hujajua pa kuzipata tu.
Ndiyo hapo nashangaa, safari yetu ndefu sana.Jamaa wana download course za bure, wanawapiga watu hela af wanadhan ndio hackers
Tunashare ip adress that's why, watu 100 mna ip moja, we una behave mwenzako anaporomosha matusi huko, akiwa blacklisted ujue na wewe unakua blacklisted piaNimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.
najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Nipe shule mkuu, utakua umeokoa jahazi.Hizo courses za Coursera na Udemy mbona zipo bure tu watu wanadownload tu.
Wewe ndiye hujajua pa kuzipata tu.
Tuelekeze pa kuzipata mkuu, na mm ninauhitaji wa baadhi ya kozi za Udemy tu.Hizo courses za Coursera na Udemy mbona zipo bure tu watu wanadownload tu.
Wewe ndiye hujajua pa kuzipata tu.
Mimi nilijaribu ila hata ku login imekataaMbona kampuni nyingi nyingine zinauza hosting buy kwingine very simple