Ni nani anahujumu IP Address za Tanzania?

Ni nani anahujumu IP Address za Tanzania?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Nimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.

najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?
misued.PNG
 
Nimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.

najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Watanzania wengime wanapenda michezo ya fraud sana.

Jana tu kuna mtu alikuwa anajisifia anakodisha profile ya LinkedIn kwa shilingi 20,000. Nikamwambia hiyo ni fraud.

Sasa, sisemi kwamba huyo ndiye kasababisha IP kuwa blacklisted, ila ujanjaujanja wa kijinga unaweza kupelekea issues hizi.

Ila issue ya IP blacklist kuivuka ni mchezo mdogo tu, tafuta VPN ya kueleweka tu halafu connect kwenye VPN upate IP address ya VPN, kisha ndiyo ufanye vitu vyako vingine.

Kwenye internet utaonekana upo kwa IP ya VPN, si IP yako ya Tanzania.
 
Nimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.

najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Umelipia wapi mkuu
 
Nimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.

najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Usiwachukulie poa wabongo, Kuna huu ujinga pia nauona sana Telegram course za corsera na Udemy za bei kubwa unakuta unawapa Elfu 30, wanakuungia package ya mwaka ambayo unakuta ni karibu dollar 120.

Bado Playstore sijui hua wanatoa wapi card za kulipia vijitu vijitu vingi vya online ambavyo ungekua ni hela zao halisi wasi gekua wanalipia.
 
Usiwachukulie poa wabongo, Kuna huu ujinga pia nauona sana Telegram course za corsera na Udemy za bei kubwa unakuta unawapa Elfu 30, wanakuungia package ya mwaka ambayo unakuta ni karibu dollar 120.

Bado Playstore sijui hua wanatoa wapi card za kulipia vijitu vijitu vingi vya online ambavyo ungekua ni hela zao halisi wasi gekua wanalipia.
Hizo courses za Coursera na Udemy mbona zipo bure tu watu wanadownload tu.

Wewe ndiye hujajua pa kuzipata tu.
 
Nimelipia online service moja lakini cha ajabu malipo yamekataliwa na kuambiwa kua IP Address niliotumia kufanya malipo iko katika range ya IP ambazo ziko black listed, na Tanzania iko blacklisted kutokana na constant abusive behaviour mtandaoni.

najiuliza, watanzania hawa hawa wanaokesha Tiktok na insta? Je ni ISP ndio wanachukua low quality IP?View attachment 3188546
Tunashare ip adress that's why, watu 100 mna ip moja, we una behave mwenzako anaporomosha matusi huko, akiwa blacklisted ujue na wewe unakua blacklisted pia
 
Ni uzembe wa aina fulani kati ya serikali, ISPs wetu na watanzania kwa kiasi fulani.

Kuna malware, bots na "residential proxy" nyingi TZ ambazo hazichukuliwi hatua kuziblock.

Pia nina wasiwasi simu na device mbalimbali za "kichina" zinakuja na malware tosha ndani yake.
 
Na tatizo jingine ni kuwa TZ ni soko dogo sana kwa hizi kampuni, ni rahisi kuiblock bila kuingia hasara, nina uhakika kuna matatizo makubwa zaidi kutoka nchi kama US kwa idadi tu ya watu ila kamwe hauwezi kuiblock US maana biashara nyingi inapatikana huko.
 
Hizo courses za Coursera na Udemy mbona zipo bure tu watu wanadownload tu.

Wewe ndiye hujajua pa kuzipata tu.
Tuelekeze pa kuzipata mkuu, na mm ninauhitaji wa baadhi ya kozi za Udemy tu.
 
Mbona kampuni nyingi nyingine zinauza hosting buy kwingine very simple
 
Back
Top Bottom