Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wapo wengi sana hao watu!!Sijaona positive impact ya mikutano ya hadhara tunayofanya. Wananchi wapo busy kutafuta maisha
Nimefuatilia mikutano mbalimbali tunayofanya hapa nchini sioni muitikio wowote kutoka kwa wananchi kuonyesha kuwa wanakubaliana na hii mikutano. Watu hawana uhakika wa kula, kupeleka watoto shule na hata kupata hela ya kupoza akili. Alafu waje wawasikilize watu wanaoamini wanakula meza moja na...www.jamiiforums.com
Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Kweli tupu
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
Wachawi wakishazoea kubugia nyama za binadamu ni shida.Hata wapewe nini hawatotaka.Walishazoea kuona damu za watu,huzuni na sintofahamu nyingi.Wanapenda kurudi walipokuwa.Devils!Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
Kwa kweli hakuna anayelazimishwa na hao wanaolalamikia mikutano ya Chadema ni wajinga tuu kwasababu wanatishwa na nyomi!.Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
Hizo kombati na joto hili fangas zinastawi tu
Ukiona mtu anasema hivyo jua kuwa ni mnafiki na mnufaika wa maovu yote yaliyofanyika wakati wa Awamu ya tano.Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
Hakika.Wachawi wakishazoea kubugia nyama za binadamu ni shida.Hata wapewe nini hawatotaka.Walishazoea kuona damu za watu,huzuni na sintofahamu nyingi.Wanapenda kurudi walipokuwa.Devils!
Wachawi wakishazoea kubugia nyama za binadamu ni shida.Hata wapewe nini hawatotaka.Walishazoea kuona damu za watu,huzuni na sintofahamu nyingi.Wanapenda kurudi walipokuwa.Devils!Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
Wewe ulishapona fungus zako?Hizo kombati na joto hili fangas zinastawi tu
ukiona mtu analeta hoja ya namna hio jua huyo ni sukuma gang au uvccm maana hao ndio wapumbavu pekee waliobaki nchi hii hao wakitoweka hakutakuwa na wapumbavu tena nchi hii ila usiwe na hofu kufikia 2025 tunaenda kuwafuta kabisa.Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
Kwani Chadema ile uliyoambiwa itakufa ingeweza kumualika Mwenyekiti wa Ccm kuwa Mgeni wa Heshma kwny shughuli za Chama Chao na Mwenyekiti huyo akajinadi kuwania Urais 2025 huku akiwaambia hajaona mtu serious wa kupambana nae nao wakawa wanashangilia ?Kwani chadema bado IPO? Mbona tuliambiwa chadema haipo na ilisha kufa .
Na mmekwisha wote sukuma gang.Kwani Chadema ile uliyoambiwa itakufa ingeweza kumualika Mwenyekiti wa Ccm kuwa Mgeni wa Heshma kwny shughuli za Chama Chao na Mwenyekiti huyo akajinadi kuwania Urais 2025 huku akiwaambia hajaona mtu serious wa kupambana nae nao wakawa wanashangilia ?
Chadema ya maridhiano ni kama ACT tu kule Visiwani mkwara Zito sana jioni wanahesabu mgao wa maridhiano
Mapambano ya kumtoa mkoloni hayajali hali ya hewa , halafu hizo kombati hazijatengenezwa Ubungo Garments au UrafikiHizo kombati na joto hili fangas zinastawi tu
Mbona maelezo mengiMapambano ya kumtoa mkoloni hayajali hali ya hewa , halafu hizo kombati hazijatengenezwa Ubungo Garments au Urafiki