Ni nani analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA?

Ni nani analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA?

Kwa kweli hakuna anayelazimishwa na hao wanaolalamikia mikutano ya Chadema ni wajinga tuu kwasababu wanatishwa na nyomi!.
Wajinga hao hawajui nyomi ni nyomi na kura ni kura!, ingekuwa hizo nyomi ni kura, hapo ndio wangetishika!.
Just imagine nyomi kama hizi

View attachment 2550803View attachment 2550804View attachment 2550805View attachment 2550806View attachment 2550807View attachment 2550808View attachment 2550809View attachment 2550810View attachment 2550811
, mimi niliamini Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'? kumbe ni nyomi tuu!, hizo sio kura!.
P

Ni kweli kabisa, maana Tanzania mshindi hapatikani kwa kura, bali genge liitwalo system ndio huamua nani atangazwe mshindi. Ndio maana nasema Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Machafuko tu ndio yatafanya box la kura kuheshimiwa.
 
Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.

Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.

Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
😅😅😅😅hakuna malori wala ma tela yankuwabeba
 
Kwa kweli hakuna anayelazimishwa na hao wanaolalamikia mikutano ya Chadema ni wajinga tuu kwasababu wanatishwa na nyomi!.
Wajinga hao hawajui nyomi ni nyomi na kura ni kura!, ingekuwa hizo nyomi ni kura, hapo ndio wangetishika!.
Just imagine nyomi kama hizi

View attachment 2550803View attachment 2550804View attachment 2550805View attachment 2550806View attachment 2550807View attachment 2550808View attachment 2550809View attachment 2550810View attachment 2550811
, mimi niliamini Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'? kumbe ni nyomi tuu!, hizo sio kura!.
P
Mmmmh! Mmmmh!🙄🙄

Nyiee CHADEMA, This is too much...!!!

Na hivi nyie CHADEMA huwa mnatoa nini kwa umati mkubwa wa watu kiasi hiki kuja kwenye mikutano yenu?

CCM kwa kweli wanastahili kutishika na kuogopa...!!

Jiwe alikuwa sahihi kuwapiga ban kumbe. Lazima aogope tu kwa umati mkubwa kama huu..
 
Kwa kweli hakuna anayelazimishwa na hao wanaolalamikia mikutano ya Chadema ni wajinga tuu kwasababu wanatishwa na nyomi!.
Wajinga hao hawajui nyomi ni nyomi na kura ni kura!, ingekuwa hizo nyomi ni kura, hapo ndio wangetishika!.
Just imagine nyomi kama hizi

View attachment 2550803View attachment 2550804View attachment 2550805View attachment 2550806View attachment 2550807View attachment 2550808View attachment 2550809View attachment 2550810View attachment 2550811
, mimi niliamini Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'? kumbe ni nyomi tuu!, hizo sio kura!.
P
Labuda hukuwepo ndio maana huujui ukweli VINGINEVYO unajitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom