Chibu Dangote
@diamondplatnumz
Kwanza sina tatizo na Ali, na Namfahamu kabla sijaanza kazi zangu za mziki, hata madancer wangu kabla sijatoka walitumika kwenye video yake
Chibu Dangote
@diamondplatnumz
7h
Na wasafi dot com inaruhusu kabisa kuuza kazi zake, na italeta picha nzuri, na nishakutana nae Nairobi tuliongea kila mtu aliyokuwa nayo
Nadhani tuvisii media viache kushawishi media sababu mimi na Ali tulishakutana tukayaongea madukuduku yetu.
Mnakutanaje Na Kuongea Madukuduku Yenu Na Hamna Clouds Wala Shilawadu Wala Miladiayo Wala Daudi Bashite Wala Le Mutuz. Hatutaki. Mnakutanaje Kimya Kimya Alafu Iwe Nini?
Nasema Mimi Nimegoma. Kwanza Kwann Mkakutanie Nairobi... Kwenu??!
Hatukubali. Nasema Bifu Liendelee. Pumbavu Zenu...