Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Nani Mwana JamiiForums bora wa mwaka kati ya hawa?

  • The Boss

  • Faiza Foxy

  • Mzee Mwanakijiji

  • BAK

  • Pasco

  • Heaven Sent

  • Victorie

  • Technically

  • Mshana Jr

  • Lizaboni


Results are only viewable after voting.
Mkuu vigezo ulivyovitoa nadhan hukuvitumia kutoa orodha hiyo kwa sababu karibu kila member aliye kwenye list yako anakosa baadhi ya vigezo miongon mwa ulivyovitoa, nisingependa kuanza kumkosoa mmoja mmoja kwenye hiyo list. But kwa kuwa unahitaji the best kwa upande wangu THE BOSS
 
Mboni miye hujaniweka..?!
Au unapendelea wa Daslama wenzio..!!!
 
Kupendwa ndo huku

Kupendwa kuheshimiwa

Mie nawe mpaka milele my Nzagamba[emoji108]

Cc KARANJA 007
 
Ungeweka kwa kategori mfano:
Ungetofautisha kati ya Me na Ke
Wakongwe na Chipukizi...nk
 
Kupendwa ndo huku

Kupendwa kuheshimiwa

Mie nawe mpaka milele my Nzagamba[emoji108]

Cc KARANJA 007
Daaaaah basi mimi ndio kwishney tena,na ulofa huu ndio sikupati tenaaa labda ukizeeka ukawa kibogoyo ndio utakuja mbio kwangu we mrembo,yaani Ngabu kakutungia mpaka mashairi daah kweli wewe kipusa mamii.
 
kwa kuwa mwaka 2016 sikujihusisha sana na mitandao ya kijamii ikiwemo JF,sifahamu member walio trend vizuri.

yawezekana alio orodhesha mleta mada ndio waliong'ara zaidi.
 
Wote hawafai na kwa taarifa yako mwanajf bora wa mwaka bila hata porojo,wivu wala nn ni pascal mayalla.Hao hapo juu ni upuuzi.

MASIKINI WATUMISHI ANNUAL INCREMEMENTS,MALIMBIKIZO NA MADAI YAO YAMEYEYUKA.
Tuonane 2020.
 
Kwa kweli nashindwa kuelewa vigezo na masharti vilivyotumika, nikiwa kama mdau mkubwa wa jukwaa la science na technology kutomweka Chief mkwawa hakujanivutia kabisa hii list haijabalance.!
 
11. Kibwenzi nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…