Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Nani Mwana JamiiForums bora wa mwaka kati ya hawa?

  • The Boss

  • Faiza Foxy

  • Mzee Mwanakijiji

  • BAK

  • Pasco

  • Heaven Sent

  • Victorie

  • Technically

  • Mshana Jr

  • Lizaboni


Results are only viewable after voting.
Unaposema wasiokuwemo hawakufikia vigezo vya kuwemo kwenye List..........ni vigezo gani....? au unajipendekeza kwa hao uliowataja.....!!!! nadhani ingekuwa bora kama ungeuliza tu halafu wachangiaji watiririke na siyo kutuwekea majina ya upendeleo.............!!!!! wengine JF ni nyumbani hata tukiwa na matatizo huja humu kuuliza.......je hawa nao hawafai kuwa ni kigezo cha kuwekwa kwenye list.....????
 
Kumwacha Nguruvi3 na barafu, kunakosa uhalali wa hii tuzo
 
Ni wazo zuri ulilo buni ila mia naashauri kungekuwa na categories mbali mbali kulingana na jukwaa. Kwa mfano jukwaa la siasi, chit chat nk. Ie kila jukwaa lingekuwa na nominee wake. Pia ufanye upembuzi wa kutosha kwa majina ya washindani.
 
UPDATES
KUTOKANA NA MAONI YA WADAU , TUMEMUONGEZA MSHANA JR, NA HEAVEN SENT, WATACHUKUA NAFASI ZA , OCAMPOR , NA MISS NATAFTA, NIMEJARIBU KUEDIT KWENYE POLL NIMESHINDWA, MODS WATANISAIDIA. HII KITU NI SERIOUS KABISA, mods saidia ku edit kwenye polls mtoen miss natafta na ocampor,muweke mshana jr na heaven sent




Habari zenu wakubwa,

Matumaini yetu ni kuwa nyote ni wazima wa afya na mnaendelea vema na shughuli zenu ili kuepuka kusoma namba.

Malengo ya uzi huu ni kuweka utaratibu wa kuweza kupata mwanaJF bora wa mwaka hasa jukwaa la siasa, mambo ya kimataifa na mengineyo.

Mambo yafuatayo ndiyo vigezo vitakavyotumika kumpata...
1. Mwenye hoja na uchambuzi mzuri wa masuala yanayohusu taifa letu kwa ujumla
2. Anayechambua mambo ya kisiasa kwa wigo sawa bila kuegemea au kupendelea upande wowote ule, kaka ni CHADEMA au CCM au CUF yuko tiyari kukosoa kwa hoja haijarishi ni chama chake
3. Mwenye nidhamu juu ya majibu anayowapa wengine na mwenye kujibu bila kubagua au kukejeli wengine na kuwadharau au kuwatamkia matusi(makosa yanayopelekea ban)
4. Mwenye michango mingi ya kuelimisha jamii,
5. Asiye mdini au mkabila wala asiyechanbua kwa kupendelea kabila/dini yake na kukashfu za wengie,
6. Mwenye kuheshimu wengine na mamlaka ya nchi haijarishi kamchagua kiongozi aliyeko madarakan au lah.

Orodha yangu ni kama ifuatavyo, ninyi ndio mtapiga kura kwenye poll na kupata mshindi.
1. The Boss
2. Faiza foxy
3. Mzee mwanakijiji
4. BAK
5. Lizaboni
6. Pasco
7. Heaven sent
8. victorie
9. Technically
10.Mshana jr

Haimaanishi ambao hawajawekwa hawakuchangia hapana wamechangia sana ila kwa mwaka huu hawakufika viwango vya hawa hapa

PIGA KURA YAKO.

Hivi Pasco ndio Pascal Mayalla?
 
Me nisiwe mnafiki kura yangu ningeipeleka moja kwa moja kwa bwana @thebold jamaa ana post ambazo ukisoma zinafundisha hana udini hana ukabila hana uchama baada ya huyo ningeichukua kushoto kulia ningemtupia chief mkwawa huyu kwa wale wenye IT problem nahc wanampata fresh
 
Pasco anafaa.


Lakini mbona nikiangalia hapo ninaona kuna watu wachawi!! wanafanya nini kwenye hiyo orodha. kama huyo MJ.
 
UPDATES
KUTOKANA NA MAONI YA WADAU , TUMEMUONGEZA MSHANA JR, NA HEAVEN SENT, WATACHUKUA NAFASI ZA , OCAMPOR , NA MISS NATAFTA, NIMEJARIBU KUEDIT KWENYE POLL NIMESHINDWA, MODS WATANISAIDIA. HII KITU NI SERIOUS KABISA, mods saidia ku edit kwenye polls mtoen miss natafta na ocampor,muweke mshana jr na heaven sent




Habari zenu wakubwa,

Matumaini yetu ni kuwa nyote ni wazima wa afya na mnaendelea vema na shughuli zenu ili kuepuka kusoma namba.

Malengo ya uzi huu ni kuweka utaratibu wa kuweza kupata mwanaJF bora wa mwaka hasa jukwaa la siasa, mambo ya kimataifa na mengineyo.

Mambo yafuatayo ndiyo vigezo vitakavyotumika kumpata...
1. Mwenye hoja na uchambuzi mzuri wa masuala yanayohusu taifa letu kwa ujumla
2. Anayechambua mambo ya kisiasa kwa wigo sawa bila kuegemea au kupendelea upande wowote ule, kaka ni CHADEMA au CCM au CUF yuko tiyari kukosoa kwa hoja haijarishi ni chama chake
3. Mwenye nidhamu juu ya majibu anayowapa wengine na mwenye kujibu bila kubagua au kukejeli wengine na kuwadharau au kuwatamkia matusi(makosa yanayopelekea ban)
4. Mwenye michango mingi ya kuelimisha jamii,
5. Asiye mdini au mkabila wala asiyechanbua kwa kupendelea kabila/dini yake na kukashfu za wengie,
6. Mwenye kuheshimu wengine na mamlaka ya nchi haijarishi kamchagua kiongozi aliyeko madarakan au lah.

Orodha yangu ni kama ifuatavyo, ninyi ndio mtapiga kura kwenye poll na kupata mshindi.
1. The Boss
2. Faiza foxy
3. Mzee mwanakijiji
4. BAK
5. Lizaboni
6. Pasco
7. Heaven sent
8. victorie
9. Technically
10.Mshana jr

Haimaanishi ambao hawajawekwa hawakuchangia hapana wamechangia sana ila kwa mwaka huu hawakufika viwango vya hawa hapa

PIGA KURA YAKO.
Umefanya makosa makubwa kumuacha The Bold
 
Mshana JR ungemshindanisha kwa kuanzisha mada za uganga na ushirikina. Halafu washindani wenza wake wawe MziziMkavu, Kiranga na wale jamaa wengine.

Bujibuji ungemwanzishia shindano la wala nguruwe, yaani hapo unakuwa umemfikisha

maoni yangu wakuu
 
mdau kama vipi uweke na categories. . hapo namimi nitakua category ya kusoma sana comment za wenzangu
 
Hakuna haja ya kupiga kura apo. Ni kiasi cha kutafta mwenye likes nyingi pamoja na trophy points.
 
Back
Top Bottom