Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Nani Mwana JamiiForums bora wa mwaka kati ya hawa?

  • The Boss

  • Faiza Foxy

  • Mzee Mwanakijiji

  • BAK

  • Pasco

  • Heaven Sent

  • Victorie

  • Technically

  • Mshana Jr

  • Lizaboni


Results are only viewable after voting.
mbona Mshana jr,Chachu Ombara, Barafu, hawamo, hiyo list yako bora ukaipe tuzo kimya kimya
 
JF kwa sasa wengi tunachangia kwa kuangalia itikadi ya vyama na viongozi wetu, Wenye kuangalia Utaifa ni wachache sana.

Ndio maana hata CCM wakifanya vizuri huwezi kuona Chadema wakipongeza, vivyo hivyo kwa CCM ni vigumu kuwapongeza Chadema kwa mambo mazuri yaliyo wazi.

Humo nimwenda wa kulaumu, kulaumiana na kuombeana mabaya.
 
nimempigiaa pasco kwa ushujaa wake wakumtwanga mkuu sw3ali lenye hadhi ya kimataifaa alafu mi naonaa kwa mwaka huu aliyefanya vizur ni pasco peke yake kumfananisha na watu wa ajabu ni dharau pasco alifanya vitu vinavyoonekana yaan live sasa mnatuleteaa watu wa ajabu ajabu wakati mshanajr anatufundishaa kila siku hapa na hujamuweka
 
JF kwa sasa wengi tunachangia kwa kuangalia itikadi ya vyama na viongozi wetu, Wenye kuangalia Utaifa ni wachache sana.

Ndio maana hata CCM wakifanya vizuri huwezi kuona Chadema wakipongeza, vivyo hivyo kwa CCM ni vigumu kuwapongeza Chadema kwa mambo mazuri yaliyo wazi.

Humo nimwenda wa kulaumu, kulaumiana na kuombeana mabaya.
Sikubaliani na analysis yako.
Hapa wengi wetu tunaangalia nyeupe na nyeusi.
Mbowe akizingua hatumuachi ccm vile vile
 
Habari zenu wakubwa,

Matumaini yetu ni kuwa nyote ni wazima wa afya na mnaendelea vema na shughuli zenu ili kuepuka kusoma namba.

Malengo ya uzi huu ni kuweka utaratibu wa kuweza kupata mwanaJF bora wa mwaka hasa jukwaa la siasa, mambo ya kimataifa na mengineyo.

Mambo yafuatayo ndiyo vigezo vitakavyotumika kumpata...
1. Mwenye hoja na uchambuzi mzuri wa masuala yanayohusu taifa letu kwa ujumla
2. Anayechambua mambo ya kisiasa kwa wigo sawa bila kuegemea au kupendelea upande wowote ule, kaka ni CHADEMA au CCM au CUF yuko tiyari kukosoa kwa hoja haijarishi ni chama chake
3. Mwenye nidhamu juu ya majibu anayowapa wengine na mwenye kujibu bila kubagua au kukejeli wengine na kuwadharau au kuwatamkia matusi(makosa yanayopelekea ban)
4. Mwenye michango mingi ya kuelimisha jamii,
5. Asiye mdini au mkabila wala asiyechanbua kwa kupendelea kabila/dini yake na kukashfu za wengie,
6. Mwenye kuheshimu wengine na mamlaka ya nchi haijarishi kamchagua kiongozi aliyeko madarakan au lah.

Orodha yangu ni kama ifuatavyo, ninyi ndio mtapiga kura kwenye poll na kupata mshindi.
1. The Boss
2. Faiza foxy
3. Mzee mwanakijiji
4. BAK
5. Lizaboni
6. Pasco
7. Miss Natafta
8. victorie
9. Technically
10. Ocampor four

Haimaanishi ambao hawajawekwa hawakuchangia hapana wamechangia sana ila kwa mwaka huu hawakufika viwango vya hawa hapa

PIGA KURA YAKO.
Orodha haiwezi kukamilika bila Gangongine
 
Mimi mbona hujaniweka sass[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nimemuuliza hii list kaitoa wapi?
Kiranga hayupo @ nyani ngabu msukuma hayupo @ the bold na mshana .. Kuna vichwa vingi na hapa JF kuna watu wamebase kwenye baadhi ya majukwaa..
Kuna steve job @ consiglience wengi tu
 
Back
Top Bottom